SOLD: HP Elite Book inauzwa

SOLD: HP Elite Book inauzwa

Issuna

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,203
Reaction score
7,628
RAM 2GB
Processor (intel) DUO CPU 1.40GHZ
HDD 100GB
WINDOW 7 installed
MODEL : eliteBook 2530p
Bei: 180,000
DVD WRITER
Battery TIME up to 4HRS



IMESHAUZWA
 
180,000Tsh

Mahali : Mbezi Mwisho

Condition : Used but NEW haina mchubuko wowote ule.

Karibu
 
Nitakapoacha ku comment tu ndio mjue ishauzwa...Maswali ya ipo au haipo yaje hapa kwenye comment tafadhali
 
ANGALIZO:

SIFANYI DELIVERY ya mzigo kwenda popote,biashara zote zinafanywa OFISINI kwangu na si OFISINI kwa mteja,kwa wale wateja mliopo DAR endapo utashindwa fata mzigo ofisini basi tafuta mtu unaemwamini mtume aje yeye.

kama utashindwa vyote hivyo basi itakubidi uletewe mzigo hadi ofisini kwako au nyumbani kwako kwa gharama ya usafiri JUU yako..sh.2000 (elfu mbili) ambayo utaituma kabla na sio baada ya kuletewa.

Kwa yeyote atakae ona kutuma 2000 ni ngumu atatapeliwa basi Namshauri atafute mtu anaemuamini amtume aje ofisini tofauti na hapo hamna mtu/mteja nitakae mletea LAPTOP bila kutanguliza nauli.
 
ANGALIZO:

SIFANYI DELIVERY ya mzigo kwenda popote,biashara zote zinafanywa OFISINI kwangu na si OFISINI kwa mteja,kwa wale wateja mliopo DAR endapo utashindwa fata mzigo ofisini basi tafuta mtu unaemwamini mtume aje yeye.

kama utashindwa vyote hivyo basi itakubidi uletewe mzigo hadi ofisini kwako au nyumbani kwako kwa gharama ya usafiri JUU yako..sh.2000 (elfu mbili) ambayo utaituma kabla na sio baada ya kuletewa.

Kwa yeyote atakae ona kutuma 2000 ni ngumu atatapeliwa basi Namshauri atafute mtu anaemuamini amtume aje ofisini tofauti na hapo hamna mtu/mteja nitakae mletea LAPTOP bila kutanguliza nauli.
Haya bana,
Nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom