How mnaweza ku date na last born?

How mnaweza ku date na last born?

We acha tu...

Nimefaudu sana nyama za kufichiwa na mama. That woman dah! Apumzike salama kwa kweli. Hakuna upendo kama wa mama na last born wake wanaoshibana aisee [emoji16][emoji16][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Mimi sikuwahi kupewa special treatment hata siku moja kwanza nina miaka minne tu akaniacha niende na dada. Huwa nahisi mama yangu labda hakupanga kunizaa
 
Huwa wanakunywa kinywaji haraka halafu wanalilia cha first born!...first born Mungu atubariki tunanyanyaswa mno na hawa machalii
 
Last born wanadeka sio MWANAUME sio MWANAMKE....hata kitandani atataka alale ukutani....

Last born anakikombe chake ukikitumia anazila au kugoma kukitumia.........
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1708][emoji1708]
Wewe kama ulishawahi lala na mm aisee napenda kulala ukutani pia
 
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1708][emoji1708]
Wewe kama ulishawahi lala na mm aisee napenda kulala ukutani pia
Nimewai kuishi na ma last born 😂😂🤣🤣🤣
 
Guys huyu last born kanishinda jaman mwanaume mda wote my momy my dady oh jaman nime mchoka nataman kumuacha
Endelea kurukaruka kisha umri ukishafikia pentagon utatafuta kuolewa hata na mgema tembo.

Nakuunga mkono achana naye🤣
 
Yanakera mno..yamekaa kisenge senge tu afu ving'ang'aniz kishenz na kaz huwa gayatak kufanya mambwa yale ukilikuta la kiume linakera mno na ndo yanayoongoza kuwa mashoga
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Back
Top Bottom