Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mtaalam KigaKoyo.The continuing story of how I met my wife.....
.....Winter is Coming....
So kiufupi I travelled to Dsm that same day. Nakumbuka kwenye basi nilikaa kwenye siti na dada mmoja hivi ambaye alikua anapenda penda kama tuongee hivi, bt I was not in the mood. Itakua ndo wale wanaoliwaga kimasihara na masela kwenye uzi wa rikiboy. Nimefika DSM night. I took a room kwa hotel nikajitupia kitandani.
Asubuhhi naamka ndo nasikia njaa, nikakumbuka mara ya mwisho kula ni juzi yale mayai na kahawa. Nikaamua kutoka ile hotel na kwenda kutafuta msosi. Mpaka leo hua napita maeneo ya bar ya pale riverside na kuwaunga hata kwa bia mbili kwa kumbukumbu ya siku ile. Nakumbuka nilikaa sana pale, yaani kuanzia breakfast hadi dinner. But niliutumia muda wangu vizuri. I planned my life that day.
Kwanza nilijua natakiwa kusahau kuhusu mapenzi. I had a shot at love and I blew it. So nikaamua that day kuwa, nikifika miaka 30, ntazaa na mwanamke yeyote tu. Then baadae ntaongeza wengine kadri life litakavyoruhusu. Pili nikaamua pesa kidogo nliyokua nayo ntafungua ofisi ya issue za kuburn CD (enzi hizo it was a big deal), kuflash simu, kucharge simu pamoja na kuuza some accessories za simu. Na mwisho niliamua kuwa na kampuni sasa ile niliyokua naiplan siku zote.
That day nililala hotel pia. Ila kesho yake nikaingia mitaa ya Kimara kusaka geto. Dar bana, hela yako tu, huchelewi kupata unachotaka. Ingawa sikupata aina ya makazi ninayotaka sehemu ambayo ni karibu na barabara, ila nilifanikiwa kupata chumba na sebule eneo fulani katikati ya Baruti na Msewe. It was a good compound, full usalama na eneo la kutosha. Same day nikanunua kitanda kidogo futi 3.5 pamoja na godoro. Mpaka namaliza hiyo michakato yote jioni ishafika. Zamani kulikua na bar moja maarufu pale kimara baruti, nikaenda kupata msosi na kuangalia live band huku natafakari how my life will be. Ila kila nikimkumbuka Nora Napata maumivu ya moyo. Love hurts aisee.
So that’s how I settled in Dar. Ofisi yangu ilikua mitaa ya kimara Korogwe pale, ule mtaa juu ya tuta la barabara karibu na bar flani walikua wanauza kitimoto moja matata (ustaadh JBourne59 utanisamehe hahaha). Wiki ya kwanza ilikua ya watu kuja kushangaa shangaa tu pale hasa wadada. Utasikia “kaka una wimbo wa Suma lee” ukisema upo utasikia “wa Pasha je, ule unaitwa ni soo?” ukimwambia upo pia basi anakwambia ntakuja kuburn cd kesho, ziandae kabisa. kesho hata humuoni, akija basi itakua ni kwa issue nyingine kabisa. Bt the next week nikaanza kupata walau hela ya kula. I burned VCDs na MP3s za kutosha. All this time, wala sikutaka kujua whats happening in Dom. Kusema ukweli matamanio yangu ilikua Nora anisahau kabisa, na amove on. Ingawa nilimpenda bt our relationship has become too much complicated to take it further. She is young and beautiful, she will find someone else.
Then Sunday nikatafuta kanisa nikaenda kusali after a long long time. Nakumbuka ilikua ni parokia ya pale Msewe. Mahubiri ya siku hiyo ni kama yalikua yananigusa live. Nikaelewa kwa nini walokole hua wanalia kanisani. Kiufupi yule padre siku hiyo alianza kama kutusema watu tunaoishi kwenye dhambi na kuona kama kawaida, yani uko na girlfriend mnaishi kama mke na mume then mnaona ni sawa tu. Ila akamaliza kutukumbusha kuwa Mungu wetu husamehe. Hii ikanipa walau ahueni kuwa nikiamua kumpigia magoti Mungu nikamuomba msamaha basi atanisamehe. After church, nikarudi home nikiwa na mpango nicheki movie the whole day…
Mida ya saa tisa hivi nikasikia simu inaita…. Kupokea nikajua instantly who was on the other side of the phone. Ile sauti hata angeongea taratibu kwa sauti ya chini bado siwezi isahau. Ni sauti ambayo imeniimbia mara nyingi, imenibembeleza nilipolia, imenichekesha, imenitania, imeniambia nakupenda mara kibao.. it was Norah. Alivyosema hallo, nikajikuta Napata furaha. Ingawa nilishachukua maamuzi ya kumpotezea bt sjui why nilifurahi kusikia sauti yake. Nilikaa sekunde kadhaa bila kusema chochote. Hadi aliporudia tena “hello”, ndo nikakusanya nguvu kumjibu, “hello kiddo”. She giggled (ile kucheka kindanindani kama unaguna). Nikaendelea, “are you ok”, akanijibu everything is fine. ‘simu ya nani?’ akajibu ya housegirl wao. Akaniambia mama yake bado inaonekana anahasira naye ila walau anaitikia salam yake. Ndo kunipa updates ya kilichoendelea. Akasema boss Rona alijifungia chumbani kwake kwa siku mbili, hali chochote. Nora akasema alijihisi mkosaji sana kwa mamayake na kuona amemdisappoint sana.
Akaendelea kuniambia siku ya tatu ilibidi ashinde mlangoni kwa mama yake akilia pia. Akasema alikaa mlangoni kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tano Analia tu na kuomba msamaha. Baadae alivyoona mama yake hafungui ndo ikabidi amwambie mama yake kuwa hawezikuona anakua sababu ya mama yake kupoteza maisha kwa njaa, so anaona bora atangulie yeye… akawa anamuaga pale kwa kumwambia she is the best mom in the world, and she loves her more than anything or anyone in the world, anampenda kiasi kwamba anayatoa maisha yake ili yeye mama yake aendelee kuishi. Akiwa anaondoka pale mlangoni ndo anasikia mlango unafunguliwa, kugeuka anamuona her mom amenyong’onyea macho makavu, ikabidi amfuate wakakumbatiana huku wote wanalia..
Nora akaendelea kuniambia kuwa anachoshangaa ni kuwa kila akimuomba mama yake amsamehe, anamwambia kosa sio lake, ni la huyo bazazi. Ndo akaniuliza, “Kiga au kuna kitu ulimuudhi mom Zaidi ya hiki?”, nikawa najiumauma pale, natamani nimwambie ukweli bt nikajikuta tu ‘hapana’ imenitoka automatically. Then akaendelea kunipa updates kuwa after she made sure her mom is ok, she came to my house, na inaonekana kama sipo muda mrefu. Ndo na mimi nikamhadithia what has happened so far. Sikumficha kitu, “so now you have your own office” aliuliza huku kama anacheka. “yeah its small bt I plan to grow it big”, nikawa namjibu pale. Akauliza hadi ilipo nikamtajia. Bt nikakumbuka kuwa mimi na yeye hatuna future kabisa, kutokana na hii situation ilivyo… so nikamwambia, “Kiddo, I know you love me, believe me, I love you too. Ila mama yako hawezi kubali mahusiano yetu so its better you move on”…. Nakumbuka Norah alikua kimya tu, alipoongea tena nikagundua alikua Analia “you are giving up on me bro …. (sob)……. please, don’t do this…….. my life will be miserable without you…… I love you so much…….. please don’t leave”, sikueza endelea kusikia mpenzi wangu akilia, nikakata simu.
She didn’t call again… although lazima nikiri mara nyingi nilitamani kupiga ile namba ili niongee nae tena. Bt siku zikapita. Wiki moja ikawa mbili, hadi zikafifa tatu. Nikawa najua Norah atakua ameelewa somo. Biashara yangu ikawa I naenda fresh tu, yani sikosi hela ya kula wala kuishi. Muda wote huo sijawaambia mama yangu na dada yangu kuwa nimepiga chini kazi na nipo dsm. Nakumbuka siku moja sis alinipigia akaniambia kampuni inapitia wakati mgumu, kuna maamuzi waliyachukua yanawakost na itachukua months kurudi katika hali ya kawaida, nikapata sababu ya kutowaambia abt me maana watazidi kupanick.
One Friday nakumbuka nipo naburn CDs za watu, tena wale wateja ambao wanataka muda huo huo waondoke nayo. Nikahisi kama kuna mteja amesimama muda mrefu bila kuagiza chochote, muda huo nlikua bize namuongelesha mteja wangu aliyekua amekaa kwa pembeni. Then nikaangalia upande wan je, ndo kumuona sasa,… Norah Mekonnen mwenyewe. Nikajikuta nimesimama ghafla nikamkimbilia. I hugged her so tightly. “what are you doing here?”, wala hata hajibu kitu… “umefikajefikaje hapa?” nikamuuliza huku najichomoa mwilini mwake… alikua amevaa kitu walikua wanaita ‘pedo pusha’ nyeupe na ki t-shirt cha pink. Zilimkaa vyema.
Kwakuwa hakuwa anajibu kitu, nikampa kiti akakaa pale kwa nje, mi nikaingia ndani kumalizana na mteja. Nlivomaliza nikafunga kabisa ofisi, tukasogea pale kwenye bar ndo kuanza kupiga stori. Maswali yangu yakutaka kujua amefikaje pale akayapotezea, alichonambia cha kwanza ni kuwa, anataka kusikia kutoka kwangu direct nikimpiga chini. Nikaanza maelezo pale, ooh unajua mama yako haezi kubali ….
Nikasikia “fu.ck what other people are thinking, the equation is very simple, you love me or you don’t”, “ofcourse I love you, ninachoogopa ni kukupotezea muda wako” nikajielezea pale. Ndo akanambia “skiza Kiga (mara chache sana ananiitaga jina langu halisi), what my mom is feeling now is disappointment, aliniamini sana mimi na pia alikuamini sana wewe akijua huezi mfanyia ulichofanya, but mi na wewe tunajua kuwa tunachofanya kinasukumwa na hisia tunazofeel to each other. Baada ya muda hasira za mama zitapoa, inaeza chukua miezi but it will so lets not give up now”.
Nikashindwa kubisha wala kukubaliana nae. What she was saying made sense, ila najua kama angejua mkanda mzima asingefikiri anavyofikiri sasa. Kiufupi tukakubaliana kuendelea. Nikafurahi kuona anasmile. Akaanza kupata na soda pale huku ananisimulia namna alivyokuja. Anasema alivyoona simtafuti, ilikua hana jinsi ikabidi aje dsm. Alimwambia mama yake anataka aje dar amsalimie KM maana hajamuona muda. Mama yake aligoma katakata, mpaka ikabidi ampigie KM amsaidie kumuombea ruhusa. Mama yake alikubali kwa sharti la kutotoka kwenda popote alone. Ndo akafanikiwa kuja janayake na leo akaanza kunisaka hapa Kimara, akasema anabahati siku ile alisikia nikitaja mtaa ofisi yangu ilipo. Nlipomuuliza kama KM katoa ruhusa, akasema hapana, alivyotoka kwenda job na yeye kamalizia vishughuri pale akaja.
Badae nikamwambia akapaone na home kabisa. Akakubali kwa sharti la kutochelewa maana ni kama ametoroka home. Nikamfikisha hadi ghetto, kuingia ghetto lenyewe simpo, sebule ina stuli tu… na room kuna kitanda, godoro na stuli. It was such a simple life aisee. Bt hata hakumind, she sat on the bed nikakaa kwenye stuli. Akanionesha kwa ishara nikakae pembeni yake, nikatii. Nlivokaa, akanigeukia akaanza kunikiss. I missed those lips. And they didnt disappoint.
Bt nlivotaka kuanza kutalii maeneo mengine akaniomba niache. Akahofia tukianza atachelewa kutoka na kesho atashindwa kuja. Basi nikamuacha, we started talking other things, ndo akaniambia j3 wanafungua shule, so jpili anasepa. Bt akawa ameahidi kesho atakuja mapema.
Kesho yake mida ya saa nne kweli akaja. Nlikua hata sijatoka kitandani. Siku hiyo sikua na mpango wa kwenda kufungua ofisi. Kunfungulia ndo kuona kaja na mazagazaga kibao. Yaani alikuja na jiko la mafuta ya taa, masufuria, ndoo, sahani, vijiko vikombe yaani alifungasha hasa. Mi nashangaa pale, binti kaanza kuandaa cha kupika, alikua amenunua maini buchani pamoja na unga wa ugali. Akanambia nikajipumzishe room. Kweli nikamuachia nafasi afanye yake. Nikawa nacheki tu movie kitandani. Alifanya usafi kila mahali that day alivyomaliza kupika, then ndo akaniletea msosi, tukakaa chini tukaanza kula.
Mara anilishe na mimi namlisha, namsifia amepika vizuri (ingawa akawa anajistukia kazidisha chumvi, bt was ok to me) bas it was full burdani. After eating akaosha kila kitu then akaniambia tukaoge. Bafu lilikua out, ila kuna uzio na wapangaji ni wawili tu tunaoshare bafu, nikaona sio kesi twen’zetu. Aliniogesha that day, then alivonitakatisha, kaanza kuosha rombo kwa mdomo wake. It felt so good. Kiufupi cha kwanza nilikiachia mdomoni kwake, na wala hakuhangaika kutema……….
Mechi kamili ilipigwa ndani. Mpaka tunamaliza ni jioni kigiza kinaingia. Nlikua nmemuandalia zawadi ya hela. Nlijua anaenda shule so nikawa nimemuwekea laki moja katikati ya kadi ya ‘thank you’, nikamwambia asifungue mpaka kesho akiwa kwenye basi, akapromise atafanya hivyo. Wakati namsindikiza akaniambia ameniachia pia zawadi chini ya sahani kwenye stuli ya sebuleni, nikirudi nikaicheki. Nakumbuka nimemsindikiza hadi kituoni, nikaona haitoshi, nikapanda nae gari hadi ubungo pale tanesko ndo kituo kilikuepo. Nikampandisha gari za tabata, nikaona haitoshi na mimi nikazama. Kiufupi nlimsindikiza hadi nje ya nyumba yao that day.
Nlivorudi direct kwenye zawadi. Kufunua sahani, nakutana na hela. Elfu hamsini za noti. I just smilled. Nikaona ameandika na ujumbe, anasema “this is to show you that, I always got your back. So no matter what, please don’t give up on me….. I love you”.
Ahadi ya kuiendeleza kesho ipo palepale. Hii ni bonus tu kwa waliomiss wiki nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waiting...?The continuing story of how I met my wife.....
.....Winter is Coming....
So kiufupi I travelled to Dsm that same day. Nakumbuka kwenye basi nilikaa kwenye siti na dada mmoja hivi ambaye alikua anapenda penda kama tuongee hivi, bt I was not in the mood. Itakua ndo wale wanaoliwaga kimasihara na masela kwenye uzi wa rikiboy. Nimefika DSM night. I took a room kwa hotel nikajitupia kitandani.
Asubuhhi naamka ndo nasikia njaa, nikakumbuka mara ya mwisho kula ni juzi yale mayai na kahawa. Nikaamua kutoka ile hotel na kwenda kutafuta msosi. Mpaka leo hua napita maeneo ya bar ya pale riverside na kuwaunga hata kwa bia mbili kwa kumbukumbu ya siku ile. Nakumbuka nilikaa sana pale, yaani kuanzia breakfast hadi dinner. But niliutumia muda wangu vizuri. I planned my life that day.
Kwanza nilijua natakiwa kusahau kuhusu mapenzi. I had a shot at love and I blew it. So nikaamua that day kuwa, nikifika miaka 30, ntazaa na mwanamke yeyote tu. Then baadae ntaongeza wengine kadri life litakavyoruhusu. Pili nikaamua pesa kidogo nliyokua nayo ntafungua ofisi ya issue za kuburn CD (enzi hizo it was a big deal), kuflash simu, kucharge simu pamoja na kuuza some accessories za simu. Na mwisho niliamua kuwa na kampuni sasa ile niliyokua naiplan siku zote.
That day nililala hotel pia. Ila kesho yake nikaingia mitaa ya Kimara kusaka geto. Dar bana, hela yako tu, huchelewi kupata unachotaka. Ingawa sikupata aina ya makazi ninayotaka sehemu ambayo ni karibu na barabara, ila nilifanikiwa kupata chumba na sebule eneo fulani katikati ya Baruti na Msewe. It was a good compound, full usalama na eneo la kutosha. Same day nikanunua kitanda kidogo futi 3.5 pamoja na godoro. Mpaka namaliza hiyo michakato yote jioni ishafika. Zamani kulikua na bar moja maarufu pale kimara baruti, nikaenda kupata msosi na kuangalia live band huku natafakari how my life will be. Ila kila nikimkumbuka Nora Napata maumivu ya moyo. Love hurts aisee.
So that’s how I settled in Dar. Ofisi yangu ilikua mitaa ya kimara Korogwe pale, ule mtaa juu ya tuta la barabara karibu na bar flani walikua wanauza kitimoto moja matata (ustaadh JBourne59 utanisamehe hahaha). Wiki ya kwanza ilikua ya watu kuja kushangaa shangaa tu pale hasa wadada. Utasikia “kaka una wimbo wa Suma lee” ukisema upo utasikia “wa Pasha je, ule unaitwa ni soo?” ukimwambia upo pia basi anakwambia ntakuja kuburn cd kesho, ziandae kabisa. kesho hata humuoni, akija basi itakua ni kwa issue nyingine kabisa. Bt the next week nikaanza kupata walau hela ya kula. I burned VCDs na MP3s za kutosha. All this time, wala sikutaka kujua whats happening in Dom. Kusema ukweli matamanio yangu ilikua Nora anisahau kabisa, na amove on. Ingawa nilimpenda bt our relationship has become too much complicated to take it further. She is young and beautiful, she will find someone else.
Then Sunday nikatafuta kanisa nikaenda kusali after a long long time. Nakumbuka ilikua ni parokia ya pale Msewe. Mahubiri ya siku hiyo ni kama yalikua yananigusa live. Nikaelewa kwa nini walokole hua wanalia kanisani. Kiufupi yule padre siku hiyo alianza kama kutusema watu tunaoishi kwenye dhambi na kuona kama kawaida, yani uko na girlfriend mnaishi kama mke na mume then mnaona ni sawa tu. Ila akamaliza kutukumbusha kuwa Mungu wetu husamehe. Hii ikanipa walau ahueni kuwa nikiamua kumpigia magoti Mungu nikamuomba msamaha basi atanisamehe. After church, nikarudi home nikiwa na mpango nicheki movie the whole day…
Mida ya saa tisa hivi nikasikia simu inaita…. Kupokea nikajua instantly who was on the other side of the phone. Ile sauti hata angeongea taratibu kwa sauti ya chini bado siwezi isahau. Ni sauti ambayo imeniimbia mara nyingi, imenibembeleza nilipolia, imenichekesha, imenitania, imeniambia nakupenda mara kibao.. it was Norah. Alivyosema hallo, nikajikuta Napata furaha. Ingawa nilishachukua maamuzi ya kumpotezea bt sjui why nilifurahi kusikia sauti yake. Nilikaa sekunde kadhaa bila kusema chochote. Hadi aliporudia tena “hello”, ndo nikakusanya nguvu kumjibu, “hello kiddo”. She giggled (ile kucheka kindanindani kama unaguna). Nikaendelea, “are you ok”, akanijibu everything is fine. ‘simu ya nani?’ akajibu ya housegirl wao. Akaniambia mama yake bado inaonekana anahasira naye ila walau anaitikia salam yake. Ndo kunipa updates ya kilichoendelea. Akasema boss Rona alijifungia chumbani kwake kwa siku mbili, hali chochote. Nora akasema alijihisi mkosaji sana kwa mamayake na kuona amemdisappoint sana.
Akaendelea kuniambia siku ya tatu ilibidi ashinde mlangoni kwa mama yake akilia pia. Akasema alikaa mlangoni kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tano Analia tu na kuomba msamaha. Baadae alivyoona mama yake hafungui ndo ikabidi amwambie mama yake kuwa hawezikuona anakua sababu ya mama yake kupoteza maisha kwa njaa, so anaona bora atangulie yeye… akawa anamuaga pale kwa kumwambia she is the best mom in the world, and she loves her more than anything or anyone in the world, anampenda kiasi kwamba anayatoa maisha yake ili yeye mama yake aendelee kuishi. Akiwa anaondoka pale mlangoni ndo anasikia mlango unafunguliwa, kugeuka anamuona her mom amenyong’onyea macho makavu, ikabidi amfuate wakakumbatiana huku wote wanalia..
Nora akaendelea kuniambia kuwa anachoshangaa ni kuwa kila akimuomba mama yake amsamehe, anamwambia kosa sio lake, ni la huyo bazazi. Ndo akaniuliza, “Kiga au kuna kitu ulimuudhi mom Zaidi ya hiki?”, nikawa najiumauma pale, natamani nimwambie ukweli bt nikajikuta tu ‘hapana’ imenitoka automatically. Then akaendelea kunipa updates kuwa after she made sure her mom is ok, she came to my house, na inaonekana kama sipo muda mrefu. Ndo na mimi nikamhadithia what has happened so far. Sikumficha kitu, “so now you have your own office” aliuliza huku kama anacheka. “yeah its small bt I plan to grow it big”, nikawa namjibu pale. Akauliza hadi ilipo nikamtajia. Bt nikakumbuka kuwa mimi na yeye hatuna future kabisa, kutokana na hii situation ilivyo… so nikamwambia, “Kiddo, I know you love me, believe me, I love you too. Ila mama yako hawezi kubali mahusiano yetu so its better you move on”…. Nakumbuka Norah alikua kimya tu, alipoongea tena nikagundua alikua Analia “you are giving up on me bro …. (sob)……. please, don’t do this…….. my life will be miserable without you…… I love you so much…….. please don’t leave”, sikueza endelea kusikia mpenzi wangu akilia, nikakata simu.
She didn’t call again… although lazima nikiri mara nyingi nilitamani kupiga ile namba ili niongee nae tena. Bt siku zikapita. Wiki moja ikawa mbili, hadi zikafifa tatu. Nikawa najua Norah atakua ameelewa somo. Biashara yangu ikawa I naenda fresh tu, yani sikosi hela ya kula wala kuishi. Muda wote huo sijawaambia mama yangu na dada yangu kuwa nimepiga chini kazi na nipo dsm. Nakumbuka siku moja sis alinipigia akaniambia kampuni inapitia wakati mgumu, kuna maamuzi waliyachukua yanawakost na itachukua months kurudi katika hali ya kawaida, nikapata sababu ya kutowaambia abt me maana watazidi kupanick.
One Friday nakumbuka nipo naburn CDs za watu, tena wale wateja ambao wanataka muda huo huo waondoke nayo. Nikahisi kama kuna mteja amesimama muda mrefu bila kuagiza chochote, muda huo nlikua bize namuongelesha mteja wangu aliyekua amekaa kwa pembeni. Then nikaangalia upande wan je, ndo kumuona sasa,… Norah Mekonnen mwenyewe. Nikajikuta nimesimama ghafla nikamkimbilia. I hugged her so tightly. “what are you doing here?”, wala hata hajibu kitu… “umefikajefikaje hapa?” nikamuuliza huku najichomoa mwilini mwake… alikua amevaa kitu walikua wanaita ‘pedo pusha’ nyeupe na ki t-shirt cha pink. Zilimkaa vyema.
Kwakuwa hakuwa anajibu kitu, nikampa kiti akakaa pale kwa nje, mi nikaingia ndani kumalizana na mteja. Nlivomaliza nikafunga kabisa ofisi, tukasogea pale kwenye bar ndo kuanza kupiga stori. Maswali yangu yakutaka kujua amefikaje pale akayapotezea, alichonambia cha kwanza ni kuwa, anataka kusikia kutoka kwangu direct nikimpiga chini. Nikaanza maelezo pale, ooh unajua mama yako haezi kubali ….
Nikasikia “fu.ck what other people are thinking, the equation is very simple, you love me or you don’t”, “ofcourse I love you, ninachoogopa ni kukupotezea muda wako” nikajielezea pale. Ndo akanambia “skiza Kiga (mara chache sana ananiitaga jina langu halisi), what my mom is feeling now is disappointment, aliniamini sana mimi na pia alikuamini sana wewe akijua huezi mfanyia ulichofanya, but mi na wewe tunajua kuwa tunachofanya kinasukumwa na hisia tunazofeel to each other. Baada ya muda hasira za mama zitapoa, inaeza chukua miezi but it will so lets not give up now”.
Nikashindwa kubisha wala kukubaliana nae. What she was saying made sense, ila najua kama angejua mkanda mzima asingefikiri anavyofikiri sasa. Kiufupi tukakubaliana kuendelea. Nikafurahi kuona anasmile. Akaanza kupata na soda pale huku ananisimulia namna alivyokuja. Anasema alivyoona simtafuti, ilikua hana jinsi ikabidi aje dsm. Alimwambia mama yake anataka aje dar amsalimie KM maana hajamuona muda. Mama yake aligoma katakata, mpaka ikabidi ampigie KM amsaidie kumuombea ruhusa. Mama yake alikubali kwa sharti la kutotoka kwenda popote alone. Ndo akafanikiwa kuja janayake na leo akaanza kunisaka hapa Kimara, akasema anabahati siku ile alisikia nikitaja mtaa ofisi yangu ilipo. Nlipomuuliza kama KM katoa ruhusa, akasema hapana, alivyotoka kwenda job na yeye kamalizia vishughuri pale akaja.
Badae nikamwambia akapaone na home kabisa. Akakubali kwa sharti la kutochelewa maana ni kama ametoroka home. Nikamfikisha hadi ghetto, kuingia ghetto lenyewe simpo, sebule ina stuli tu… na room kuna kitanda, godoro na stuli. It was such a simple life aisee. Bt hata hakumind, she sat on the bed nikakaa kwenye stuli. Akanionesha kwa ishara nikakae pembeni yake, nikatii. Nlivokaa, akanigeukia akaanza kunikiss. I missed those lips. And they didnt disappoint.
Bt nlivotaka kuanza kutalii maeneo mengine akaniomba niache. Akahofia tukianza atachelewa kutoka na kesho atashindwa kuja. Basi nikamuacha, we started talking other things, ndo akaniambia j3 wanafungua shule, so jpili anasepa. Bt akawa ameahidi kesho atakuja mapema.
Kesho yake mida ya saa nne kweli akaja. Nlikua hata sijatoka kitandani. Siku hiyo sikua na mpango wa kwenda kufungua ofisi. Kunfungulia ndo kuona kaja na mazagazaga kibao. Yaani alikuja na jiko la mafuta ya taa, masufuria, ndoo, sahani, vijiko vikombe yaani alifungasha hasa. Mi nashangaa pale, binti kaanza kuandaa cha kupika, alikua amenunua maini buchani pamoja na unga wa ugali. Akanambia nikajipumzishe room. Kweli nikamuachia nafasi afanye yake. Nikawa nacheki tu movie kitandani. Alifanya usafi kila mahali that day alivyomaliza kupika, then ndo akaniletea msosi, tukakaa chini tukaanza kula.
Mara anilishe na mimi namlisha, namsifia amepika vizuri (ingawa akawa anajistukia kazidisha chumvi, bt was ok to me) bas it was full burdani. After eating akaosha kila kitu then akaniambia tukaoge. Bafu lilikua out, ila kuna uzio na wapangaji ni wawili tu tunaoshare bafu, nikaona sio kesi twen’zetu. Aliniogesha that day, then alivonitakatisha, kaanza kuosha rombo kwa mdomo wake. It felt so good. Kiufupi cha kwanza nilikiachia mdomoni kwake, na wala hakuhangaika kutema……….
Mechi kamili ilipigwa ndani. Mpaka tunamaliza ni jioni kigiza kinaingia. Nlikua nmemuandalia zawadi ya hela. Nlijua anaenda shule so nikawa nimemuwekea laki moja katikati ya kadi ya ‘thank you’, nikamwambia asifungue mpaka kesho akiwa kwenye basi, akapromise atafanya hivyo. Wakati namsindikiza akaniambia ameniachia pia zawadi chini ya sahani kwenye stuli ya sebuleni, nikirudi nikaicheki. Nakumbuka nimemsindikiza hadi kituoni, nikaona haitoshi, nikapanda nae gari hadi ubungo pale tanesko ndo kituo kilikuepo. Nikampandisha gari za tabata, nikaona haitoshi na mimi nikazama. Kiufupi nlimsindikiza hadi nje ya nyumba yao that day.
Nlivorudi direct kwenye zawadi. Kufunua sahani, nakutana na hela. Elfu hamsini za noti. I just smilled. Nikaona ameandika na ujumbe, anasema “this is to show you that, I always got your back. So no matter what, please don’t give up on me….. I love you”.
Ahadi ya kuiendeleza kesho ipo palepale. Hii ni bonus tu kwa waliomiss wiki nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisema muda sana tangu mzee wetu JBouner59 amalize stori yake hii ndiyo stori iliyochukua nafasi katika uandishi wa kusisimua yaani like unacheki movie,The continuing story of how I met my wife.....
.....Winter is Coming....
So kiufupi I travelled to Dsm that same day. Nakumbuka kwenye basi nilikaa kwenye siti na dada mmoja hivi ambaye alikua anapenda penda kama tuongee hivi, bt I was not in the mood. Itakua ndo wale wanaoliwaga kimasihara na masela kwenye uzi wa rikiboy. Nimefika DSM night. I took a room kwa hotel nikajitupia kitandani.
Asubuhhi naamka ndo nasikia njaa, nikakumbuka mara ya mwisho kula ni juzi yale mayai na kahawa. Nikaamua kutoka ile hotel na kwenda kutafuta msosi. Mpaka leo hua napita maeneo ya bar ya pale riverside na kuwaunga hata kwa bia mbili kwa kumbukumbu ya siku ile. Nakumbuka nilikaa sana pale, yaani kuanzia breakfast hadi dinner. But niliutumia muda wangu vizuri. I planned my life that day.
Kwanza nilijua natakiwa kusahau kuhusu mapenzi. I had a shot at love and I blew it. So nikaamua that day kuwa, nikifika miaka 30, ntazaa na mwanamke yeyote tu. Then baadae ntaongeza wengine kadri life litakavyoruhusu. Pili nikaamua pesa kidogo nliyokua nayo ntafungua ofisi ya issue za kuburn CD (enzi hizo it was a big deal), kuflash simu, kucharge simu pamoja na kuuza some accessories za simu. Na mwisho niliamua kuwa na kampuni sasa ile niliyokua naiplan siku zote.
That day nililala hotel pia. Ila kesho yake nikaingia mitaa ya Kimara kusaka geto. Dar bana, hela yako tu, huchelewi kupata unachotaka. Ingawa sikupata aina ya makazi ninayotaka sehemu ambayo ni karibu na barabara, ila nilifanikiwa kupata chumba na sebule eneo fulani katikati ya Baruti na Msewe. It was a good compound, full usalama na eneo la kutosha. Same day nikanunua kitanda kidogo futi 3.5 pamoja na godoro. Mpaka namaliza hiyo michakato yote jioni ishafika. Zamani kulikua na bar moja maarufu pale kimara baruti, nikaenda kupata msosi na kuangalia live band huku natafakari how my life will be. Ila kila nikimkumbuka Nora Napata maumivu ya moyo. Love hurts aisee.
So that’s how I settled in Dar. Ofisi yangu ilikua mitaa ya kimara Korogwe pale, ule mtaa juu ya tuta la barabara karibu na bar flani walikua wanauza kitimoto moja matata (ustaadh JBourne59 utanisamehe hahaha). Wiki ya kwanza ilikua ya watu kuja kushangaa shangaa tu pale hasa wadada. Utasikia “kaka una wimbo wa Suma lee” ukisema upo utasikia “wa Pasha je, ule unaitwa ni soo?” ukimwambia upo pia basi anakwambia ntakuja kuburn cd kesho, ziandae kabisa. kesho hata humuoni, akija basi itakua ni kwa issue nyingine kabisa. Bt the next week nikaanza kupata walau hela ya kula. I burned VCDs na MP3s za kutosha. All this time, wala sikutaka kujua whats happening in Dom. Kusema ukweli matamanio yangu ilikua Nora anisahau kabisa, na amove on. Ingawa nilimpenda bt our relationship has become too much complicated to take it further. She is young and beautiful, she will find someone else.
Then Sunday nikatafuta kanisa nikaenda kusali after a long long time. Nakumbuka ilikua ni parokia ya pale Msewe. Mahubiri ya siku hiyo ni kama yalikua yananigusa live. Nikaelewa kwa nini walokole hua wanalia kanisani. Kiufupi yule padre siku hiyo alianza kama kutusema watu tunaoishi kwenye dhambi na kuona kama kawaida, yani uko na girlfriend mnaishi kama mke na mume then mnaona ni sawa tu. Ila akamaliza kutukumbusha kuwa Mungu wetu husamehe. Hii ikanipa walau ahueni kuwa nikiamua kumpigia magoti Mungu nikamuomba msamaha basi atanisamehe. After church, nikarudi home nikiwa na mpango nicheki movie the whole day…
Mida ya saa tisa hivi nikasikia simu inaita…. Kupokea nikajua instantly who was on the other side of the phone. Ile sauti hata angeongea taratibu kwa sauti ya chini bado siwezi isahau. Ni sauti ambayo imeniimbia mara nyingi, imenibembeleza nilipolia, imenichekesha, imenitania, imeniambia nakupenda mara kibao.. it was Norah. Alivyosema hallo, nikajikuta Napata furaha. Ingawa nilishachukua maamuzi ya kumpotezea bt sjui why nilifurahi kusikia sauti yake. Nilikaa sekunde kadhaa bila kusema chochote. Hadi aliporudia tena “hello”, ndo nikakusanya nguvu kumjibu, “hello kiddo”. She giggled (ile kucheka kindanindani kama unaguna). Nikaendelea, “are you ok”, akanijibu everything is fine. ‘simu ya nani?’ akajibu ya housegirl wao. Akaniambia mama yake bado inaonekana anahasira naye ila walau anaitikia salam yake. Ndo kunipa updates ya kilichoendelea. Akasema boss Rona alijifungia chumbani kwake kwa siku mbili, hali chochote. Nora akasema alijihisi mkosaji sana kwa mamayake na kuona amemdisappoint sana.
Akaendelea kuniambia siku ya tatu ilibidi ashinde mlangoni kwa mama yake akilia pia. Akasema alikaa mlangoni kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tano Analia tu na kuomba msamaha. Baadae alivyoona mama yake hafungui ndo ikabidi amwambie mama yake kuwa hawezikuona anakua sababu ya mama yake kupoteza maisha kwa njaa, so anaona bora atangulie yeye… akawa anamuaga pale kwa kumwambia she is the best mom in the world, and she loves her more than anything or anyone in the world, anampenda kiasi kwamba anayatoa maisha yake ili yeye mama yake aendelee kuishi. Akiwa anaondoka pale mlangoni ndo anasikia mlango unafunguliwa, kugeuka anamuona her mom amenyong’onyea macho makavu, ikabidi amfuate wakakumbatiana huku wote wanalia..
Nora akaendelea kuniambia kuwa anachoshangaa ni kuwa kila akimuomba mama yake amsamehe, anamwambia kosa sio lake, ni la huyo bazazi. Ndo akaniuliza, “Kiga au kuna kitu ulimuudhi mom Zaidi ya hiki?”, nikawa najiumauma pale, natamani nimwambie ukweli bt nikajikuta tu ‘hapana’ imenitoka automatically. Then akaendelea kunipa updates kuwa after she made sure her mom is ok, she came to my house, na inaonekana kama sipo muda mrefu. Ndo na mimi nikamhadithia what has happened so far. Sikumficha kitu, “so now you have your own office” aliuliza huku kama anacheka. “yeah its small bt I plan to grow it big”, nikawa namjibu pale. Akauliza hadi ilipo nikamtajia. Bt nikakumbuka kuwa mimi na yeye hatuna future kabisa, kutokana na hii situation ilivyo… so nikamwambia, “Kiddo, I know you love me, believe me, I love you too. Ila mama yako hawezi kubali mahusiano yetu so its better you move on”…. Nakumbuka Norah alikua kimya tu, alipoongea tena nikagundua alikua Analia “you are giving up on me bro …. (sob)……. please, don’t do this…….. my life will be miserable without you…… I love you so much…….. please don’t leave”, sikueza endelea kusikia mpenzi wangu akilia, nikakata simu.
She didn’t call again… although lazima nikiri mara nyingi nilitamani kupiga ile namba ili niongee nae tena. Bt siku zikapita. Wiki moja ikawa mbili, hadi zikafifa tatu. Nikawa najua Norah atakua ameelewa somo. Biashara yangu ikawa I naenda fresh tu, yani sikosi hela ya kula wala kuishi. Muda wote huo sijawaambia mama yangu na dada yangu kuwa nimepiga chini kazi na nipo dsm. Nakumbuka siku moja sis alinipigia akaniambia kampuni inapitia wakati mgumu, kuna maamuzi waliyachukua yanawakost na itachukua months kurudi katika hali ya kawaida, nikapata sababu ya kutowaambia abt me maana watazidi kupanick.
One Friday nakumbuka nipo naburn CDs za watu, tena wale wateja ambao wanataka muda huo huo waondoke nayo. Nikahisi kama kuna mteja amesimama muda mrefu bila kuagiza chochote, muda huo nlikua bize namuongelesha mteja wangu aliyekua amekaa kwa pembeni. Then nikaangalia upande wan je, ndo kumuona sasa,… Norah Mekonnen mwenyewe. Nikajikuta nimesimama ghafla nikamkimbilia. I hugged her so tightly. “what are you doing here?”, wala hata hajibu kitu… “umefikajefikaje hapa?” nikamuuliza huku najichomoa mwilini mwake… alikua amevaa kitu walikua wanaita ‘pedo pusha’ nyeupe na ki t-shirt cha pink. Zilimkaa vyema.
Kwakuwa hakuwa anajibu kitu, nikampa kiti akakaa pale kwa nje, mi nikaingia ndani kumalizana na mteja. Nlivomaliza nikafunga kabisa ofisi, tukasogea pale kwenye bar ndo kuanza kupiga stori. Maswali yangu yakutaka kujua amefikaje pale akayapotezea, alichonambia cha kwanza ni kuwa, anataka kusikia kutoka kwangu direct nikimpiga chini. Nikaanza maelezo pale, ooh unajua mama yako haezi kubali ….
Nikasikia “fu.ck what other people are thinking, the equation is very simple, you love me or you don’t”, “ofcourse I love you, ninachoogopa ni kukupotezea muda wako” nikajielezea pale. Ndo akanambia “skiza Kiga (mara chache sana ananiitaga jina langu halisi), what my mom is feeling now is disappointment, aliniamini sana mimi na pia alikuamini sana wewe akijua huezi mfanyia ulichofanya, but mi na wewe tunajua kuwa tunachofanya kinasukumwa na hisia tunazofeel to each other. Baada ya muda hasira za mama zitapoa, inaeza chukua miezi but it will so lets not give up now”.
Nikashindwa kubisha wala kukubaliana nae. What she was saying made sense, ila najua kama angejua mkanda mzima asingefikiri anavyofikiri sasa. Kiufupi tukakubaliana kuendelea. Nikafurahi kuona anasmile. Akaanza kupata na soda pale huku ananisimulia namna alivyokuja. Anasema alivyoona simtafuti, ilikua hana jinsi ikabidi aje dsm. Alimwambia mama yake anataka aje dar amsalimie KM maana hajamuona muda. Mama yake aligoma katakata, mpaka ikabidi ampigie KM amsaidie kumuombea ruhusa. Mama yake alikubali kwa sharti la kutotoka kwenda popote alone. Ndo akafanikiwa kuja janayake na leo akaanza kunisaka hapa Kimara, akasema anabahati siku ile alisikia nikitaja mtaa ofisi yangu ilipo. Nlipomuuliza kama KM katoa ruhusa, akasema hapana, alivyotoka kwenda job na yeye kamalizia vishughuri pale akaja.
Badae nikamwambia akapaone na home kabisa. Akakubali kwa sharti la kutochelewa maana ni kama ametoroka home. Nikamfikisha hadi ghetto, kuingia ghetto lenyewe simpo, sebule ina stuli tu… na room kuna kitanda, godoro na stuli. It was such a simple life aisee. Bt hata hakumind, she sat on the bed nikakaa kwenye stuli. Akanionesha kwa ishara nikakae pembeni yake, nikatii. Nlivokaa, akanigeukia akaanza kunikiss. I missed those lips. And they didnt disappoint.
Bt nlivotaka kuanza kutalii maeneo mengine akaniomba niache. Akahofia tukianza atachelewa kutoka na kesho atashindwa kuja. Basi nikamuacha, we started talking other things, ndo akaniambia j3 wanafungua shule, so jpili anasepa. Bt akawa ameahidi kesho atakuja mapema.
Kesho yake mida ya saa nne kweli akaja. Nlikua hata sijatoka kitandani. Siku hiyo sikua na mpango wa kwenda kufungua ofisi. Kunfungulia ndo kuona kaja na mazagazaga kibao. Yaani alikuja na jiko la mafuta ya taa, masufuria, ndoo, sahani, vijiko vikombe yaani alifungasha hasa. Mi nashangaa pale, binti kaanza kuandaa cha kupika, alikua amenunua maini buchani pamoja na unga wa ugali. Akanambia nikajipumzishe room. Kweli nikamuachia nafasi afanye yake. Nikawa nacheki tu movie kitandani. Alifanya usafi kila mahali that day alivyomaliza kupika, then ndo akaniletea msosi, tukakaa chini tukaanza kula.
Mara anilishe na mimi namlisha, namsifia amepika vizuri (ingawa akawa anajistukia kazidisha chumvi, bt was ok to me) bas it was full burdani. After eating akaosha kila kitu then akaniambia tukaoge. Bafu lilikua out, ila kuna uzio na wapangaji ni wawili tu tunaoshare bafu, nikaona sio kesi twen’zetu. Aliniogesha that day, then alivonitakatisha, kaanza kuosha rombo kwa mdomo wake. It felt so good. Kiufupi cha kwanza nilikiachia mdomoni kwake, na wala hakuhangaika kutema……….
Mechi kamili ilipigwa ndani. Mpaka tunamaliza ni jioni kigiza kinaingia. Nlikua nmemuandalia zawadi ya hela. Nlijua anaenda shule so nikawa nimemuwekea laki moja katikati ya kadi ya ‘thank you’, nikamwambia asifungue mpaka kesho akiwa kwenye basi, akapromise atafanya hivyo. Wakati namsindikiza akaniambia ameniachia pia zawadi chini ya sahani kwenye stuli ya sebuleni, nikirudi nikaicheki. Nakumbuka nimemsindikiza hadi kituoni, nikaona haitoshi, nikapanda nae gari hadi ubungo pale tanesko ndo kituo kilikuepo. Nikampandisha gari za tabata, nikaona haitoshi na mimi nikazama. Kiufupi nlimsindikiza hadi nje ya nyumba yao that day.
Nlivorudi direct kwenye zawadi. Kufunua sahani, nakutana na hela. Elfu hamsini za noti. I just smilled. Nikaona ameandika na ujumbe, anasema “this is to show you that, I always got your back. So no matter what, please don’t give up on me….. I love you”.
Ahadi ya kuiendeleza kesho ipo palepale. Hii ni bonus tu kwa waliomiss wiki nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeitika boss. Nashukuru. Hamna binadam ambaye hapendi sifa, so mnavyonisifia napata mzuka kinoma hahahaha. Ingawa naheshimu sana pia wanaoona mapungufu na kunikosoa. Again, shukrani.Nilisema muda sana tangu mzee wetu JBouner59 amalize stori yake hii ndiyo stori iliyochukua nafasi katika uandishi wa kusisimua yaani like unacheki movie,
Kiga Kiga Kiga Koyoooooo
Nimekuita mara tatu kabisa,
Kuna watu maisha yenu mliyoishi hapo nyumba ni zaidi ya true story.
Sent using Jamii Forums mobile app
To be honest sijawahi soma kitu chochote JF nikalengwa na machozi, but this story, maaan, this story just left my eyes all watery! It's not just how meticulously crafted your writing is, but ishu nzima yan iko unbelievably mind blowing and utterly heartbreaking! Darn! Anyway, nausubiria kwa hamu kubwa mwendelezo wa hiki kisa. Kuna mengi sana ya kujifunza, among other things. Woooow!The continuing story of how I met my wife……..
……..The long winter……
Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.
Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.
Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).
Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.
Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.
Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.
Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.
Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.
Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.
Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.
Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.
Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.
Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.
Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.
Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.
Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.
Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",
“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,
At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….
Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.
Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.
Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.
Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.
IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".
Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.
That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.
Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.
Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.
The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.
Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.
Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.
Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.
So that’s how I went and stayed one yr in England…..
Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.
Yanga hoyee!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
To be honest sijawahi soma kitu chochote JF nikalengwa na machozi, but this story, maaan, this story just left my eyes all watery! It's not just how meticulously crafted your writing is, but ishu nzima yan iko unbelievably mind blowing and utterly heartbreaking! Darn! Anyway, nausubiria kwa hamu kubwa mwendelezo wa hiki kisa. Kuna mengi sana ya kujifunza, among other things. Woooow!
NB: Simon Sinek - Start With Why (On it)
To be honest sijawahi soma kitu chochote JF nikalengwa na machozi, but this story, maaan, this story just left my eyes all watery! It's not just how meticulously crafted your writing is, but ishu nzima yan iko unbelievably mind blowing and utterly heartbreaking! Darn! Anyway, nausubiria kwa hamu kubwa mwendelezo wa hiki kisa. Kuna mengi sana ya kujifunza, among other things. Woooow!
NB: Simon Sinek - Start With Why (On it)
kwa mara nyingine tena,nikiona mwendelezo tu nagonga 'like' hata kabla ya kuanza kusoma hahah..!good!The continuing story of how I met my wife……..
……..The long winter……
Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.
Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.
Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).
Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.
Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.
Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.
Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.
Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.
Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.
Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.
Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.
Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.
Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.
Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.
Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.
Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.
Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",
“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,
At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….
Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.
Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.
Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.
Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.
IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".
Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.
That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.
Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.
Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.
The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.
Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.
Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.
Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.
So that’s how I went and stayed one yr in England…..
Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.
Yanga hoyee!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu stori yako hata huwezi kubuni mwisho wake ni wapi,maana nilijua kwenye kumchana makavu Boss Rona basi ushamaliza kila kitu kumbe ndiyo kwanza stori imefika patamu.The continuing story of how I met my wife……..
……..The long winter……
Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.
Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.
Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).
Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.
Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.
Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.
Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.
Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.
Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.
Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.
Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.
Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.
Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.
Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.
Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.
Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.
Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",
“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,
At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….
Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.
Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.
Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.
Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.
IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".
Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.
That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.
Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.
Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.
The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.
Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.
Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.
Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.
So that’s how I went and stayed one yr in England…..
Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.
Yanga hoyee!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
dah...... she made a huge mistake kukutukana hadharani tena mbele ya watu, i guess huku mbele yeye ndiye atakutafuta ili muongee yaishe maisha yasonge!The continuing story of how I met my wife……..
……..The long winter……
Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.
Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.
Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).
Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.
Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.
Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.
Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.
Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.
Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.
Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.
Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.
Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.
Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.
Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.
Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.
Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.
Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",
“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,
At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….
Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.
Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.
Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.
Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.
IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".
Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.
That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.
Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.
Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.
The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.
Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.
Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.
Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.
So that’s how I went and stayed one yr in England…..
Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.
Yanga hoyee!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app