Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Bongo mzaha mwingi sana.Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo...
Yaan wabongo bhana.Miss Temu Kama alifanya kweli ,basi apige kaz chini arudi bongo.Tatizo ni kuwa wabongo huwa hawataki kujiudhuru.Huko mitandaoni kuna Pepa la Hoyce Temu kutoka UN, Watasha wameropoka mbaya, Nimeliona kwa Mange kimambi na kwa @tzshadeeroom_backup inasemekana mwakilishi wetu huko Geneva alikua anazipiga sana chapaa za UN na alikuwa anatumia vyeo vya watu kupenya na kupiga mpunga.
Yaani kwenye pepa ametajwa mdogo wake yule mtukanaji.
Dah UN wamemwaga ugali halafu huku sis ndio tumempa mboga apeleke huko Geneva kutuwakilisha kwa UN. Sasa sijui itakuaje?
View attachment 2465517View attachment 2465520
Unamaanisha tatizo hapa ni HATUNA NGUVU katika nyanja zote.Mzee umeongea kwa uchungu sana ila kuna point moja muhimu sana ambayo umei-miss. Ni kweli kabisa wenzetu wameendelea kutokana na sababu hizi ulizozitaja hapa, wakati sisi bado.
Hata hivyo, kinachopelekea sisi tuwe katika hali hii sasa pamoja na kuwa na reosurves nyingi mno ni WAO UKIUNGANISHA NA UWINGI WA RESOURCES AMBAZO SISI BADO TUNAZO
Nasema ni wao kwa sababu gani? Ni kwa sababu wao walishafikia sehemu waka-exhauxt resources zote walizokuwa nazo na ambazo ndiyo zilipelekea wakaweza kufikia hatua ya maendeleo waliyonayo sasa. Hii ni hatua moja nzuri mno kwenye maisha na ninawapongeza sana kwa hilo.
Still, baada ya kufikia hapo, they came to a HALT, huku wakituona sisi bado tunapiga makasia nyavu zetu zikiwa zimejaa samaki, huku za kwao zikiwa ni tupu.
KWA HALI HII, HAPA HATA KAMA NI MIMI, LAZIMA TU NITAFUTE NAMNA YA KUSHIRIKIANA NA WEWE HATA KAMA SI KWA HIARI YAKO
Tatizo tulilonalo sasa ni la kidunia, kwamba resources zimebaki sehemu moja ya dunia huku watu wakiwa wapo kila mahali duniani. Ni lazima tu resources hizo zitumike kwa kila mtu bila kujali nani anamiliki resources hizo. Kwa hiyo issue kubwa kabisa inayotuletea shida sasa hivi sisi ikiwa ni pamoja na wale walioendelea, ni resoiurces kuwa sehemu moja ya dunia huku zikiwa zinamilikiwa na wale ambao hawana nguvu, huku wenye nguvu wakiwa hawana.
Hapa uwezekano wa asiyekuwa na nguvu KUTOKA KIMAISHA pamoja na kuwa ndiye anayemiliki resources, unakuwa ni mdogo sana
Tena amehukumiwa kwenye tribunal kama muhalifu wa kimataifa.Kwahio kibarua kimeota nyasi???
Nguvu tunayo tena kubwa tu na ya kutsha kwa sababu mali bado ipo mikononi mwetu kwa kiasi kikubwa, isipokuwa nguvu hiyo inatakiwa kutumika kwa maarifa zaidi. Ni kama ilivyokuwa kati ya Daudi na GoliathUnamaanisha tatizo hapa ni HATUNA NGUVU katika nyanja zote.
Nini kifanyike ili tupate NGUVU.
Tufuate nyayo zao kama alivyoshauri mchangiaji uliejibu hoja yake au tutulie tu mpaka rasilimali zitakapo kwisha HIYO SEHEMU MOJA ili tuanze kula nyama za watu?
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Achilia mbali kuwa Mtanzania ninatarajia kuwa mzazi pia ninaetamani kesho ya wanangu iwe bora zaidi kuliko leo yangu.Nguvu tunayo tena kubwa tu na ya kutsha kwa sababu mali bado ipo mikononi mwetu kwa kiasi kikubwa, isipokuwa nguvu hiyo inatakiwa kutumika kwa maarifa zaidi. Ni kama ilivyokuwa kati ya Daudi na Goliath
Ahsante sana kwa kuonyesha kuwa haya maswala ya rasilimali za nchi yetu yanakugusa kwa kiwango cha kutosha
Ndivyo inavyotakiwa. Kwa mfano, ili kuwakilisha nchi ya Finland kama balozi , ni lazima uwe umefanya miaka kadhaa na kuwa cheo kikubwa huko Ministry of Foreign Affairs. Halafu wanatangaza nafasi zilizo wazi, mnaomba na kufanyiwa usaili.Siku za nyuma kabla ya kuwa balozi ilikuwa lazima uwe mwajiriwa wa Foreign Affairs; upandishwe madaraja hadi kufikia ngazi ya Balozi. Ilikuwa inachukua muda, Ila mtu anakuwa ameiva.
Siku hizi huo utaratibu ni kama umeachwa; anateuliwa mtu yo yote!!
UNDP sio ya wazungu. Ni ya Dunia nzima Tanzania ikiwemo. So Kama ameiba Basi amaibia Tanzania.
Acheni kuchafua watu