NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
- Thread starter
-
- #141
Hakuna kitu kama hiyo. Wakenya tulipokua kwa hiyo thread ilikua imewaka moto 24/7. Sahii hata ile attention kidogo inapata ni juu ya Wakenya wachache ambao bado hawajajulishwa tumegoma thread.Thread imeshafikia climax,watu washapost sana hadi wamechoka sasa...hata wewe unalijua hilo but bado hua iko top katika Kenyan subforum mara kadhaa ...n ofcz sio dar vs nai pekee kule updates nyingi hutumwa on daily basis
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hawajajulishwa wakat wahamasishaji ndio wamerudi rasmi hahaha we jamaa denial Za nnHakuna kitu kama hiyo. Wakenya tulipokua kwa hiyo thread ilikua imewaka moto 24/7. Sahii hata ile attention kidogo inapata ni juu ya Wakenya wachache ambao bado hawajajulishwa tumegoma thread.
Where is IMF kenya Report 2019? Ukipata uni tag😂😂😂😂
Sgr haijakwama ,ATCL inapiga kazi, tafuta hoja zngineNina uhakika SGR TZ ilikwama mwaka jana.
ATCL haifanyi kazi kwa sasa.
Uchumi unakua kwa 4%.
GDP $61b.
Nina uhakika SGR TZ ilikwama mwaka jana.
ATCL haifanyi kazi kwa sasa.
Uchumi unakua kwa 4%.
GDP $61b.
Hawajajulishwa wakat wahamasishaji ndio wamerudi rasmi hahaha we jamaa denial Za nn
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Come back when kenya unblocks its IMF report..The east african report is out though you can get it at their website..I'm not sure if IMF has released it.
But I'm sure they have not said the Kenyan government is blocking.
Haha ati umeishi Dar, jipe break na ujinga
Come back when kenya unblocks its IMF report..The east african report is out though you can get it at their website..
Hear is the press release 2019 according to article IV of IMF charter for Uganda and rwanda👇👇👇
View attachment 1077743
View attachment 1077746
It seems you always jump in with fools without doing any backgroud check.. An IMF press release as per article IV can and is very normal for it to be blocked by countries..Kenya has blocked their 2019 forcast report, and so has Tz..The only difference is there are hired media goons with a mission to twist every Tz story into a scandal
Pombe kamata hapohapo naona wazungu povu lawatoka
Hatutaki kupangiwa,msitupangie
Nikikumbuka yale maisha ya kibera,korongocho,mathare,dandora,kiambiu dah najiuliza maisha aishiyo mkenya wa kawaida?kwenye kibanda ambacho huku tz huishi mifugo kama kuku,nguruwe nkSo haunijui, never heard of me but somehow umejuaje sijaishi Dar? Kuna mengi nzuri Dar kushida Nairobi na vice versa. Nikitaja zile Nairobi imeshinda Dar haimanishi zile nzuri Dar hazipo. Vyakula Dar ni nzuri sana, nikifikiria juu ya huko nakumbuka vyakula na upishi vya kupendeza kushida Nairobi. Lakini waNairobi wana pesa kushida waDar.
WhateverKama budget yako 40% inategemea misaada basi jeuri hiyo haipo
It’s tough to swallow!
He who feeds you controls you
Do you remember when was the last time Dodoma borrowed from the IMF? May you please come back and tell us if you remember something...