Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hongera sana Mkuu, kumbe JF yetu ina uhakika wa kuendelea miaka 70 ijayo Kwa kuwa ninyi Vijana bado mtakuwa imara wakati huoHizi tarehe ndo bi mkubwa anaambiwa muda umefika wa jembe kuja duniani, hatimae nikaja duniani 😂👊
Sisi wengi wa Wazee wenu tutakuwa tumeyaaga mashindano 🙌