How I Met My Wife

How I Met My Wife

Nzi Chuma

(i) Ahsante kwa simulizi yako

Ahsante pia kwa muda wako, nadhani umeona jinsi gani kuandika inavyokula muda.

(ii) Kuna mengi ya kujifunza kwenye simulizi yako yakiwemo:-

>> Umuhimu wa Kijana kuoa pindi akifikia umri ili aepukane na ufisadi, 'uharibifu'...

>> Umuhimu wa kuwa na msimamo na kusimamia unachoamini ili mradi umejiridhisha kuwa upo sahihi...

>> Umuhimu wa kushirikisha watu wenye busara katika mambo...

>> Umuhimu wa kutofanya ngono zembe...

>> Hatari iliyopo kwa kufanya arbotion...

>> Umuhimu wa Mabinti kujichunga hadi siku ya ndoa...

>> Umuhimu wa elimu...

>> Ubaya wa usiri (japo mara nyingine kuna faida)

>> Ubaya wa uongo...

>> Umuhimu wa mitala...

"Matumbo ya uzazi yana wivu" ni msemo ambao bado unathibiti tangia enzi za Sarah na Hajira (wake za Ibrahim baba wa Ismail na Is'haq)

Yani kama mkeo hajapata mtoto (as long as anaona siku zake za hedhi) ukioa na kuzaa kwa mke mwingine, kuna asilimia kubwa ya mkeo mgumba kupata mimba pia...

>> Ubaya wa kukata udugu... (Jitahidi umsamehe Dada, alikuwa yupo sahihi), binadamu tumetofautiana namna ya uwasilishaji...

Mfano mtu akisema, "Nzi Chuma, ndugu zako watakufa wote utakuwa mkiwa..."

Mwingine akisema, "Nzi Chuma, umejaaliwa umri mrefu zaidi kuliko ndugu zako..."

Unaweza kuchukia kauli ya mtu wa kwanza...
__
Msamehe kisha umuombe radhi nduguyo

>> Umuhimu wa kushea 'yaliyokukaba' moyoni kwa unaowaamini, naamini kuanzia sasa umetua mzigo fulani na huenda ikawa sababu ya wewe na dada yako kuunga udugu tena.

>> Umuhimu wa wazazi kuongea na watoto wao kuhusiana na 'afya na mambo ya uzazi'
__

Bila shaka umetumia majina ambayo si halisi ya wahusika.

__

Tunasubiri simulizi za wadau wengine. Na niwashauri kwamba, wote wenye nia ya kuleta simulizi hapa waanze kuandika sasa, taratibu bila kuweka post jukwaani hapa, ili simulizi moja ikiisha ije nyingine tayari ikiwa na episodi kadhaa, kusubiri sana post kipindi hiki cha sintofahamu ya Covid-19 haifai [emoji23]

James Jason
thanks
 
11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
hongera sana mkuu
 
the continuing story of how I met my wife


.......The end of the beginning........


Familia yetu na ile ya Nasra na Mussa ziliendelea kuwa karibu. Hasa ukaribu wa Nora na Nasra. Nasra alifanikiwa kujifungua watoto mapacha, boy and a girl. Wakati wanazaliwa sikuhisi kitu, bt tulivorudi home Nora ndo akanambia, “wale watoto ni wako bro”. sikuamini. But baada ya miezi sita, ndo nikaona kabisa hawa wangu hawa. Ila ndo ntafanyaje. Nlijua kabisa Nasra amelitambua hilo bt sio sisi wala yeye aliyelizungumzia. Kwa upande wa Mussa sijui alijua akaamua kuuchuna, au hakua ametambua bado.

Watoto wakiwa na miezi saba tu, tukapata taarifa Mussa amepata ajali ya gari. And after two days he passed away. Baada ya maziko, Nasra akarudi kwao magomeni, but hali ya kifedha ya wazazi haikua nzuri sana, so Nora akawa anajitahidi kumpa tafu rafiki yake ila yale mazingira hayakua condusive kwa watoto. Nora ndo alisuggest, akanambia wale watoto itabidi tufanye namna tuwachukue.

Sijui Nora alimshawishi vipi Nasra, akakubali akahamia pale kwangu. Mwanzo akawa ananionea sana aibu, hata sikujua sababu. But kadri miezi ilivyoenda ndo alizidi kunizoea kama shemeji sasa. Kule Arusha biashara home zilikua zinayumba balaa. Nikamwambia sis, Nora aingie kwenye management. So baada ya chuo tu kuisha, Nora akawa muda mwingi yupo Arusha. Dsm tukawa tunabaki na Nasra. Akiwa Arusha Nora akawa ananiambia, ukijisikia kula we mle, I know anakupenda, na najua wanaume utakua unamtamani ila unaogopa hahahha. Nikawa kwa kweli sina mpango.

Nakumbuka ilichukua few months Nora kubadilisha hali ya kampuni, hadi akafungua tawi lingine hapa Dar, ili kurahisisha export processes. So Nasra akapewa job kwenye ofisi ya dar. Everyone was happy. Nora oneday akaniuliza kama nshakula, nikajibu hapana, akanambia tu shauri yako, mzigo utaanza kuliwa na majirani then watoto wako wapate baba mpya….. Nora alikua serious, sijua aliongea nini na Nasra, but one day Nora akiwa hayupo, nikashangaa kuanza kuona mabadiliko ya kimavazi akiwa mle ndani. Sometimes sketi fupi, sometimes bukta dah, na ile shepu nikajua tu hapa nakaribishwa. Kama utani tu siku moja tumekutana kwenye korido, nikamshika mkono nikaanza kumuongoza room kwake, naona anakuja tu hata hapingi.

Nora yeye alinipenda sana tu. But alikua na ule userious flani hivi na misimamo ile ya kama umekosea atakuchana live, so ule ‘u-kike’ hakua nao sana. Nasra yeye ni kama amefundwa namna ya kumhandle mwanaume. She made sure nimekula vizuri, nimeoga, nimenukia na alikua na ule upole wa kike, yaani hata kama hajakosea atakuomba msamaha. Cha muhim Zaidi alimheshim sana Nora, akiwepo hajishughurishi kabisa na mimi. Na niliona ubest wao ndo unazidi. Nasra akawa ananipush sasa nioe ili niwe kwenye ndoa. Nikamwambia, nikioa si ataninyima, “Mama Tafa mwenyewe keshaidhinisha, mimi sina mpango wa kuolewa tena wala kuongeza mtoto, as long as im with the man I love nimeridhika kuwa nilivyo”

Kweli tulifunga ndoa, tukahamia mitaa ya tegeta nyumba kubwa Zaidi. Now miaka minne since nimemuoa Nora. Kama unajiuliza Nora alikua serious kuruhusu kushare na Nasra, jibu ni ndiyo. Sio mara moja ashanisurprise kwa threesome. Sometimes hotel room najua yuko alone, nawakuta wote wako ready kuliwa. Sometimes naangalia football sitting room nikienda kulala nawakuta wote bed, Tunapiga mechi ya mtu tatu kiroho safi.

Kwa sasa game za Nasra zimepungua kiasi maana alihamia Arusha, na Nora akaja Dar. Kids wote wako na Nasra Arusha, we are planning kuongeza mtoto mwingine na Nora. And by the way, watoto wa Nasra wakiwa wadogo kabisa tuliwabadilishia kabisa na vyeti vya kuzaliwa, ndugu wa Mussa ilibidi waambiwe ukweli kuwa damu sio yao.


So ladies and gentlemen, that's a story of how i met my dear wife Nora.View attachment 1388509

Sent using Jamii Forums mobile app

Amazing story very touching one


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu

Ila Abortion sio kitu kizuri hata siku moja, Naamini wengi hasa wanawake wamejifunza hilo

Pili, Huu uzi una watu wa ukoo wa Dr mwaka.[emoji23][emoji23]
11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
 
11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
Ahsante sana.
Kuanzia kwa Kiga mpaka kwako Nzi Chuma.
Watu mmepitia mengi sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom