FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Usichoke tu.Hapana.. ..Nampenda tu Bi Faiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichoke tu.Hapana.. ..Nampenda tu Bi Faiza
Haina shidaUsichoke tu.
mkuu august nitahitaji mtambo kama huu. naamini hii itakuwa imeuzwa. tuwasiliane.
note: hdd isiwe chini ya tb 1 na lau ram 8+ na number keys za pembeni (pale kulia)
Ingekuwa touch screen ningeinunua sasa hivi. Kwa hiyo nikupe 400,000 sasa hivi?
Sio kweli sema tu pesa ulonayo muelewan kwa specs hizo kama haina tatizo ni bei nafuu na sawa pia kwa USED
Ingekuwa touch screen ningeinunua sasa hivi. Kwa hiyo nikupe 400,000 sasa hivi?
Hiki chuma kitamu, mwisho ngapi?
Kwema mkuu ? ile Ssd 256 niliyochukua kwako bado iko fresh sana , naamini sijakosea username ...!
nahitaji ssd 512gb kama unayo ni pm mkuuKwema kabisa mzee
Daah nimekukumbuka mkuu nimefika mpk mlangoni kupitia google maps baada kunitumia LOCATION pamoja mkuu sikujua kama watumia hii ID
Hata ile yako iko vizuri pia nilomuuzia sijapata malalamiko pamoja sana
Chukua namba 0777039477 hifadhi mitambo ipo ya kutosha kabisa ni ww tu ukiwa okay