hzo pcha huchukuliwa na telescope mkuuKwanza jua hiyo picha sio halisi!,maana hakuna kifaa kilichotoka nje ya galaxy yetu kikapiga picha lbd galaxy nyengine kwasababu zipo mbali hivyo zinaweza kupigwa picha ya jumla.
kuhusu kupita kwenye black hole hiyo ni ngumu maana inasemekana hata mwanga haufui dafu!..
kuhusu kuvuka solar system,kifaa cha voyager 1 kimeshavuka na kipo mbali mno..
kuhusu kutoka nje ya galaxy huo ni mziki mnene!.. hiyo ngoma tutahitaji kuunganisha nguvu ya dunia nzima kikubwa ni kupata kifaa chenye kasi kama ya mwanga hapo tutakuwa tumewin kwa asilimia 90!
zipo mkuu, jirani yetu ni Andromeda galaxySina uhakika kama kuna galaxy nyingine ukiondoa milkway,NASA wangekuwa washaleta BLA BLA zao na mapichapicha.
Ni mambo ya kusadikika tu.z
zipo mkuu, jirani yetu ni Andromeda galaxy
mh basi ht mars jupiter yatakuw mambo ya kusadikikaNi mambo ya kusadikika tu.
mh basi ht mars jupiter yatakuw mambo ya kusadikika
Possible mkuu maana hawa wazungu sio wa kuwaamini sana ,si unakumbuka walituambia Binadamu wa kwanza alikuwa nyani au umesahau?mh basi ht mars jupiter yatakuw mambo ya kusadikika
ile ilikuwa theory tu mkuuPossible mkuu maana hawa wazungu sio wa kuwaamini sana ,si unakumbuka walituambia Binadamu wa kwanza alikuwa nyani au umesahau?
ndani ya jua mkuu?Kuna sehemu either umechanganya au umekosea iko ivi ndani ya Galaxy ya Milk way kuna stars nyingi mno miongoni mwa izo star ni Jua letu ambalo ndani ya jua ndio kuna sayari tisa
Kwenye orbit au surface ya juandani ya jua mkuu?
Mkuu heshima yakoPossible mkuu maana hawa wazungu sio wa kuwaamini sana ,si unakumbuka walituambia Binadamu wa kwanza alikuwa nyani au umesahau?