swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,250
- 1,470
Ni muda sasa toka tuone watetezi wa wanyonge wakikandamizwa wakiuawa na kuteswa kwa ajili ya jina la ukombozi wa mnyonge.wameuliwa sana wameteswa sana wameumizwa sana wameng'olewa meno sana na hata kuchomwa sindano za sumu kwa ajili ya kulitaja jina kuu la ukombozi wa mtanzania.
Wale tuliohai,tunawaenzi vpi hawa manabii wa ukombozi walioteswa na kufa kwa ajili yetu?
Including Mvungi,Mwangosi,Sokoine,and others being threaten and humiliated,are satisfied?
How long shall they kill our prophets while we stand aside and look !!
Wale tuliohai,tunawaenzi vpi hawa manabii wa ukombozi walioteswa na kufa kwa ajili yetu?
Including Mvungi,Mwangosi,Sokoine,and others being threaten and humiliated,are satisfied?
How long shall they kill our prophets while we stand aside and look !!