Habari za mida hii wana jamii,
Mimi ni mranzania nipo Korea.
Ninatafuta kujua kuwa kuna Hyper markets ngapi tanzania.
Ninajua kuna Mlimani city, Uchumi na Nakumatt in arusha,
Je kuna zaidi?
Ninaomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.