Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wauzaji wanaoniboa kama wanaotaka kufanyia biashara PM from the begining! Utafikiri mnauza uchawi!
Haahaa!! Na kweli, manake sio bure! Yaani kila anayemuuliza, oh njoo PM; wtf! Na watu wa aina hii labda wauze dawa ya kutokufa ndo naweza kuwa mteja wao!Huyo atakuwa dalali, hataki mwenye mali ajue kauza kwa sh ngapi maana na yeye yuko humu JF.
Mkuu ulisoma sheria za kupoat tangazo humu ndani,likifutwa sabbbu ya ukakasi utamlaumu nani,pm pm wtf,weka bei hta ya uongo kuwa pls majority then ndo useme waje pm myajengeBrand: hp
Model: Envy sleek book 14
RAM: 10GB
Processor: intel Core i7
HDD: 1TB
64Bit
Battery life: 3hrs
Graphics: Intel HD Graphics
Njoo PM nikuachie mzigo
View attachment 1098808
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna wauzaji wanaoniboa kama wanaotaka kufanyia biashara PM from the begining! Utafikiri mnauza uchawi!
Nimekuja nina 400kNjoo pm tuelewane vizuri
Bei kaweka hapo ni 750k, au hamajiona?Mkuu ulisoma sheria za kupoat tangazo humu ndani,likifutwa sabbbu ya ukakasi utamlaumu nani,pm pm wtf,weka bei hta ya uongo kuwa pls majority then ndo useme waje pm myajenge
Aliedit mkuu..haikuwepo mwanzoniBei kaweka hapo ni 750k, au hamajiona?