please watch this video carefully and listen to what the guy is saying. Someone other than iebc had the
privileges to audit and change the numbers of the results of the kenyan election.
![]()
image ii
![]()
image iii
![]()
raila odinga je umesoma haya au unaambiwa tu?.
Sisi tuko pamoja na wewe kimaombi tukimwambia bwana yesu kwamba kama kweli ushindi wa uhuru kenyatta ni wa haki basi adumu milele lakini kma kuna hila zimetumika ili kumpa ushindi basi mungu atajuwa namana atakavyo mshughulikia kiumbe wake aliyemruhusu awe duniani.
Raila wewe mwambie yesu asante na uhuru ndie raisi mteule -kenya umeruhusu aitwe hivyo....
Pole sana raila na jipe moyo mkuu na mwachie mungu utapata amani moyoni mwako.
Lakini kama uhuru alishinda kwa haki basi atawale kwa haki ya mungu na awaongoze wakenya kwa haki tupu.
Last edited by a moderator: