Hongera sana Mkuu, kumbe JF yetu ina uhakika wa kuendelea miaka 70 ijayo Kwa kuwa ninyi Vijana bado mtakuwa imara wakati huoHizi tarehe ndo bi mkubwa anaambiwa muda umefika wa jembe kuja duniani, hatimae nikaja duniani ππ
Asante sana mzee wangu.....Hongera sana Mkuu, kumbe JF yetu ina uhakika wa kuendelea miaka 70 ijayo Kwa kuwa ninyi Vijana bado mtakuwa imara wakati huo
Sisi wengi wa Wazee wenu tutakuwa tumeyaaga mashindano π
π Wengine hata hawajazaliwaNi kweli, genZ wengi humu Mwaka 1999 walikuwa ndiyo wanajifunza kutambaa wengine kujifunza kuongea miaka hiyo π
Aise ila JF waanze kulipa content creators ingependezaAsante sana mzee wangu.....
Inaendelea vizuri ikiwa tutakuwa na sera na kanuni za kuimarisha ustawii wa forum yetu!
Kivip na kwann mkuuAise ila JF waanze kulipa content creators ingependeza
Huenda, ndiyo maana wengi wao wapo vizuri kwenye nyuzi za teknolojiaπ Wengine hata hawajazaliwa
Ni kweli kabisa, ila mnashauriwa kutoa maoni ya namna ya kuiboresha kadri mtakavyoona inafaa.Asante sana mzee wangu.....
Inaendelea vizuri ikiwa tutakuwa na sera na kanuni za kuimarisha ustawii wa forum yetu!
Kuna jamaa alisema hapa jf kila akikumbuka samia ndie rais wa Tanzania anaishiwa pumzi kabisaView attachment 3242016
Ikulu tamu bwana.
99 si juzi tu aiseeLong time wengi humu walikuwa hawaja zaliwa
Kabisa mkuu wengi humu ni vijana wa 2000Huenda, ndiyo maana wengi wao wapo vizuri kwenye nyuzi za teknolojia
Sisi tuliozaliwa kabla ya Uhuru ndiyo tumekuwa tunashida kwenye teknolojia, hadi ku-log in humu JF hadi tupate usaidizi wa Wajukuu πKabisa mkuu wengi humu ni vijana wa 2000
Aaah kumbe ipo hivyo naona majukwaa yapo ya kutoshaNi kweli kabisa, ila mnashauriwa kutoa maoni ya namna ya kuiboresha kadri mtakavyoona inafaa.
Uongozi wa JF upo tayari kuyapokea kwaajili ya maboresho
wewe umezaliwa ln FazaKabisa mkuu wengi humu ni vijana wa 2000
Ndiyo maana Kuna mods kwaajili ya kudhibiti hali hiyoAaah kumbe ipo hivyo naona majukwaa yapo ya kutosha
Naona jf ya 2013 siyo ya sasa, hata kama issue za agemates km ngono lakini ninachokiona humu wengi nidhamu ni hakuna
wakifanikisha hili nadhani watu watakuwa kwenye mstari
I'd fake isimpe mtu mamlaka ya kumtusi kumkashifu mtu.....
Nidhamu haipo mzee wangu
Long agowewe umezaliwa ln Faza
πππUnamlipa kijana 10k akufungulie account ya FacebookSisi tuliozaliwa kabla ya Uhuru ndiyo tumekuwa tunashida kwenye teknolojia, hadi ku-log in humu JF hadi tupate usaidizi wa Wajukuu π
Ngoja Luca ajeHayo matukio yana historia gani
Naona unanicheka Mzee wenu, nimeshaliwa sana hizo elfu 10 kumiπππUnamlipa kijana 10k akufungulie account ya Facebook
Hahaha daah you are brotherLong ago
Ungekuwa teacher mkudaπ€£π€£π€£Ulitaka kuandikaje?