bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Usiombe yakukute.....
ha ha ha sio mdumu tukiwa mgombani inawekwa kwenye drums na kutolewa kwa kata then unaria kwenye kitochi!! tukiwa mjini ipo kwenye crate inanywewa kwenye chupa!!
haywezi kunikuta kwa mfano leo nimeamua naenda kula raha sasa ya nini niende mkuranga mie kwenye masharti ya hivo???
heheee hayo ya mgombani Meku nayajua......vitochi duh!!!