HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

hahaaa aisee'' ngoja nimuite mjuzi hapa" nadhani tutapa jawabu tu'' lifecoded
Huyu atakuja na story za kusafiri speed ya zaidi ya mwanga..
Wakati baba wa physics Einstein alishasema ili kitu kisafiri speed ya mwanga inabidi kiwe massless yani kisiwe na uzito wowote..

Au kama kina mass basi energy itakayotumika kukipeleka speed zaidi ya mwanga ni infinity..
Yaani uichukue universe yote uibadirishe kuwa energy bado haiwezi kuimove object yenye mass kwenda speed ya light
 
Huyu atakuja na story za kusafiri speed ya zaidi ya mwanga..
Wakati baba wa physics Einstein alishasema ili kitu kisafiri speed ya mwanga inabidi kiwe massless yani kisiwe na uzito wowote..

Au kama kina mass basi energy itakayotumika kukipeleka speed zaidi ya mwanga ni infinity..
Yaani uichukue universe yote uibadirishe kuwa energy bado haiwezi kuimove object yenye mass kwenda speed ya light
Aiseee" kitu ambacho ni impossible"
 
Huyu atakuja na story za kusafiri speed ya zaidi ya mwanga..
Wakati baba wa physics Einstein alishasema ili kitu kisafiri speed ya mwanga inabidi kiwe massless yani kisiwe na uzito wowote..

Au kama kina mass basi energy itakayotumika kukipeleka speed zaidi ya mwanga ni infinity..
Yaani uichukue universe yote uibadirishe kuwa energy bado haiwezi kuimove object yenye mass kwenda speed ya light

Do you real understand uwepo wa wormhole katika kutravell into distant galaxies..??

hapa hatuongelei kusafiri kwenye utupu wa anga la juu but through wormholes...

wormholetravelasenvisionedbylesbossinasfornasa.jpg



Inajulikana kabisa kuwa kama mwanga unatembea kwa speed ya 3,000,000km/s manale ili kitu kiweze kusafiri kwa speed kubwa zaidi ya hiyo inabidi kiwe na uzito mkubwa zaidi kitu ambacho bado kinaleta kuntradiction zaidi...

Kama ukisoma modern Quantum Entaglement inaprovu wrong Einstein's equation of realitivity ya
E=Mc2 ..make imebase na constat speed ya mwanga katika utupu kitu ambacho kinapigwa vikali make kuna baadhi ya galaxy zingine zinamove kwa speed kubwa kuliko mwanga..ndo mana tunasema kuwa Einstein equation yake ya relativity inaenda kuproviwa wrong na tayari washaanza kuifanyia kazi.
main-qimg-432864cd687fe86b486adf22fe672b1c-c.jpeg

A Wormhole or an Einstein-Rosen Bridge is essentially a shortcut through space time that would connect two points in space. It could connect two points Billions of light-years away or even a few feet away, it could also connect two universes, and also different points in time.
Kuwepo kwa constant speed ya mwanga katika galaxy hii siyo kwamba hakuna vitu vingine vinavoweza kusafiri kwa speed zaidi ya hiyo..kunsider alxo anti matter travelling....

These are hypothetical models and to maintain the wormhole would require the use of Exotic matter with a negative energy density.

Does The equations of General relativity have solutions that allow the existence of Wormholes,?? though none of have been found yet.

So, yes, Wormholes could very well connect two distant Galaxies, even the ones beyond our Hubble Sphere (Hubble volume) which would normally never even be visible to us due to the expansion of the Universe. Who knows, Wormholes may even be the future of Space travel!
 
Mie sielewi chochote kuhusu haya mambo ila nipo hapa kupitia kila comment nielewe ili na mie nipate cha kubishania kijiweni maana bado naona hata nikielewa hayanisaidii chochote
 
Mkuu imagine kwenye solar system yetu kuna sayari 8 ambazo zinalizunguka jua... kwenye galaxy yetu kuna stars kubwa zaidi ya jua kama milioni kadhaa na kwenye universe kuna galaxies za kutosha tu kama bil 100 na inatabiriwa kiwa zitadouble to bil 200 kadri ugunduzi wa telescope zenye nguvu zaidi unavyoendelea..

Sisi binadamu ndo kwanza tuna hustle kuijua vizuri mars iliyopo karibu yetu achilia mbali kutoka kwenye solar system yetu ambayo chombo chenye speed duniani kinaweza kutumia miaka 36 kutoka kwenye solar system..

Kuifikia nyota iliyoko karibu yetu unahitaji kitembea millions of light year ambapo unaweza kutumia miaka mingi sana..

Kwahio kwa maono yangu naona binadamu hatuwezi kutembelea galaxy nyingine...maana kufika tu nje ya galaxy yetu unaweza kutumia miaka zaidi ya life expectancy ya mwanadamu miaka zaidi ya milioni..

Na kwa taarifa yako nyota nyingi tuzionazo juu sasa hivi hazipo...yaani sisi tunaona past.. muda wa ule mwanga wa nyota kutufikia sisi ni miaka mingi sana kiasi kwamba zile nyota zilisha dissappear

Kungekuwa na viumbe wengine kwenye galaxy ya mbali wakatumia darubini kutuangalia wangekuwa wanaona past ..yaani wangekuwa wanaona ma dinosaur
nyota nyingi tuzionazo.....

nijitizama usiku huwa kuna nyota tatu huwa haziachani yaani zitahama tu kulingana na mzunguko uliopo na hizo tangu utoto wangu nimekuwa nikiziona katika muundo ukeuke wa kufuatana. zenyewe hazifi ili kuendana na ulichokisema hapo juu?

kama kuna mwingine amegundua nazungumzia nyota zipi anaweza kukazia
 
Hahaa yaani ni shida... kutuma chombo nje ya solar system tu unahitaji miaka 36.. sasa nani aliipiga picha ya universe na solar system[emoji23] [emoji23]
unaona ajabu sana kutumia dk45 kufika andromeda galaxy kwa future space-time technology ??

leo hii ukimuliza mzee wa 1920 kama alitegemea kuwepo kwa treni za umeme zenye kasi zaidi lets say kutoka kigoma hadi Dar kwa masaa 2 kuliko kutumia motokaa kwa zaid ya masaa 36 nadhani angekwambia hakuna usafiri kama huo kama ungekuja kutokea...

Kwanin sasa unakuwa mgumu kuamini kama through wormholes tutaweza kufika into distant galaxies hata kwa masaa 72 tu..

Hiyo equation yako ya bwana mdogo Einstein inaprovuwa wrong sana wa watu wa modern era kwan ina limit nying sana...
 
hzo pcha huchukuliwa na telescope mkuu
ndio zinachukuliwa na telescope lkn hakuna picha ya jumla ya galaxy yetu halisi.. ni kana kwamba unauwezo wa kwenda juu mita 100 hlf unaambiwa upige picha dunia nzima!(yote itokee kwenye picha). sehemu baadhi ni halisi lkn sehemu nyengine ni work of art.
 
Huyu atakuja na story za kusafiri speed ya zaidi ya mwanga..
Wakati baba wa physics Einstein alishasema ili kitu kisafiri speed ya mwanga inabidi kiwe massless yani kisiwe na uzito wowote..

Au kama kina mass basi energy itakayotumika kukipeleka speed zaidi ya mwanga ni infinity..
Yaani uichukue universe yote uibadirishe kuwa energy bado haiwezi kuimove object yenye mass kwenda speed ya light
thats why nikasema kuwa ,now we have a new solution on that...

Nayo ni kupitia a shortcut way(wormholes) ..

Ukisema uende direct ni ngumu,utatumia a milions of years kufika huko uendako...
 
unaona ajabu sana kutumia dk45 kufika andromeda galaxy kwa future space-time technology ??

leo hii ukimuliza mzee wa 1920 kama alitegemea kuwepo kwa treni za umeme zenye kasi zaidi lets say kutoka kigoma hadi Dar kwa masaa 2 kuliko kutumia motokaa kwa zaid ya masaa 36 nadhani angekwambia hakuna usafiri kama huo kama ungekuja kutokea...

Kwanin sasa unakuwa mgumu kuamini kama through wormholes tutaweza kufika into distant galaxies hata kwa masaa 72 tu..

Hiyo equation yako ya bwana mdogo Einstein inaprovuwa wrong sana wa watu wa modern era kwan ina limit nying sana...
Hivi hizo wormholes unazoziongelea kuanzia mwanzo kwanza zina exist kweli au ni vitu vya kusadikika kama alliens n.k (of course sina knowledge ya mambo ya space sana knowledge niliyonayo ni ya kujisomea mwenyeww vitabu vichache tu)
Maana ndio mala yangu ya kwanza nasikia kuhusu wormholes... kama zipo zipo sehemu gani??
Zipo karibu na solar system yetu??
Maana the fastest space ship ever built inatumia miaka kama 30+ kutoka nje ya solar system je kukutana na hio wormhole ili waanze mambo ya kupita galaxy moja na nyingine fasta watatumia muda gani??
 
nyota nyingi tuzionazo.....

nijitizama usiku huwa kuna nyota tatu huwa haziachani yaani zitahama tu kulingana na mzunguko uliopo na hizo tangu utoto wangu nimekuwa nikiziona katika muundo ukeuke wa kufuatana. zenyewe hazifi ili kuendana na ulichokisema hapo juu?

kama kuna mwingine amegundua nazungumzia nyota zipi anaweza kukazia
Mkuu joto linalotoka kwenye nyota kama jua hutokana na rxn ya gases kama hydrogen n.k

Sasa baada ya muda gases(fuel) kwenye hizo stars huisha na kwa stars kubwa gas inaisha fastaaa (miaka kama milioni kadhaa) nyota ndogo kama jua inaweza kutumia miaka bilioni kadhaa kuisha.

Sasa nyota tunazoziona zilikaa miaka milioni ndio zikadissapear sasa hivi mwanga wake ndio unaifikia dunia..
*Sasa inabidi ukae miaka kama milioni ndio utaona hizo nyota zako tatu unazoziona tangu utotoni zinapotea* maana zili emit huo mwanga tunaouona kwa miaka milioni kwahio usitegemee mwanga utaisha fasta hivyo
 
unaona ajabu sana kutumia dk45 kufika andromeda galaxy kwa future space-time technology ??

leo hii ukimuliza mzee wa 1920 kama alitegemea kuwepo kwa treni za umeme zenye kasi zaidi lets say kutoka kigoma hadi Dar kwa masaa 2 kuliko kutumia motokaa kwa zaid ya masaa 36 nadhani angekwambia hakuna usafiri kama huo kama ungekuja kutokea...

Kwanin sasa unakuwa mgumu kuamini kama through wormholes tutaweza kufika into distant galaxies hata kwa masaa 72 tu..

Hiyo equation yako ya bwana mdogo Einstein inaprovuwa wrong sana wa watu wa modern era kwan ina limit nying sana...
Mkuu sasa hao wanao mprove wrong braza mkubwa Einstein kwa nini hawapublish mambo yao wakachukua hata Nobel prize na kutupumzisha kusoma physics ya Einstein? ??
 
Hivi hizo wormholes unazoziongelea kuanzia mwanzo kwanza zina exist kweli au ni vitu vya kusadikika kama alliens n.k (of course sina knowledge ya mambo ya space sana knowledge niliyonayo ni ya kujisomea mwenyeww vitabu vichache tu)
Maana ndio mala yangu ya kwanza nasikia kuhusu wormholes... kama zipo zipo sehemu gani??
Zipo karibu na solar system yetu??
Maana the fastest space ship ever built inatumia miaka kama 30+ kutoka nje ya solar system je kukutana na hio wormhole ili waanze mambo ya kupita galaxy moja na nyingine fasta watatumia muda gani??

kwanza kabsaa ili uweze kusafiri nje ya galaxy kwa speed tofauti ni lazima usafiri kwa speed ambayo haipo katika anga lile...

Shortly tunasema kuwa kila galaxy ina speed yake inayoruhusu things kutravel within it and the speed should be costant...ndo mana tunasema kuwa ili uweze kutoka au kusafiri kwa speed kubwa zaidi lazima uzidi speed ya milky way galaxy ilivyolimit matter object kusafiri vikiwa ndani ya anga lake..

So njia shortcut hapa ni kutumia space ( nyusa) ndogo ndogo zinazotokea kwa muda au zipo tu...
between space and tme there is a hole that things can pass hence known as wormholes...

Kwa hiyo kupitia hizi ndo tunaweza toboa anga za mbali lakini pia mara nyingi hizi nyusa kuzipata inakuwa ni kazi sana kwani mpaka space time ibend kwanza ndo wormholes zinaonekana...

Kwa hiyo wanasayansi wamekuja na njia nyingine ya kutengeneza artificila wormholes zitakazoturahisishia kuchomoka ndani ya galaxy moja hadi nyingine bila kubeaffected na specific speed ya galaxy husika kwani huwezi kuvuka speed iliyopo ndani ...

However, new research has found that materials necessary to make a magnetic wormhole already exist and are easy to obtain.

The team found superconductors, which can carry high current levels (charged particles), release magnetic field lines from within, thereby distorting them.

kwa hiyo njia pekee ni kutengeneza superconductors kubwa ambazo zitakuwa zinagenerate high energy magnetic fields ambazo zitatudieect pa kutokea..conside bellow


Worm-Hole2-336306.jpg

The scientists made an object of three layers - two concentric spheres and an interior spiral-cylinder - which transmitted a magnetic field from one end to the other when placed in a liquid-nitrogen bath, as high-temperature superconductors require the low temperatures of the liquid chemical to work.

The two outer layers then concealed the magnetic field's existence, making it "invisible" while in transit.

Normally, the presence of the magnetic field should be detectable from all points around it.

If you want to apply this to medical techniques or medical equipment, for sure you will be interested in directing toward any given direction

kwa hiyo wormholes can be artificial ones au zile natural ones ambazo kuonekana mpaka uzivizie kwanza..
18luyeutaxalmjpg.jpg


kwa hiyo ukiwa kwenye galaxy yako unaweza ona nyota za kwenye galaxy nyingine kupitia hizo wormholes na ndo kitu cha kuwa unaotea nake haidumu sana inakuja na kupotea kutokana na space time detortion...
 
Mkuu sasa hao wanao mprove wrong braza mkubwa Einstein kwa nini hawapublish mambo yao wakachukua hata Nobel prize na kutupumzisha kusoma physics ya Einstein? ??
broo...nobel prize has nothing to offer in yo life zaid ya kuonekana kwa watu..

kuna watu wanaoratibu mambo mazito hawatakiwa kuonekan kwenye jamii kutokana na usiri wa jambo linalofanywa..

mara nyingi anachaguliwa mtu ndo anapewa hiyo nobel prize ili kubrainwash watu..

make dunia itakuwa imemwangalia na kumtegemea atoa kitu ndo tuamini lakini nyuma yake kuna kundi la watu wanaratibu mambo kimya kimya...
Secret group of people hawahitaji kujulikana ili mambo yaende...

Fuatilia zaid hata watu wanaopewa nobel prize au tuzo most huwa wanasema kabsaa kuwa bila watu flabi nisingefika hapa ila hawezi kuwataja..
Lengo ni kumpa Aidia halafu wao wanasikilizia jinsi dunia inavyoenda kubebrainwashed...
 
Kuna sehemu either umechanganya au umekosea iko ivi ndani ya Galaxy ya Milk way kuna stars nyingi mno miongoni mwa izo star ni Jua letu ambalo ndani ya jua ndio kuna sayari tisa
Sayari hazipo ndani ya jua,zimelizunguka jua
 
mmmh....lakini mkuu through wormhole wameweza kufika kwenye galaxy hizo japo wenye dunia hii wanagoma kutuambia..

Kuhusu kutoka nje ya mfumo wa sayari yetu( solar system) imekuwa simple sana baada ya kustudy picha halisi ya jinsi universe ilivyojiweka katika sehemu zake..

Kupitia system ya spiral analysis ambayo ilitafutiwa ufumbuzi kupitia Fibonacci sequence ambayo ndo imekuja kuibua siri nzima ya jinsi mfumo mzima wa viumbe au sayari zote katika kila galaxy..

wamekuja wakagundua kuwa mpangilio wa vitu vyote ndani ya galaxy ya milky way ni sawa sawa na mpangilio ule ule katika galaxy za Andromeda na zingine
View attachment 833140

kupitia fibonacci calculations tunakuja kuconclude kuwa all living things in this universe are formed in spirally form that form a shape like spiral ...

Na ukiangalia kweli formation ya uzao wa kila kitu kinachopatikana kwenye universe hii kipo katika mfumo wa fibanacci structural( hapa mpaka uwe unasoma mfumo wa universe ndo utaendana na mimi kuhusiana na fibonacci sequence aplications)

,
Mtoto akiwa tumboni anakuwa ameoccupy fibanacci spiral shape,konokono anakuwa na spiral shape,angalia mimea yote ikiwa inaanza kutoa maua inaexihibit fibonacci spiral shaped,..

karibia kila aina ya formation ya kila kitu ipo katika mfumo wa fibonacci sequence...

Ukiwa mfuatiliaji sana wa Fibonacci's number utakuja kugundua kuwa the whole galaxies zinaocupy the same fibonacci formation sequence kiasi kwamba formation ya intersteller,galaxies,excess norble gases and other things kwenye kila galaxy ipo sawa kwa galaxy zote..

View attachment 833143

kwa hiyo tukija kugusia namna ya kufika huko kwenye galaxy zingine,ni simple sna kupitia time space machine ambapo tutatumia wormhole kama chombo kinachosafiri kwa haraka zaidi kuliko hizo roketi na sourcer tunazotegemea...

Ikumbukwe kuwa kupitia wormhole tutafika kwa speed kubwa sana zaidi ya speed ya mwanga (3,000,000 m/s) yani meter milion 3 kwa sekund moja..

wormhole itasafiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga ..

Kupitia wormhole transportation ,tutakuwa na uwezo wa kuingia galaxy nyingine kupitia galaxy moja hadi nyingine,,.

yani unajikuta unatumia dk 45 kutoboa galaxy ya Andromeda kupitia milky way galaxy..

Things are coming to terify the world ..keep watching how technology is going to fantasy the world and the universe itself...

Kuna kampuni moja kubwa snaa duniani ambalo ndo linasimamia hayo mambo ya kutengeneza space craft zitakazotumika kutufikisha kwenye kituo cha anga za mbali cha SPACE X ambapo tukifika huko tutachukua wormhole na kusafiri kwenda galaxy moja hadi nyingine...

Space X wamefikia pakubwa sana japo everything is put under secret kwa minajiri wanaoijua wao...

Kuna siri nyingi zishaaanza kuvuja kuhusu CERN project kuhusisha utengenezaji wa vifaaa vitakavyotumika kuunda wormhole ,,..japo wanajihusisha pia na uchunguzi wa Anti matter but wanajihusisha pia na namna watakavyokuja kugundua hizo wormhole kupitia madini maalumu.

Hii dhahabu na almasi inayotafutwa duniani kote kila kukicha usifikiri inatumika kutengenezea saa za mkononi na mikufu ya akina Lady Gaga na Rihanna ,hapana ina mambo yake...

Inasemekana lakini kuwa eti madini yanayohitajika kuunda hiyo wormhole space machine miongoni mwao ni dhahabu na almasi...

Sijalitafutia ufumbuzi vizuri kuhusu jambo hilo..

bado nadig mambo make wenye dunia hawataki kuweka mambo hadharani..


kwa hiyo mwisho niseme kuwa kusafiri hadi kufika galaxy nyingine inawezekana kabsaa...

sasa kama wameweza kubaini idadi ya galaxy zote pamoja na system za intersteller zote itakuwaje washindwe kufika huko..mbaya zaidi picha ya universe yote waliipigaje kama hawawezi kufika huko....

Kuna watu wanarisk maisha ili kila kitu kiende poa kwa hiyo sio kila jambo linawekwa wazi...

Kuna siri nzito sana juu ya uchimbaji wa dhahabu na Almasi pamoja na madini unayoyajua wewe...

Tuendeleeni kuwa wapole tu make mambo ni mazito...
Mkuu, idadi ya galaxies zote wamezijuaje? Space telescope miaka iliyopita walisema Galaxies zipo 120 billion, baadae (2016) wakasema zipo 2 trillion, ambayo ni zaidi ya idadi waliyokuwa wanaifikiria.

Edwin Hubble baada ya kugundua milk way si galaxy pekee katika universe astronomers wakajikita zaidi katika uchunguzi. Na zile galaxies tunazoziona ni mwisho wa teknolojia binadamu tuliyonayo. Kwa maana teknolojia tuliyokuwa nayo kuhusu uchunguzi wa universe, ndiyo ukomo wa maarifa yetu kuhusu universe. Ndiyo maana kadri muda unavyozidi kwenda na teknolojia inavyokuwa kubwa na ugunduzi wa galaxies nyengine zinaongezeka. Swali linalobakia, ulimwengu wetu ukubwa wake upoje; How big is big?
 
kufika alpha centauri kwa wiki mbili inamana una safiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga........that cannot be possible mkuu
Kwa mfano wakisafiri kwa velocity ya light kutoka Sayari tuliyopo mpaka Sayari nyengine. Kwa kasi hiyo hiyo ya light tukatoka mpaka kwenye Solar System ya kwetu, na kwa kasi hiyo hiyo ya light tukatoka mpaka kwenye Galaxy ya kwetu.

Hiyo, imekaaje?
 
kwanza kabsaa ili uweze kusafiri nje ya galaxy kwa speed tofauti ni lazima usafiri kwa speed ambayo haipo katika anga lile...

Shortly tunasema kuwa kila galaxy ina speed yake inayoruhusu things kutravel within it and the speed should be costant...ndo mana tunasema kuwa ili uweze kutoka au kusafiri kwa speed kubwa zaidi lazima uzidi speed ya milky way galaxy ilivyolimit matter object kusafiri vikiwa ndani ya anga lake..

So njia shortcut hapa ni kutumia space ( nyusa) ndogo ndogo zinazotokea kwa muda au zipo tu...
between space and tme there is a hole that things can pass hence known as wormholes...

Kwa hiyo kupitia hizi ndo tunaweza toboa anga za mbali lakini pia mara nyingi hizi nyusa kuzipata inakuwa ni kazi sana kwani mpaka space time ibend kwanza ndo wormholes zinaonekana...

Kwa hiyo wanasayansi wamekuja na njia nyingine ya kutengeneza artificila wormholes zitakazoturahisishia kuchomoka ndani ya galaxy moja hadi nyingine bila kubeaffected na specific speed ya galaxy husika kwani huwezi kuvuka speed iliyopo ndani ...

However, new research has found that materials necessary to make a magnetic wormhole already exist and are easy to obtain.

The team found superconductors, which can carry high current levels (charged particles), release magnetic field lines from within, thereby distorting them.

kwa hiyo njia pekee ni kutengeneza superconductors kubwa ambazo zitakuwa zinagenerate high energy magnetic fields ambazo zitatudieect pa kutokea..conside bellow


View attachment 833422
The scientists made an object of three layers - two concentric spheres and an interior spiral-cylinder - which transmitted a magnetic field from one end to the other when placed in a liquid-nitrogen bath, as high-temperature superconductors require the low temperatures of the liquid chemical to work.

The two outer layers then concealed the magnetic field's existence, making it "invisible" while in transit.

Normally, the presence of the magnetic field should be detectable from all points around it.

If you want to apply this to medical techniques or medical equipment, for sure you will be interested in directing toward any given direction

kwa hiyo wormholes can be artificial ones au zile natural ones ambazo kuonekana mpaka uzivizie kwanza..View attachment 833423

kwa hiyo ukiwa kwenye galaxy yako unaweza ona nyota za kwenye galaxy nyingine kupitia hizo wormholes na ndo kitu cha kuwa unaotea nake haidumu sana inakuja na kupotea kutokana na space time detortion...
Haina madhara Mkuu, msije mkatuharibia Dunia?
 
Back
Top Bottom