National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Huyu nime mvamia PM mazima mazima, ili kama atatuchora atuchore vizuri π€£π€£π€£π€£ angekuwa tithiii asingekuwa na kiranga kihisi hikiHuu ndio msaada wa kweli sasa .Basi litakuwa ni parody kweli kazi yake kuamshia watu popo afu linakimbia π π π Bora kukomaa na Hawa mashangazi wa uhakika
Geresha yake hatari kama kigoli vileHuyu nime mvamia PM mazima mazima, ili kama atatuchora atuchore vizuri π€£π€£π€£π€£ angekuwa tithiii asingekuwa na kiranga kihisi hiki
π π π bora kupambanania mashangazi mazee kuliko haya mapyaaa, yana hatari π π πGeresha yake hatari kama kigoli vile
Kuna lishangazi limoja nimelikumbuka katika ufalme wangu now silioni pia pm limefunga.Sijui bazazi Gani kapita naye soon nitakutumia code naelewa huwezi kukosa nenoπ π π bora kupambanania mashangazi mazee kuliko haya mapyaaa, yana hatari π π π
Alafu mashangazi sijui yamesanuka nini, karibia yote yamefunga PM π€£π€£π€£Kuna lishangazi limoja nimelikumbuka katika ufalme wangu now silioni pia pm limefunga.Sijui bazazi Gani kapita naye soon nitakutumia code naelewa huwezi kukosa neno
Aisee kumbe umeona hilo ,wanakuja na ID mpya za kutuchora tuuπππ.Iko siku nitalifungulia uzi pengine litarudisha moyo nyumaAlafu mashangazi sijui yamesanuka nini, karibia yote yamefunga PM π€£π€£π€£
π π noma tupu.. ila tutaishi nayo kibishi bishiAisee kumbe umeona hilo ,wanakuja na ID mpya za kutuchora tuuπππ.Iko siku nitalifungulia uzi pengine litarudisha moyo nyuma
πππGuys huyu last born kanishinda jaman mwanaume mda wote my momy my dady oh jaman nime mchoka nataman kumuacha
Mamy ππMda wote mamy mamy mamy
Kama vile ananyonyaMda wote mamy mamy mamy
Date na baba ako, atakupa utakachoGuys huyu last born kanishinda jaman mwanaume mda wote my momy my dady oh jaman nime mchoka nataman kumuacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume last borns ni majanga walah!! Utatamani uvichape makofi wakati mwingine, hawajawahi kuwa wa maana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli........mimi nipo hapa sio last born, ingawa pia sio first wala middle born, anyway mjitahidi wanawake kuwaepuka hao lastborn maana wengi wao ndo wana hizo tabia za kina Achraf Hakimi.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naenda kusema kwa my momy umekuja kunisema JF...
Yanakera mno..yamekaa kisenge senge tu afu ving'ang'aniz kishenz na kaz huwa gayatak kufanya mambwa yale ukilikuta la kiume linakera mno na ndo yanayoongoza kuwa mashogaIla last born walio wengi wana malezi mabaya ya kudekezwa,tena ndio ukute una date nalo hata Kama limekuzidi umri vpi utajuta.Mda wotee kususa susaa,kudeka deka yaan linakuwa Kama litoto ww ndio unageuka kuwa mama yake mxiiiuu ππππ
Haswaa ukipata mwanaume first born umepata mumeNi raha sana kudate na first born wa jinsia yoyote.
Ila tatizo huanza wa kike akifika umri fulani hukazania ndoa kichizi, ukidate na first born unaenjoy sana coz wanajua mengi.
Mimi umri unavyoenda najikuta sitaki kabisa kulala wawiliNilikuwa napenda sana kulala ukutani, ila umri unavyo nachukia kulala ukutani