HP g6 ya blue imeibiwa naomba mnisaidie

HP g6 ya blue imeibiwa naomba mnisaidie

The Only Kilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2010
Posts
352
Reaction score
87
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali. Pia naomba msaada wa kisheria kwa kua namshukia jirani kwa asilimia mia moja
 
Back
Top Bottom