Throne Heir
Member
- May 17, 2018
- 60
- 101
pole sanaKiuchumi: Sina hela kabisa.
Kiafya: Mi Mzima ila kuna maumivu napata kwenye kifua nikihema kwa nguvu.
Kimahusiano: Nimeachwa. TENA.
Kielimu: Nina supp kadhaa.
Kikazi: Nina kesi kama 4 hivi kazini na polisi.
Kila mtu ana namna maisha yanavyomfanya kwa sasa katika dunia hii. Just comment hapo chini jinsi yanavyo kushughulikia kwa kadri utavyoweza.
ME:Fair with a lot of ups and down but am holding.
Nyie ndo wenye roho ya paka..Kiuchumi: Sina hela kabisa.
Kiafya: Mi Mzima ila kuna maumivu napata kwenye kifua nikihema kwa nguvu.
Kimahusiano: Nimeachwa. TENA.
Kielimu: Nina supp kadhaa.
Kikazi: Nina kesi kama 4 hivi kazini na polisi.
Hiyo 10 ni nini?I'm very happy..
Ila financially now cash nina 10 tu.
Ila sina wasiwasi [emoji6]
Tsh 10,000Hiyo 10 ni nini?