How President Magufuli convinced President Museveni on the oil Pipeline deal

How President Magufuli convinced President Museveni on the oil Pipeline deal

Binafsi sijapata sehemu Magu ameongea hayo, na ndio maana nikasema kama kweli ameyasema, basi atakua ameanika desperation kubwa sana kwamba iliwabidi mubembeleleze kwa kutaja mambo ya damu iliyomwagika badala ya maamuzi ya kisayansi ambayo yalikua yamewapendelea tayari.
Ndugu yangu ukiona tz inaongelewa hoja ina mlengo wa kisiasa inabidi kitulia kidogo kusoma mchezo, sisi watanzania moja ya vitu tunashindwa ni kuficha tofauti zetu, hata sehemu ambayo huwa tunatakiwa kuongea kama taifa huwa ushabiki unakaa mbele. Ndio kama haya!

Sisi tunatofautiana kidogo na nyie, Wewe angalia, uchaguzi huko kwenu umepamba moto sana, lakini sijawahi kuona hapa watu wa NASA wakimponda uhuru hata kama kuna kitu hakiko sawa, utaona wanajaribu kukineutralize for the sake of their nation!

Hapa JF kuna majukwaa mengi tu ambayo watz tunakosoana, lakini hayo hayatoshi hadi mtu aje huku kuwamislead!
 
Binafsi sijapata sehemu Magu ameongea hayo, na ndio maana nikasema kama kweli ameyasema, basi atakua ameanika desperation kubwa sana kwamba iliwabidi mubembeleleze kwa kutaja mambo ya damu iliyomwagika badala ya maamuzi ya kisayansi ambayo yalikua yamewapendelea tayari.

Ability to negotiate. Imenikumbusha maneno aliyotoa hayati Mandela wakati wa kuweka sahihi mkataba wa Amani Arusha miaka michache iliyopita kati ya pande karibu 10 katika mgogoro wa Burundi. Asubuhi pande 4 ziliweka sahihi zikabaki sita hivi kama sijasahau. Mzee Mandela aliamka akanena maneno makali ya ndani kabisa kuliko aliyosema Mhe. Rais Maghufuli. Walipotoka na kurudi wote waliweka sahihi zao. Sitaki kuyarudia hapa yale maneno kwa heshima ya Mzee wetu. Hayakuwa mabaya bali ya ukweli wenye uwazi. Clinton aliposimama ili kupoza joto la yale maneno alisema: " Tutamwelewa Mzee Mandela tukizingatia amekaa gerezani miaka 27." Ability to Negoiate.
 
Ability to negotiate. Imenikumbusha maneno aliyotoa hayati Mandela wakati wa kuweka sahihi mkataba wa Amani Arusha miaka michache iliyopita kati ya pande karibu 10 katika mgogoro wa Burundi. Asubuhi pande 4 ziliweka sahihi zikabaki sita hivi kama sijasahau. Mzee Mandela aliamka akanena maneno makali ya ndani kabisa kuliko aliyosema Mhe. Rais Maghufuli. Walipotoka na kurudi wote waliweka sahihi zao. Sitaki kuyarudia hapa yale maneno kwa heshima ya Mzee wetu. Clinton aliposimama ili kupoza joto la yale maneno alisema: " Tutamwelewa Mzee Mandela tukizingatia amekaa gerezani miaka 27." Ability to Negoiate.
Well said! Umenikumbusha pia kitu hiki nilikuwa nimekisahau!
 
i pity you...i bet you consider your statement etiquette. would it cost you a kidney to request?
ask and you shall be given. besides your answer is in the video. take your time

Please learn some manners. If you copy an article learn to give credit.
This story was on Nairobiwire.com. We also read Kenyan blogs.
Otherwise you should have just embedded the video and left it at that, or explained the video in your own words.
 
Have you watched the video?

I read the story and watched the video on Nairobi Wire. Before it was even posted here.
Word for word.
The guy just clicked Control paste, and can't even indicate the source. Shameless.
 
Please learn some manners. If you copy an article learn to give credit.
This story was on Nairobiwire.com. We also read Kenyan blogs.
Otherwise you should have just embedded the video and left it at that, or explained the video in your own words.
how then can you teach manners that you dont have...preaching water and taking wine...however right you are,youre not justified with the kind of tone you use. to wrongs dont make a right...that rage was uncalled for,rattling like you got hurt by that mistake,try to manner up yourself
 
Tanzania ya jana siyo ya leo. Mpaka viboko viwaingie.
Kenya wamekuwa wa kulialia kama vichaa.
Kila siku macho Tanzania.
Message sent.
 
Wakenya na watanzania ni ndugu si busara kupigana kwa maneno kuhusu mambo kama haya. Bomba limepita Tanzania lakini liikisha hadi wakenya watapata ajira. Sisi watu wa mpakani tunakunywa chai Isibania lunch Tarime au Sirari. Kwahiyo tuzidi kuvulimiliana na kuomneana hari
Udugu ni kweli sisi ni ndugu lakini jee iwapo mmoja wa hao ndugu ni mlafi, anatamaa anataka kila kizuri na manufaa apate yeye kwanza inakuwaje????
 
Safi sana maguu achana na hawa nyumbu kama bomba lingeenda Kenya ndio ingekua raha yao hawana utaifa kabisa kila kitu uchama jema kwao baya nyie payukeni tu.

Ni hivyo umasikini umewatanda hamuelewi nini maana ya 3.4 billion dollars deal laiti mngejua thamani ya hili bomba mngempongeza Magu kwa kutumia ushawishi wake, hawa Wakenya wanaowasapoti ni kwasababu wamelikosa wangelipata wangekua wanacheka saivi.

Big shame on you nyumbus msio na akili wala jema.
 
how then can you teach manners that you dont have...preaching water and taking wine...however right you are,youre not justified with the kind of tone you use. to wrongs dont make a right...that rage was uncalled for,rattling like you got hurt by that mistake,try to manner up yourself

I just mentioned it as a by the way. Then you made a huge deal out of it.
 
Tanzania ya jana siyo ya leo. Mpaka viboko viwaingie.
Kenya wamekuwa wa kulialia kama vichaa.
Kila siku macho Tanzania.
Message sent.
you sound nothing like a god 😛😀
 
Back
Top Bottom