How I Met My Wife

Aaaagh! Kwenye hii story nimefika part 7 kilichonifurahisha kuliko vyooote ni pale sister wa singida yule nesi alivyokupa makavu live! Nimempenda sana! Na usomi wako ulikuwa hutaki matumizi ya condom,ulikuwa unaharibu maisha ya wasichana tu, Tatu alikumbeleza umpeleke kwenu aishi na kulea mimba yako ukakataa, kaitoa unamwacha. Umenikeraaaaaaaa, anyways naendelea kuisoma !

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Kilaba hii hapa story....Nikiambiwa nitaje story tatu bora nilizozisoma humu ndani, THIS IS NUMBER ONE....yapili ni ya KHUMBU...ya tatu ni ya AMIDA...

enjoy yourself.
 
 
workshop
 
Hap nitaendelea kesho....
Nimemmaliza KigaKoyo na bonge la story... Big up sana
 

Daaah nimesoma nimemaliza kwa raha na bado Tamuu Broo...... ila Yote kwa Yotee Unafaidi xana Kuishi mzee Natamani nivaee Viatu vyakooo Dadadekiiiiii.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…