How To Become Rich and Famous

How To Become Rich and Famous

Kikubwa ni nidhamu ya maisha na kumuomba MUNGU akulinde na kukongoza katika mapito yako ya kila siku haya mengine ni maneno tu ya kuuza vitabu na CDs
 
If you want to be rich and famous, you have to focus on your strong points. Don't dwell on your weaknesses. Choose your strongest asset and build it into a formidable asset.
Kwa maoni yangu, a deserving farewell kwa member wetu yoyote, aliyetangulia mbele ya haki ni kumuaga kupitia maandishi yake, threads zake ili kujikumbusha mawazo yake, maneno yake na matendo yake tukiendelea kuishi Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

RIP Comred Santus Mtsimbe, maandishi yako humu JF, yatakuishi milele!.

Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Back
Top Bottom