How I Met My Wife

How I Met My Wife

2nd Post
**********

Tuliumiza kichwa sana namna gani Boss Rona anarudi kwake bila kuzua varangati. Maana hata ungekua ww ndugu msomaji, mkea anarudi sketi imechanwa, shati limechanwa na kachafuka oil ingekua ngumu kumuelewa. So idea mojawapo ilikua tupite town tununue nguo then apitie kwangu aoge kisha abadilishe. Ila wanawake bana wako very smart hasa inapokuja kwenye suala la survival. Akachukua simu yake akampigia mumewe, “babe gari imeharibika njiani, naomba uje unichukue" kamtajia barabara mojawapo pale mjini, then kazjma simu akaniambia problem solved twen'zetu. Na hata Tshirt yangu kanirudishia hahahah. Amefika kwake jamaa hayupo kaenda kumchukua mkewe. Sasa sijui alivorudi mzee baba aliambiwaje.

Basi mazoea na Boss yalizidi sana. Siku moja yupo kwangu baada ya mechi, tumejipumzisha kitandani akkaniambia, “Ujue Kiga sijawahi penda in my life. Yaani pamoja na kuwa nimeolewa na nina watoto ila sijabahatika kufall in love, wewe ndo mwanaume wa kwanza kukupenda and I love you so much" nikamwambia how comes hajawahi penda,? Vipi kuhusu mwanaume wako wa kwanza? Boss Rona alikua amelala kiupandeupande tukiwa uchi, kichwa ameegemeza kwenye kiganja cha mkono mmoja, huku mkono mwingine ukiwa unatalii kifuani kwangu, nilivyomuuliza kuhusu baba mtoto wake wa kwanza, akalala chali akaangalia darini kisha akafunguka.

“Nilivyokua form three mwishoni mwezi November, majira ya jioni mzee alinituma duka la jirani nikamchukulie pakti ya sigara. Nakumbuka ilikua kama saa 12.30 hivi kigiza kilikua kimeanza kuingia. Bbaada ya kununua pakti ya Sportsman, pale dukani kulikua na mkaka amesimama kwa pembeni, wakati natoka yule kaka akanisemesha kwa kiingereza, akaniomba samahani na kuniomba nimsaidie kumtafsiria kitu kwa muuzaduka maana walikua hawaelewani lugha.

Kumuangalia vizuri nikaona kweli ni mgeni, yaani anawajihi kama wa kisomali hivi. Basi kwq kuwa ngeli kwangu haikua shida nikamsaidia akapata anachotaka. Then akannambia kwa kuwa amenichelewesha anaomba anisindikize hadi home maana giza lishaanza kuingia. Nikqmwambia asijali home sio mbali. Akasisitiza sana nikaona sio kesi. Katika kunisindikiza ndo nikafahamu anaitwa Mekonnen na ni raia wa Ethiopia. Amekuja Tz kwa short course ya miezi miwili inafanyika chuo kikuu pale mlimani. Tulivyofika karibu na home nikamwambia nimefika asante, Mekonnen akaomba kama sitojali anione kesho yake pia ili tufahamiane vizuri, “who knows you might find urself in Addis someday" nikacheka. Akasuggest saa nane kamili atakua ananisubiri kituo cha basi pale Urafiki. Then akasepa, yaani hakunipa hata nafasi ya kukubali au kukataa.

Kesho yake was Saturday, so out of curiosity, nikaaga naenda kwq rafiki yangu Tina then huyo nikasepa zangu kumuona Mekonnen. Nilichelewa kama dkk 40 hivi ila nilimkuta mkaka wa watu amenisubiri. Kwa kuwa ilikua mchana ndo nilimuona vizuri, he was handsome, ila sio kama ww mpenzi (akajihami mapema) and had very good eyes. Basi alivyoniona alifurahi sana. Then akachukua taxi, “nipeleke chuo hall six" nikamwambia kumbe kiswahili unakijua? Akajitetea kuwa amekariri some phrases za muhimu.

Kufika hall 6, kuna block moja wanakaaga foreigners, tukapanda ngazi mpqka room kwake. Nikakaa kwenye kiti, then akatoa juice aliyoihifadhi kwenye jagi akanipatia. Tukaanza stori za Ethiopia na historia yao hasa ya mfalme wao wa karne ya 19 Tewodros wa pili iliyonivutia sana. Badae akabadili mada kuanza kunisifia pale nilivyoumbika, mara ghafla akanifata kaanza kunishika matiti. I was surprised nikajikuta sijui nifanyaje nikabaki nimetulia. Akili ilivyokuja kukaa sawa keshafungua vifungo vya shati ananyonya chuchu. Nikawa kama nahisi raha, nikasema potelea mbali ngoja nippate cha kuwasimulia akina Tina shuleni j3.

Kukatisha stori, Mekonnen akawa amenila kimasihara siku hiyo. Akanipa hela akasema hii utumie kama nauli ya kuchukua taxi kesho uje tena. Mi kimoyomoyo nasema hapa sirudi. Nafika home nimechelewa nakuta maza kukasirika mbaya. Wamama wanakuaga na machale sana hasa siku mabinti zao wanapochezea mshipi kwa mara ya kwanza. Akajikuta ananigombeza kama nusu saa. Basi nikaomba msamaha yakaisha. Bahati nzuri mzee hakuepo maana yule Mkurya akiamua kupiga hajali ww ni wa kike au kiume, kama anapiga mwizi.

Basi siku zikapita, baada kama ya wiki mbili hivi, siku moja namsaidia mama kuandaa pilau home, nikawa namenya vile vitunguu saumu, tunapiga stori fresh tu na maza, mara nashangaa mama ameniangalia kwa makini hasa eneo la juu ya kifua shingo inapoanzia. Mwanzoni nikahisi nimeexpose utajiri wangu, kujicheki niko sawa. Sikutegemea swali aliloniuliza, kwa upole kabisa akasema “Rona mwanangu, siku ulipochelewa kurudi ulikutana na mwanaume? Dah, ntajibu nn sasa. Nikajikuta vitunguu simenyi, kujibu sijibu ninetizama tu chini. Maza akanisisitizia tena “tell me the truth" nikajikuta naitikia kwa kichwa, then nikafuliliza na maneno kama buku ya kuomba msamaha na kupromise sitakaa nirudie. Nikaona mama machozi yanamlengalenga then akasema “its too late now, YOU ARE PREGNANT". Then akaniacha hapo kaenda room kwake. Nikakaa hapo kama dkk 10, najiambia its not true, its not true, its not true…

Kesho yake tumeishi kama paka na panya, nilivyomsalimia kwannza hata hakuitikia, nikajifungia zangu room siku nzima hata sikula that day. Siku iliyofuata nakumbuka maza alikua anasafiri kwenda Moro kikazi, nikapata ahueni. Ila bado nikawa sina raha. Siku hazigandi, wiki iliyofuata maza karudi, cha kwanza kanipeleka hospital, majibu ya vipimo kutoka kweli nina mimba. Almanusura nizirai, I swear I just wanted to die. What will I do. How will I survive? Mama ananiuliza eti ninampango gani? Who is the father? Ikabidi nifunguke A to Z.

Naona maza aliona hii ngoma sasa nzito, ikabidi amshirikishe mzee baba, mjeda mwenyewe, mzee Ghatti. Nakumbuka ilikua jioni kama saa 12 hivi siku ya ijumaa, nasikia mzee ananiita kwa sebule, Ronaaaa!. Roho ikapasuka pah!. Nikawakuta wamekaa wote baba na mama. Nilipoketi mama akaniambia, haya mueleza baba yako umalaya wako…. Nikapiga goti nikatembea kwa magoti mpaka kwa baba, nikamuomba msamaha kwa dhati kabisa. Baba hakusema neno, akawa ananiangalia, mm nikawa natarajia nianze kupigwa mangumi. Mara nasikia sauti ya baba kama analia, kuinua macho, dah… my dad alikua kaweka uso kwenye viganja vya mikono, machozi tu yanamtiririka… Since hili sekeseke limeanza sikuwahi kulia, but seeing my father cry like that, melted my heart and I cried too.

I cried a lot. Nikajutia kugawa uroda kizembe. Ndo maana huwa nawaambia wazazi, kumpiga mtoto anapokosea unamtengenezea tu ile hofu kwako. Yyaani akiwa na uhakika jambo ambalo umemkataza kuwa anaweza kulifanya na ww usijue basi atalifanya. Ila mtoto akiona jambo alilofanya limekuumiza mzazi wake, yaani aone ile pain aliyosababisha, hakika itafanya achukie kitendo alichokifanya.

Mzee kaniacha pale nalia, mama kaenda kumpoza mumewe. Baadae nikarudi room nikajilaza. Sijui hata usingizi ulikuja saa ngapi. Nakuja kushtushwa na mlango ukigongwa asubuhi. Mama kaingia. Wote macho yametuvimba. Animalia nikae then kaniambia baba yako amesema hataki kukuona hapa, ushakua mtu mzima kaishi na huyo mmeo, hataki hata mahari yako.

That was the last time nimeishi home kwetu. Kinachoniuma hadi leo ni kuwa the last noment kumuona baba yangu ni ile akiwa analia. It pains me bado. Nilivyofukuzwa home, pa kukimbilia nikaona ni kwa shangazi, mitaa ya Ukonga. Nakumbuka ilikua kama saa saba hivi mchana. Nilivyo msimulia naye kasema baba yako atahisi mm niko upande wako, ww rudi home then ntakuja niongee nae. Mmh. Nikaona hapa balaa. Nimezurura tu mtaani hadi saa 12 jioni ndo wazo la kwenda hall 6 likanijia, labda tukae na Mekonnen tuone tunasolve vipi. Kufika kule saa mbili kasoro, gonga mlango anatoka mdada.. “nikusaidie nini", Mekonnen nimemkuta? Yule dada kaniangaliaaaaa, then akajitambulisha kuwa eti yeye ndo mke wa Mekonnen , nikaishiwa nguvu.. nikatembea usiku ule mpaka ubungo, nikapata wazo la kwenda kwa baba mdogo Magomeni. Kufika na kibegi changu, uzuri alinipokea nikasema hapa siwasimulii mpaka kesho nisije timuliwa usiku huu.

Kesho yake nikawahadithia mkasa mzima. Mzee akasema basi kaa hapa nikiwa naendelea kutafuta suluhu na baba yako. Nikasemma hewala, Mungu hamtupi mja wake, hasa mja mzito hahahaha. Kumbe ba mdogo nae bazazi tu. Yaani nikajifunza kuwa mwanaume hakusaidii kitu mpaka nayeye afaidike, hata ndugu. Siku moja usiku nimelala nasikia kitasa kinafunguliwa, nikajikausha, mara naona mtu anapanda kitandani, nikakurupuka nikasimama. Kumcheki ba mdogo kavaa kichupi tu yuko kifua wazi. Ananifuata kunihug, sasa nikashindwa cha kuamua, nitulie niliwe na ba mdogo ili niendelee kuishi pale, au nigome anitimue. Najua hata yy aliona huyu hana option, akawa ananiminya makalio, dah nikajikuta tu nimepiga ukungaa. Ukunga ukamfanya na yy apanik kaniachia, akawa anatoka room nilipokua, hamad! Wakakutana na mkewe mlangoni kwangu mke kunicheki nimejikunyanta kwenye kona ya room, kumcheki mumewe ana kichupi, nikasikia tu, baba Bhoke, unataka mbaka mwanao. Sijui walimalizaje hiyo kesi room kwao. Mm ilivyofika saa 12asbh nikakusanya kilicho changu nikasepa.

Ntaenda wapi sasa. Nakumbuka nilikaa sana kwenye kituo cha basi siku hiyo. Nikawaza kuna mwalimu wangu wa kike alikua ananipenda sana na nilikua napajua kwake mitaa ya mkwajuni. Nikatembea kwa mguu mpaka kwake, alikua amepanga nyumba moja nyuma ya msikiti pale. Kuniona na begi nahisi alijua tu ujio sio wa kawaida, maana alinifuata akanihug huku mikono yake ikitambaa kichwani kwangu, I cried a lot on her shoulders. All the time ananibembeleza kama mtoto ile, shhhh! Shhhhh! Shhhhh! Its ok now, it will be ok. I felt tired and relaxed at the same time. Akanikaribisha home, hakuniuliza hata chochote, kaniambia nikaoge, nlivyomaliza nikala, then kwa kuwa nyumba ilikua chumba kimoja tu na sebule akaniwekea mazingira pale sebuleni kaniambia pumzika. Huezi amini niliamka saa mbili usiku.

Kuamka nikakuta ashapika cha jioni, then nikasikia anaita, “mpenzi, mgeni ameamka njoo umsalimie" akatoka chumbani mkaka mmoja hivi, kwa umri alionekana kama mdogo kidogo kwa madam Nora. Nikamsalimia pale, akakaa. Kichwani nawaza tu yale ya ba mdogo yatajirudia hapa. Nikajisemea itakua sina jinsi, itabidi tu nigawe uchi maana inaonekana ndo passport yangu ya kupata usalama na malazi. Basi yule shemeji ambaye madam Nora alimtambulisha anaitwa KM, akaniomba niwasilimulie yaliyonikuta. Nikawapa mkanda mzima sikuficha kitu (ingawa issue ya ba mdogo niliipindisha kidogo kumlindia heshima).

Wakanipa moyo pale na madam Nora akawa analalamika namna watoto wa kike tunavyonyanyasika. Akasema hapo mdogo wangu jamii inakuhukumu kwa kupata mimba, watu wanasahau kuwa mimba ni matokeo tu, kosa lako lilikua moja tu la kufanya mapenzi ktk umri huo, na hilo ni kosa ambalo hata kama baba yako angelisikia angekuadhibu akakusamehe. Ingekua kila anayefanya mapenzi anapata mimba basi asilimia 80 ya wanawake wote unaowaona wangekua walifukuzwa na wazazi wao. Na sio hilo tu, binti anayechukua uamuzi wa kutoitoa mimba yake huyo ni wakutiwa moyo maana wengi huishia kufanya kosa la kutoa mimba kwa kuogopa haya unayopitia sasa.

Kimsingi madam alinipa faraja sana. Nimekaa pale siku tatu hivi, madam akanambia sasa inabidi tutafute suluhu na mzee. Kweli mmadam kaenda mpaka home, alivyorudi akaniambia mzee kamtimua tena kwa bastola, nikajikuta namuonea huruma. Kesho yake akaniambia ameshauriana na mpenzi wake wameona ni hatari kukaa na mtoto wa watu, lolote laeza tokea, nikaona sasa hapa natimuliwa tena dah! Wakashauri tukapige ripoti polisi Magomeni, kufika polisi wakasema twende ustawi wa jamii maana mm bado ni minor.

Yule shemeji KM alikua anafahamika sana (Baadae nilikuja kujua ni mcheza mpira wa timu moja maarufu hapa mjini, na hilo jina KM ni ufupisho wa neno Kiungo Mtaratibu, jina alilopewa na watangazaji wa RTD) kwa hiyo akawaomba polisi waweke kwenye record kuwa Rona Ghatti anaishi kwa madam Nora. Ikawa kama taarifa ya kuokotwa mtoto aliyepotea hahahaa. Baadae kweli tukaenda ustawi nako protocal kibao, tukaambiwa tuanzie kwa mjumbe. Ila basi lengo la familia hii iliyonipokea likatimia. Serikali inatambua niko pale .

Bbaada ya wiki shule zikawa zinafunguliwa, tumbo halijawa kubwa madam kanambia ww twende. Wakati huo shemeji KM akawa anafuatilia kuhusu Mekonnen, walau ampe taarifa anakiumbe chake. Kupitia kwa professsor mmoja pale chuoni ambaye alikua ni mdau mkubwa sana wa timu anayochezea akafanikiwa kujua kuwa ni kweli kuna waethiopia walikua UD kwa short course ppale idara ya mimea na ni kweli kuna mmoja anaitwa Mekonnen, basi tukawa tumepata adress ya taasisi wanayotoka kule kwao. Nikapata walau faraja kuwa mwanangu attamjua baba yake. Tukaandika barua kwenda Ethiopia.

Form four hiyo ilivyofika mwezi March tumbo likawa linaonekana kwa mbali maana miezi minne, ila uzuri halikua kubwa sana. Madam alikua ananisaidia sana kukwepa vile vipimo vyao vya mimba shule. Ila baada ya midterm break , madam kashauri nisiende shule. KM akanitafutia vyeti vya kufoji kuwa naumwa figo so niko hospitalized[emoji1787][emoji1787] lengo nikae home then nikafanye tu mtihani.

Ikawa hivyo. Madam alinijali sana, alihakikisha nakula vizuri, aliniletea vitabu vya kujisomea ili nijiweke tayari. Shem KM yy hakua vizuri sana kimasomo ila alikua ananipa kampani sana, mara nyingi madam alikua anatoka mapema, anatuacha mm na KM basi tutacheza karata, atanipigia gitaa, siku nyingine atanipeleka kwenye mazoezi yao alihakikisha nakua happy. Alikua mtu poa sana KM mpaka nikaacha kumhisi vibaya, akawa zaidi ya ndugu.

Miezi tisa ikakatika, wazazi wangu hata hawajui naishi vipi. Barua kwenda kwa Mekonnen Ethiopia haikuwahi jibiwa. Niliandika nyingine kadhaa nazo hazikua na majibu. Mungu akaamua kunifuta machozi Nikabahatika kumpata the prettiest baby I’ve ever seen. Madam na KM ndo ndugu walionishughurikia mpaka natoka hosp,. Wamevumilia vilio vya mtoto usiku, wamenisaidia sometimes kumbembeleza usiku wa manane, na sio madam tu hadi KM.

Nimekaa wiki nzima mtoto sijampa jina, wananiuliza nasema sijui hata, badi wananitajua majina pale mara Gift, mara Celine, mara Rita mm natingisha tu kichwa, then one day asbh madam anaamka kwenda job ananiambia make sure unamuogesha mwanao mchana, nikamwambia mwanangu anaitwa Nora.

Madam akaniangalia kama dakika nzima, then akanifuata nlipokaa, akamchukua mtoto, akakaa naye amempakata hasemi kitu then with tears in my eyes I said, “thank you". We hugged, nikamuonna anafuta machozi pia. It was the least I could do, kumpa mwanangu jina lake ili nisije kamwe kusahau wema alionitendea.

Mitihani nilifanya, na nikafaulu vizuri tu, zaidi hata ya baadhi waliokuwa wanaenda shule kila siku. Madam alifurahi kinoma. Post za shule kutoka nimepangiwa Nganza girls. Dah! Ntaendaje nimuache mwanangu. Shemeji KM mzee wa maconnection akamfuata yule prof, tena kipindi hicho ameteuliwa kuwa waziri. Basi nikabadilishiwa shule nikabakizwa town.

Nimekaa na madam kipindi chote akinilea kama mdogo wake, mahitaji yote akinitimizia, then Mungu akawabariki wakafanikiwa kujenga nyumba yao maeneo ya Tabata mimi na mwanangu tukawa na chumba chetu sasa. Wakaajiri dada wa kuwa anatusaidia kipindi nipo shule. Kikubwa zaidj madam nae kapata ujauzito. Basi full raha na mipango mingi jinsi watoto wetu watakavyokua ndugu.

Muda wa kujifungua umefika, tumempeleka hosp, she was crying maumivu ya uchungu bt I was loughing, knowing soon am gonna hold her baby. Bahati mbaya ilibidi ajifungue kwq operation, basi tukawa tunamsubiri atoke theater. Baada ya kama 2 hrs, akatoka nurse mmoja akamuita KM pembeni hata sielewi kinachoendelea. Mara naona KM kachuchumaa anashika kichwa, namfuata ananiambia, she is dead! My wife is dead, mke na mwanangu wote wamekufa! Nilihisi kitu kama kaa la moto kwenye koromeo, miguu ikakosa nguvu. Ninekuja kushtuka nipo wodini nimelala, housegirl yupo na mwanangu pembeni, ndo nikaanza kulia sasa. My heart was broken. Ndo nikajua siku hiyo maana ya broken heart. Kuna maumivu mengi duniani bt that pain that day, was beyond any pain I have ever endured.

Bt as they say time is a healer. Msiba ukaisha, nikawa nasubiri muafaka kutoka kwa KM, oneday nikamwambia, kwa kuwa dada kaondoka itabidi nikatafute pengine pa kukaa. KM akanambia ww ni mdogo wangu pia. Hapa ni nyumbani. Tutakula tutakachojaaliwa. Tutavaa tutakachojaliwa. Mungu hatatutupa. Basi tukakaa pale mpaka nimemaliza form six. Kifo cha madam kilimaffect sana KM, hata soka kiwango kikashuka, ikabidi asajiliwe na timu moja ya jeshi. Chuo nikafanikiwa kupata nafasi ya kusoma B.A education. Mwanangu anazidi kukua, and she was a beauty, a true Ethiopian queen kama Cleopatra mwenyewe. Nywele ndefu, rangi nyeupe kama mwarabu, macho ya baba yake, watu wakajua nimezaa na mhindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Nikiwa chuo KM ndo annakua baba mlezi wa mtoto akisaidiana na housegirl. Mwaka wa kwanza ukakatika. Mwaka wa pili ukaisha. Mwaka wa tatu, KM akapata injury so mpira ukawa basi tena. Bahati nzuri jeshi likampa ajira akawa anatrain vijana wenye vipaji pale kwenye shule ya jeshi. Kipindi chote hicho KM sijawahi muona na mwanamke. Oneday nikamuuliza tu kiutani, shem, si uoe nipate wifi. Kasema eti anamsubiri mwanangu Nora akue ndo amuoe hahaha. Tukaishia kucheka pale.

Then one day sijui kazini kwao alifanya kitu gani wakampandisha cheo, so alifurahi balaa, ameinfmgia tu ndani “Rona, Rona, nimepanda cheo job" and he started loughing alafu akanihug, nikamhug pia. Ila nikashangaa hajibandui, mara nastukia shavu lake kwenye shavu langu, mara anaupeleka mdomo wakr shingoni kwangu. Mm nimetulia tu. Then akawa kkama ameshtuka hivi akastop. Akaniachia. Akaniomba radhi. He is such a gentleman. Najua anahamu za miaka, maybe amedevelop feelings kwangu. I just said, its ok. Hongera kwa kupanda cheo, leo will cook pilau, akatabasamu.

Nimemaliza chuo nikapangwa nikafundishe Msalato. Mm nshazoea mjini. Nikamuomba KM anifanyie mafekechee, akasema sku izi hana connection tangu atoke timu kubwa watu wanampita tu hata hawamsalimii. Baadae nikakumbuka jina la yule waziri professor, oneday nikaenda hadi ofisi yake. Katibu muhtasi wake akaniambia hana muda siku hiyo. Yaani nimeenda pale kama siku nne mfululizo hola, siku ya tano nikakutana na waziri ground floor. Nikamfata, nnikajitambulisha kwa harakaharaka wakati huo tunatembea na kuna watu wengine. Then akasimama akatoa miwani akaniangalia akasema ahaa ww ndo mdogowake KM, nikajibu ndio, sawa, njoo jumatatu saa nne.

Kweli j3 nikafanikiwa kumuona. Nikamsomesha pale anifanyie mpango nipangwe jijini hapa, basi akasema tuonane jioni Kilimanjaro hotel. Then tuone tunafanyaje. Yaleyale ya bamdogo, yani wanaume hakusaidii mpaka apate chake dah!. Mwanzo nikasema niachane nae, ila nikasema liwalo na liwe, ngoja nibaki town. Jioni nikaenda. Waziri kanipeleka room, kanivua nguo kanilaza chali. Bila hata maandalizi kamtoa jongoo kampachika. Was like a robot, machozi yananitoka, sio kwa maumivu, ila nilikumbuka mama alivyoniita malaya, dah, leo kweli nimekua malaya. Nikajiapiza, this is the las time kufanya u malaya.

Kesho yake akanitambulisha kwa mhusika wizara ya elimu, sijui mkurugenzi wa kitu gani nishasahau. Nikiwa ofisi ya huyu mkurugenzi akaingia mbaba mwingine wakasalimiana kama marafiki, nikawa natoka nje niwapishe, huyu mbaba kasema noo, just stay mm nimepita tu. Yule mkurugenzi ndo kanitambulisha huyu ni mtoto wa kaka yake waziri prof, oooh! Kumbe. Mm ni mkurugenzi ofisi ya ujenzi, mawasiliano na uchukuzi. Mwenyeji wangu akamwambia tunamtafutia shule nzuri hapa mjini akafundishe. Yule mgeni kauliza, “umesomea nini" nikajibu, kasema kwanini mrembo kama wewe ukachafuke chaki, njoo wizara yetu.

Nikawa excited, really! Kasema yeah. Basi mipango ya kupangiwa shule ikaishia pale, nikaambatana na yule mkurugenzi hadi wizara yao. Akanipa options tatu, niwe katika ofisi ya raslimali watu, ofisi ya uhasibu, au ofisi ya mawasiloano kwa umma. Nikachagua raslimali watu, basi kirahisi tu kaniambia jioni nimpelekee vyeti pale new Africa hotel. Damn! Hapa nishaliwa tena duh…. Jioni nikaenda kweli… nikaliwa kweli. Nikajiapiza tena, this is the last time nafanya umalaya.

Kweli niliansa kazi, ila nikajiongeza kwa kujiendeleza kielimu mpaka sasa nina postgraduat diploma ya Business Administration upande wa human resources. Nimekaa pale wizarani muda mrefu sana, nikipanda cheo baada ya cheo. Mpake nilipohamishiwa hapa Dodoma. Ambapo umenikuta.

Dah… imepitia mengi mpenzi, nikampa pole. Ila nikamuuliza tena, KM yuko wapi siku hizi,? akanijibu “ndo mume wangu unayemuibia kila siku", nimezaa nae two kids. Nikajikuta najisikia guilty…. Yani namfanyia ufedhuli KM, such a good guy. Bt I wanted to know more, Mlitongozanaje? Nikadadisi, “kuna siku tu niliwaza kuwa no man will marry a woman with a child, na KM alishaoneshaga dalili ya kunitaka,so usiku wake, nikatoka room kwangu hadi kwake. I has a short night dress and nlijua akiniona lazma atamani. Nikamkuta ametoka kuoga, aliponiona alijua nilichofuata. Ndo ukawa mwanzo wa mahusiano na MK.

Sijui alikumbuka nn Ronna, ila baada ya kumaliza kusimulia akaanza kububujikwa machozi. Nikawa nimemkumbatia, bila kusema kitu, akiwa bado analia mkiono wangu ukaanza kupapasa mgongo. Then nikashuka kwenye tako. Nampapasa tu slowly. She continued crying, nikashangaa dushe imesimama dede,… bbasi nikaona huyu ili atulie lazma nimpe tam. Nikaanza chezea kutumbua, nikazamisha vidole, nlipoona ulaini upo sikutaka romance sana, nikamtenga ile ya mende kafa nikapenya. Huku analia mm napump. Nikaona ananihug kwa nguvu…. Pls don’t hurt me…. You are the only person I’ve ever loved. Nikawa napump huku nanyonya lips. The sex was so good. Hadi anaenda kwake ni saa tano na.

Itaendelea...

James Jason
Dah!!...Hii story nimeipenda bure kwa kweli

Enough Of No Love
 
5th Post
*********

(Hapa nilipo muda huu ni karibu midnight, pamoja na kuwa siku ilikua na pilika nyingi imebidi niandike fasta ili kutimiza ahadi ya jana kuwa leo ntaendeleza kidogo. Kwa sababu ya uharaka naweza kuwa details zimepungua or lack of flow mtanisamehe)

Inaendelea.....

Ushawahi kesha kwa sababu ya hisia za mapenzi?, well, it happened to me that day. Nimegalagala kitandani tu mpaka saa 11 asbh. Kama kuna mchawi siku hiyo alikuja room kwangu akawa ananiangalia nadhani alihisi nimekua chizi, maana I was smiling to myself a lot. Ile hisia ya mapenzi inayokujaza kifua kwa joto flani kama umemeza moto. I had not experienced that kind of love before. Nilishakua na mahusiano ya kugegedana na wasichana wengi sana, hasa chuoni, ila sijawahi kuhisi this kind of love. That kiss was like key that opened all these feelings that were locked for a long long time.

Baada ya kujua kwa hakika kuwa nimefall in love na Norah, sikutaka tena chiu ya boss. Kuna siku kaja home kwangu akitaka dushe, ila akili, mwili na moyo vyote vikawa vinagoma nisimgegede. After all she is a mother in law tayari. Nakumbuka siku hiyo alivua kabisa nguo zote pale sebuleni, ila walaa. Nikawa nasingizia naumwa. Basi akaingia Imani akavaa nguo kaenda kitchen kuniandalia juice, dah.

Kule shule kwa Norah hawakuwa wanaruhusiwa simu, ila kama mjuavyo hizi shule za boarding huwezi kukosa walau mwanafunzi mtukutu mmoja mwenye simu. So ratiba yake kila jumamosi atatafuta time ananipigia kwa simu ya mmoja wa madenti wenzie. We were talking a lot. Ule urafiki ukawa umerudi maradufu. We joked, we loughed, sometimes tulikasirikiana kilavidavi ivo yani. Mara nyingi alikua ananikumbusha namna that kiss ilivyompa raha. Mpaka that time nlikua sijamuuliza status yake ya mapenzi, kama ashawahi liwa ama bado, na hata sikuwa na wazo la kumuuliza, na hata yeye hajawahi niuliza.

Kitu kimoja kilichofanya niendelee kumpenda Norah, kuna muda alionekana yuko so matured tofauti na age yake. Akiamua kukushauri kitu utafikiri mtu mzima. Kwa mfano issue ya kampuni nliyomwambia ntaianzisha, mara nyingi alikua ananiambia nisipochukua maamuzi magumu ntaishia kuiota tu kampuni. She adviced me to set goals. Yaani kama mahitaji ya kampuni inahitaji vitu kadhaa kuianzisha, basi niset timed goals ambazo zinapimika kila baada ya muda mahsusi. Na cha Zaidi akashauri nimwambie mama yangu anipe mtaji lakini niwe tayari nina something ili mom awe kama investor tu kwa % kadhaa. Nilimuona ni mtu mwenye vision, ingawa suala la kuomba collabo na mama sikulitaka, my dream was tk own 100% of my company kama nikijaliwa kuianzisha, shares ntawagawia mke na watoto.

Zaidi Norah alikua ananipa moyo. Anasema eti I have everything that a man need to succeed in life. Nikamuuliza kama vipi? Akasema, “kwanza, uko educated na zaidi bado unapenda kujifunza mambo mbalimbali, hii inakufanya uwe up to date. Pili you have a rich background kwa hiyo kuna level ya umasikini huwezi kuiishi na tatu you have good looks which makes you attract people na hivyo kukufanya iwe rahisi kutengeneza connections”, nikawa nambishia pale kuwa hivyo alivyovitaja sio ingredients za mafanikio nikawa namtolea mifano ya watu waliofanikiwa na hawakuwa na vyote hivyo.

Yeye akawa anabisha akisema kama mtu hana hivyo na katoboa in life basi ni mwizi. Hiyo topic ikapelekea kuniambia my good looks zinaweza kumshawishi mwanamke yoyote nnaye mtaka nikamla. Yani haka katoto, nikakabishia kwa mifano pia, maana kuna wasichana nilishawaaproach wakanitolea nje. Akasema haamini kama kuna msichana anaweza nikataa. Eti akanipa assignment, nimtokee Miss Dodoma wa wakati ule, Miss Dom, dah... hahahaha. Tukaishia kucheka.

Assignment ya miss Dom mwanzo nikaipotezea, ila akili ikawa kama inanishawishi niifanyie kazi. Kuna siku nipo town na washkaji katika story wakasema mashindano ya Miss Dom yanafanyika in two weeks, na warembo wako kambini tayari. Nikasema ngoja nikatest zari niprove kama kweli naweza kung’oa dem yeyote.

Nilikua na uhakika atakua mmoja wa wanaowacoach mamiss wapya, ila huezi mfuata tu ukamla kimasihara, you needed a plan. Plan ya kwanza ilifeli, maana nilimfuata regional manager ofisini kwetu kumuomba eti shirika liwe moja ya masponsor wa shindano, nikijua ikiwa hivyo ntapata access ya miss Dom. Manager kanijibu, "bwana mdogo, hizi kazi tunazofanya na u-miss wapi na wapi?". Nikawa mpole.

Time for plan B. nikaenda kwa waandaaji wa miss Dodoma, nikaunganishwa na promoter mwenyewe, top manyota. nikamwambia, “boss, nina kampuni (wakati huo hata sina) na kampuni yangu ingependa kutoa mchango kwenye hii kitu mnayofanya”, basi promoter akawa excited kweli akajua kuna mshiko, hahahaha. akaniita tukakaa ofisini. “ehee, kampuni yenu inajihusisha na nini na mnatusapoti vipi?”, nikamjibu, “kwa kuwa ni kampuni changa, lengo letu ni kutoa tu mchango kwa hawa vijana ili kukuza uelewa wao. Hatuna pesa za kutoa" kusikia hakuna pesa nikaona kabisa interest yake inapungua, nikajua nikiendelea kuongea hizi blabla atanitimua.

Nikaendelea, "kampuni yangu inajihusisha na data security systems na kwakuwa dunia tuliyo nayo sasa ni ya computer, tunapenda kujitolea kutoa mafunzo ya computer skills muhimu hasa ktk modelling industry kwa hawa vijana. Tutawafundisha kwa dkk 40 mara tatu kwa wiki free of charge”. Akauliza jina la kampuni. Hapo hata jina sina ndugu msomaji, nikajitajia tu initial za jina langu, “KiKo solutions Co. Ltd”. Hahaah. Akasema nimuachie bussness card. Nayo Sina. Ila huezi smwambia huna atakuona huna maana, Nikajidai najisearch pale, “dah samahani naona zimeniishia. Ngoja nikuandikie namba”.

Yule promoter, alipiga jioni ileile akaniambia kama ntaweza tuanze kesho yake. Watu wanapenda sana free things. Basi kesho yake nikatia timu after work. Tulikua tumefix time saa 11:20 jioni. Kweli nikakuta mabinti wapo kwenye moja ya kumbi za seminar za hiyo hoteli waliokuwa wameweka kambi. Promoter akanitambulisha pale na kunikabidhi darasa. Swali la kwanza, “Miss Dom wa sasa ni nani kati yenu”, aliposimama, nikamwambia kwa kuwa wewe ni mwalimu wao uje hapa mbele utakua unanisaidia. Kumuangalia vizuri alikua na sura ya kawaida, na kama mnavyojua mamiss wengi hawana nyamanyama, so hata hakunipa mzuka wa kiviiiile, ila nikasema kwakuwa nishavua nguo, ngoja nioge haya maji.

Siku ya kwanza nikawa nawaintroduce kwa programs mbali mbali zinazohusika na designing, manufaa yake na shortcomings zake. Kipindi wakati kinaisha nikamwambia Miss Dom, asubiri tupange mikakati ya kipindi kinachofuata. Wenzake walivyoondoka akasogea karibu, na ndo ilikua lengo, nlitaka pia asikie fresh nnavyo nukia unyunyu nliopuliza. Niliishia kuomba tu namba ili tupange vizuri kwa simu. nikapewa. Usiku wake nikapiga. Tukaongea fresh tu, hasa issue zake za modelling, kazi alizofanya akiwa miss Dom, nikawa namsifia pale alivyo mlimbwende, anasema tu asante.

Kipindi kilichofuata, nikaanza kuwaelekeza namna program za designing zinavyofanya kazi, bahati nzuri nlikua na program za Adobe Illustrator na C-DESIGN. Nikaanza na AI pale, nawaelekeza then mmoja mmoja anakuja tunajaribu nae. Mpaka muda unaisha nlikua nimefanikiwa kupractice na mabinti wanne tu. Yule Miss hakua amepractice. Baadae nlivokua home nika mtext aje nimuelekeze maana its important Zaidi kwake kuliko hawa wengine. Kasema poa. Nikajua huyu kashaliwa, Norah was right after all....

Nakumbuka amefika home kwenye saa tatu usiku kwa taxi. Alivyofika nikafungua computer yangu nikaanza shule. Sasa wakatii anajaribu pale, nikasema hapa hapa. Nikapeleka mkono kwenye kiuno. Akawa anautoa huku ananiambia “acha basi ticha”. Nikawaza, huwa wanasemaga tu, hakuna anayeshikwa akakubali from a go, inahitaji tu kukomaa. Mzee nikapeleka mkono kwenye paja. Ghafla naona mtu kasimama, akawa kama kamind kabisa, then akasema “mi sio Malaya tafadhali, jiheshim” then akachukua pochi yake akawa anatoka. Nikamuwahi mlangoni, nikawa nambembeleza abaki “am sorry saa hizi usiku na tuko mbali na town, please stay”. Nikawa namdanganya pale na I love you za kutosha, wapi, binti kafungua mlango akavaa viatu. “nyie ndo mnaofanya mamiss tuonekane Malaya”, then akasepa.

Sijui hata alifikaje kwao. Mi nlichofanya nilichukua simu nikamtumia promoter ujumbe kuwa kampuni imepata kazi ya ghafla DSM so hatutaweza kuendelea na vipindi. (ewe Miss wa mkoa flani hapa tz ambaye hili lilikutokea, Kiga nakusalimia. Nakupa heshima yako pia, kama utasoma hapa nakuomba radhi).

Norah hata sikumpa mrejesho kuwa theory yake sio sahihi. Siku moja tukiwa tunapiga story, akawa kila muda ananiambia, “I miss you bro”, namm namjibu “I miss you kiddo”, ila ikawa ni mara kwa mara anasema. Mpaka nikasema kwa utani tu, “unataka nije?”, akajibu “oooh, yes. Pls do”. Nikaona kweli yupo serious,. Nikamuuliza siku wanayo ruhusiwa kutoka school akasema jumapili ya kwanza ya kila mwezi wanaweza omba ruhusa for 4 hrs. tukapanga next opportunity niende. Mapenzi bana, yaani natoka Dom to Rock city kwa ajili ya kuonana na dem kwa less than 4 hrs, maana hapo kuna dakika za kutoka na kurudi shule.

Kweli, jumamosi moja nikaenda mwanza. Tulikubaliana muda wa saa nne asbh jumapili anikute kwenye gazi za jengo la posta pale karibu na stendi ya Tanganyika. Ingawa alichelewa bt saa nne na nusu nikamuona kwa mbali anakuja. Aliponiona alishindwa kujizuia, she ran to meet me. We hugged like a minute pale, mi naonaona noma pale, nikamchomoa. Kumuangalia machoni anafuta tears. She was happy to see me. We both were in love. Tatizo likawa moja. Norah alikua amevaa sketi na tishet ya shule yao, na kumbuka hapa ni bongo, tena mwanza nchi ya wasukuma, kila mtu akawa anatukodolea mijicho. Nikatizama kwa mbele karibu na shule ya Pamba nikaona taxi. Tukajisogeza nikamwambia dereva taxi atupeleke Kembice hotel nilikokua nimefikia.

Dereva alipomuangalia Norah, akaniambia “boss, hizi hoteli zinakuaga na informers, ukionekana umeingia na mwanafunzi kuna uwezekano ukaitiwa polisi, miaka 30 unaenda jela mzee”, nikastuka, so unashaurije. “mnunulie nguo nyingine fasta”. Yaani madereva taxi wanakuaga na degree ya elimu ya kitaa. So nikazama maduka ya pale sokoni, nikawa nakimbizana sasa na muda wangu wa less than 4 hours. Sikua na muda wa kuchagua nguo. Nilivoona shati nikanunua, lilikua shati flani design ya aliyokua anapenda kuvaa Nelson Mandela, kimuonekano halikua lakike kabisa. Then nikanunua na suruali ya kike ya jeans. Nilivorudi kwenye gari, dereva kaondoa then akaenda kupark mtaa flani karibu na eleo linaitwa LangoLango (mlango mmoja), then tukashuka kwenye gari kumpa chance Norah abadilishe.

Ofcourse havikumtosha kabisa, ile jeans ilipita hadi kiunoni ila haikufunga kifungo. Uzuri shati lilikua kubwa likawa linamsitiri. Bt kiukweli Hatukujali, Tulivyofika, nilimpa dereva wa taxi ujira wake tena nlimzidishia karibu mara mbili, nikachukua na namba yake ili tukimaliza ampeleka Norah shule. Hii yote nilifanya ile asije yeye ndo akaenda kutuchomea serikalini. Then tukazama zetu room kupiga ile kitu mimi na Norah tunaiitaga “battle of the bastards”.

Yes, hata mimi ni mwanaharamu vilevile (literary). Ingawa namfahamu baba yangu, ila hatujawaahi kaa nae, ile tukaishi kama familia. Mom ni mchaga wa marangu. Yes, palepale karibu na shule moja maarufu ya wasichana. Baba yake (ambaye ni babu yangu) alikua mfanyabiashara (alikua na duka) aliyehamia mkoani Singida wilaya moja inaitwa Iramba. So kwenye mji wa Kiomboi ndiko mama yangu alikulia na kusomea. Sasa pale Kiomboi kuna timu moja ya mpira wa miguu ikiitwa enzi hizo Kurugenzi, my dad alikua anakipiga pale. Mom wakati huo msichana mbichi akampenda mdingi. Ndo kupata mimba ya mapacha. Bahati mbaya mzee alikua tayari ana mke mwingine, ila kwakuwa dini ilikua inamruhusu kuoa mke mwingine akamwambia maza wafanye kama dokta Mwaka, maza kachomoa kisa hawezi uke wenza, hahahaha. Ndo basi tukawa wanaharam rasmi. Babu yangu hakua kama wazazi wa Boss Rona, alimind mwanzo ila akapoa. Alichofanya ni kumpeleka maza kwa dada yake (shangazi wa mama) Arusha, ambako ndiko mimi na my sis tumekulia. Mdingi tulikua tunamtembelea sometimes (mara zote tukiwa kule alikua ananipeleka uwanjani, kuna kiwanja karibu na halmashauri ya wilaya kilikua kimezungushiwa miti flani inaitwa minyaa, basi kukiwa na mechi ya watani wa jadi, Kurugenzi FC na TOT FC ataniweka kwenye viti vya VIP, best memories kwangu. Miss you dad, RIP)

Sasa turudi Kembice hotel mwanza….

Battle of the bastards.......
Norah hakua kama madem wengine ambao ukumfikisha room atajidai kama alikuja kusalimia tu. The moment I closed the door, she attacked me. Akanihug ile kama anataka kunivunja shingo. I missed you zikawa zinapishana tu, from each end. Then came the kisses, she loves kissing. So tulikua tunakiss pale mpaka wakati mwingine anajichomoa anazishika lips zangu (kama mama anavyo zikamata lips za mwanae), then anaziangalia kama sekunde kumi hivi then anazifuata tena.

Wakati huo mimi nishafanya mchakato kwa kumteremsha jeans yake. Ila jeans bana sio kama chupi, kwamba ukiifikisha magotini inatii sheria bila shurti. Jeans ilikua imekwamia juu kidogo ya magoti. But sikuona kesi. Was enjoying touching her butts. Nikaona sasa ni muda wa kumshuhudia vizuri huyu mhabeshi. Nikaishusha na chupi. Ile idea tu kuwa she was naked infront of me nearly made me come. Nikamtoa na shati, na sidiria ilimradi tu nimkamilishe utupu wake. It was a good sight. Nikambeba nikamlaza kitandani. Hapo ndo nikaona kanaanza kuona aibu, maana mi ilibidi niwe nimesimama nikivua pia nguo zangu, sasa sijui aibu ilikua sababu ya dushe yangu iliyo kuwa wima, au ile kuwa uchi mbele yangu. nikaona anajifunika shuka upande wa usoni huku chini akapaacha nipaone.

Nilivyobaki uchi pia, nikamfata kitandani. Nikavivuta vile vilivyokua vimeejikusanya magotini kwake (jeans na pichu) nikavitupia chini. Nikalivuta pia shuka alilokua amelitumia kuficha sura, akabaki as clear as daylight. Tukaangaliana, then akanitaja kwa majina yangu halisi “Kiga bin Koyo" nikaitikia "yes babe".... "I love you” akaniambia, then kaendelea, "i think of you all the time". I smiled. Nikajilaza pembeni yake, akanigeukia tukaanza kukiss tena, mguu wangu ukaingia katikati ya miguu yake. As we were kissing, mguu wangu ukawa unasugua kitumbua chake, I just felt the fluids and knew she was ready for me. But not quite yet.

As we lay there naked, cuddling. Nikamhakikishia pia upendo wangu kwake, “I love you too, Norah”. Akanihug tena huku chuchu zake mchongoko zikichoma kifua changu, then akaniuliza, “utanioa”, nikamjibu bila kusita “hata leo yani”. Akaonekana kufurahi sana, “really”, nikamhakikishia kuwa nasema kutoka moyoni. Basi akawa analala chali huku kama ananivuta juu yake, sikuwa na namna ndugu msomaji. Nikaona ni jambo la busara sana kula tunda,. Nikawa katikati yake, nikaanza kupangusa nyapu kwa kichwa cha dushe, kuanzia mlangoni kwake hadi kwenye clitoris. Wakati huo miguu kashaichanua, mkono wangu mmoja unatalii kuanzia pajani mpaka kwenye nyama za pembeni ya tako. My mouth was also busy on her two chuchus.

When I tried to enter, ndo nlipogundua huyu mtoto hajatumika. Kwanza ngoma ilikua haipenyi. Then kila nikijaribu kuipush ndanii naona anakunja sura kuashiria maumivu. Mikono yake ikawa imenishika kiuno changu ikawa nikipush anakua kama ananizuia. Nikajilaumu kwa nini sijawahi muuliza. Maana kuna jamaa yangu ashaniambiaga hizi vitu unatakiwa uwe na mafuta ya Vaseline au hata yale ya babycare pembeni, ukiipaka dushe inatelezamo tu. But ndo hivo tena sikua nayo. Nlivyoona sijamake any progress kwenda ndani, ikabidi nimuulize kama vipi tuahirishe pambano. Alivosikia swali langu akatikisa kicha kuashiria hapana, akatoa na mikono kwenye kiuno changu. Alikua amedhamiria nimbanjue siku hiyo.

Hivyo hivyo taratibu taratibu mpaka nikaanza kugain some grounds in her body. Bt her face was showing much pain. Nikawa nikifanikiwa kupitisha sentimita kadhaa basi nabaki hapo kwa muda nikimove left to right mpaka nione sura kaikunjua then namove tena ndani kidogo. Kuna muda sasa wagiriki nao wakawa wanasumbua wanataka niwagongee visa waingie, nilikua nawazungusha tu airport ila kuna muda wakawa kama wanaandamana kuwa ndani joto linazidi maana wamekua wengi nisipowaruhusu kutoka wanavunjq geti hahaha, uzalendo ukanishinda, na hapo ndo nlipovunja whatever was stopping me from enjoying her. Nilipiga zile tako za kuwaleta wazungu.

She tried to push me, he screamed, she tried to bite my chest but it was too late, her virginity was no more. Wakati tunaanza tulikua mwanzoni mwa kitanda ila tumekujamaliza tupo tumezuiwa na kichwa cha kitanda huku kichwa chake kikinin’ginia kwenye ukingo. Kumcheki Norah alikua vijasho vimejikusanya hadi juu ya lip yake ya juu chini ya pua. Nikawa namuomba radhi pale kwa kumuumiza, hata hajibu kitu.

Nikaenda zangu bafuni kuoga. Then nikarudi nimeloweka kitambaa changu kwenye maji ya vuguvugu nikaanza kumfuta kama namkanda, nikaona anasmile. “lets get married”, akaniambia. “we will kiddo, finish school first”. Akasema, “hiyo unayosema wewe ni harusi, mimi nazungumzia ndoa, mimi na wewe tukishakubaliana tunafunga wakati wowote”. Then akapiga magoti, akanioneshea kwa ishara kuwa nipige magoti mbele yake tukiwa juu ya kitanda, tukawa wote tumepiga magoti tunaangaliana, akauchukua mkono wangu wa kushoto akauzungusha kiuoni mwake, then akaleta mkono wake wa kushoto kwenye mkono wangu tukaunganisha vidole. Then akanyanyua mkono wake wa kulia, tukiwa tunatazamana machoni. Hapo mm hata sikujua anachotaka kufanya nikajikuta nauliza, “what are u doing?”, akajibu, “am marrying you”. Then akaanza kuongea huku mkono wake ukiwa kaunyanyua.

“mimi Norah Mekonnen, bila kulazimishwa na mtu au kitu, nikiwa na akili timamu na nikisukumwa na hisia za mapenzi kwa Kiga, leo tarehe (akaitaja) ninajitoa mwili wangu, maisha yangu na moyo wangu niwe mke wake katika shida na raha, magonjwa na uzima, utajiri na umasikini mpaka siku zangu zitakapokwisha.” Akaendelea, “Kiga bin Koyo, I love you more than I can explain, naomba nikuahidi yafuatayo kama sehemu ya kiapo changu. Kwanza, sitaacha kukupenda, ntakupenda katika hali yoyote ile, moyo wangu unao wewe mpaka mwisho wa uhai wangu. Pili, ntakuheshimu siku zote mpenzi wangu, sitakuabisha na wala sitakubali uaibike. Tatu, wewe ni mwanamume pekee ntakaye fanya nae mapenzi, ntakua mwaminifu kwako daima. You are my first and my last. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie”.

Akawa amemaliza. Mm nikawa kama ninashindwa nifanye nini. Nikabaki namuangalia tu. Nikaona kama anaanza kupata huzuni, nahisi alihisi sikua tayari kula kiapo kama alichokula yeye. Sikua na shaka juu ya hisia zangu juu yake, wala sikua na shaka kuwa Norah ndiye msichana ambaye ningependa niwe nae daima. Ila hata sijui kwa nini nikawa Napata kigugumizi. Nikaona Norah anaanza kujichomoa from my fingers. Nikauchukua mkono wake wa kulia, nikaukiss, then tukalock fingers. Nikanyanyua mkono wangu, mzee baba nikala kiapo pia. Kiufupi nilirudia yale aliyoyaapa yeye, ila ilivyofika kwenye vile viapo vyake vitatu vya mwisho, niliyoukua nataja cha tatu nikasikia, “stop”, nkastuka, “why?” nikauliza, akatabasam then akaniambia “Hicho cha tatu ni changu peke yangu, umeshaahidi utanipenda na kuniheshimu inatosha, najua cha uaminifu kwa mwanaume ni ngumu, na sitaki ndoa yetu iwe kama jela, I want you to be happy with me. As long as umeniahidi kunipenda mm tu, hao wengine hawataeza kunireplace, kikubwa heshimu uwepo wangu,”,… alikua yuko serious kabisa. So mazee, nikawa nimefunga ndoa ya moyo that day na mtoto wa Boss Rona.

Tuliongea mengi sana siku hiyo, hasa my future plans. Ingawa sikumgusia, ila hofu yangu ilikua kuhusu mama yake. Ila nikajipa moyo kila kitu kitajipanga chenyewe. Muda ulikua umeenda, ila kila nilivyoukua nataka kuita taxi, anagoma. Mara akaanza kusuggest turudi wote Dom, yaan aachane na shule. Nikambembeleza sana. Nikamwambia hiyo elimu anayoitafuta ni kwa ajili yetu wote na familia yetu. So aache ubinafsi. Tena asome kwa bidii maana familia yangu sihitaji vilaza. Akanielewa. Wakati wa kutoka hotelini, wala hakuangaika kuvaa nguo nyingine, kavaa uniform kamili za shule, noma nikawa naona mimi sasa nlivyokua namtoa.

Itaendelea tena when i get free time, hasa ntakaporudi home. I know people ni waelewa hasa linapokuja suala la kutafuta pesa.....

NB kwa ambao wamesafiri safiri wanaeza fahamu ni pande zipi... (hilo daraja kila siku saa nane linafunguliwa kwa dkk 15 ili kuburudisha tu watazamaji)View attachment 1368914View attachment 1368915

James Jason
Basi akawa analala chali huku kama ananivuta juu yake, sikuwa na namna ndugu msomaji. Nikaona ni jambo la busara sana kula tunda.

Dah!!...ulifaidi sana mkuu.

Enough Of No Love
 
KigaKoyo kaka yangu dunia ina masahibu makubwa sana kaka, wakati mwengine mtu anakusimulia yanayomkuta utaona kabisa huyu anadanganya, lakini kumbe ni ukweli mtupu, enzi za ujana wangu nilikutana na dada mmoja mrembo kutoka Arusha pale maisha club masaki akanisimulia jinsi alivyorubuniwa na tajiri fulani mkubwa kisha akaenda kumtelekeza kwenye shimo la machimbo usiku mkubwa katika Kafara za mali Baada ya kumlewesha chakari. Alikaa shimoni kwa siku 3 na kukumbana na mambo ya kuogofya sana, kutokea hapo Ndio alivyotambua ukweli juu uwepo wa Mungu. Alikuwa ananisimlia stori tunalizana mimi na yeye Kama watoto, makovu kwenye mwili wake hadi leo yanaonekana, ama kwa Hakika binaadamu tunapitia mengi na yakuogofya sana.
 
Mkuu

Jf idumu milele. We noma.
The continuing story of how I met my wife……..

……..The long winter……

Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.

Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.

Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).

Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.

Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.

Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.

Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.

Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.

Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.

Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.

Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.

Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.

Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.

Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.

Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.

Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.

Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",

“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,

At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….

Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.

Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.

Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.

Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.

IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".

Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.

That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.

Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.

Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.

The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.

Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.

Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.

Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.

So that’s how I went and stayed one yr in England…..


Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.

Yanga hoyee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukala tunda kimasihara nawewe... Halafu ukamtelekeza kama huyo tajiri...
KigaKoyo kaka yangu dunia ina masahibu makubwa sana kaka, wakati mwengine mtu anakusimulia yanayomkuta utaona kabisa huyu anadanganya, lakini kumbe ni ukweli mtupu, enzi za ujana wangu nilikutana na dada mmoja mrembo kutoka Arusha pale maisha club masaki akanisimulia jinsi alivyorubuniwa na tajiri fulani mkubwa kisha akaenda kumtelekeza kwenye shimo la machimbo usiku mkubwa katika Kafara za mali Baada ya kumlewesha chakari. Alikaa shimoni kwa siku 3 na kukumbana na mambo ya kuogofya sana, kutokea hapo Ndio alivyotambua ukweli juu uwepo wa Mungu. Alikuwa ananisimlia stori tunalizana mimi na yeye Kama watoto, makovu kwenye mwili wake hadi leo yanaonekana, ama kwa Hakika binaadamu tunapitia mengi na yakuogofya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom