kweli binamu!we angalia bht watu tumejituma weeeeeeeeeeeeeeee!lakini MKONGWE KALAMBA DUME😀😀
Tayari wameshanfanyizia. Hommie amekula dili na mamushka cheupemangala kasepa!
me nimeambiwa mpaka miaka miwili iishe alafu ananichomoa mapene ile mbaya. simuelewi kabisa huyu demu
me nimeambiwa mpaka miaka miwili iishe alafu ananichomoa mapene ile mbaya. simuelewi kabisa huyu demu
Afu wewe mbona hujibu PM zangu. Niko siriaz ujue?SEma sema sema haki yako maa waambie hao
Nani kasikia? watu wameshapona na mila wameshadumisha we ndo unaulizia hali saa hizi?wameshasikia pearl!vipi uzima wa afya yako leo dear?
hata mie nimekumiss kishenzi,im fine,hope u fine 2!
tatizo wewe unakuwa Zuma!!!
afu hujui jina lake ni cheusi
Afu wewe mbona hujibu PM zangu. Niko siriaz ujue?
Nani kasikia? watu wameshapona na mila wameshadumisha we ndo unaulizia hali saa hizi?
mbona umeanza kuharibu lunch yangu?Lunch ya leo naifata kabisa "al Nyantare" pale wana mbuzi safi sana halafu ni along ze way to Mkuranga binamu! najua hapo unado ze nidiful
wapi Pearl?
hahahaha B nimecheka hapa sina mbavu! Pako anadhani eti umekula dili na mimi kumbe vitu vyenyewe nachoro![/QUOTE]
anatafuta visingizio tu Pako wangu.....
MIMI ni kijana waJUZI JUZI kiongozi.sio kama wewe kijana SIKU NYINGI
Anakumbuka shuka tayari kumekucha!huyo yupo kikazi zaidi achana naye haraka!
mbona mie nilishachukuliwa long time,na shemu wenu pia ni jf member mkongwe
i see..!sikujua!vizuri kusikia hajambo!Afu wewe mbona hujibu PM zangu. Niko siriaz ujue?
Nani kasikia? watu wameshapona na mila wameshadumisha we ndo unaulizia hali saa hizi?
nitakuja kama kaizer naye atakuwepo...!karibu mkuranga ruksa kuja.
habari ndiyo hiyo!!Ebwaneeeeeee nishakukosa lakini raha ilioje kula na nduguyo jamani mweh....
mbona umeanza kuharibu lunch yangu?
Inategemea experience ya kila mmoja uko alikotoka, wengine hata three days are enough to strart but others even a year!!! Mawazo yangu muda mrefu zaidi ni muhimu kwa afya yakoEti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili?
nitakuja kama kaizer naye atakuwepo...!
Mamushka mi nshakuwa Zuma tena? Hebu soma hapa chini anayeuliziwa. Yeye atakuwa nani sasa? MSWATI?tatizo wewe unakuwa Zuma!!!
afu hujui jina lake ni cheusi
nitakuja kama kaizer naye atakuwepo...!
Lunch ya leo naifata kabisa "al Nyantare" pale wana mbuzi safi sana halafu ni along ze way to Mkuranga binamu! najua hapo unado ze nidiful
wapi Pearl?