Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana boss ongeza 350 nakupa na begi lake thats too cheapMkuu 350000
Its depend ulinunua wap? Ughaibun sio guarantee ya kitu kizurHP kwa ujumla laptop zao ni takataka. Yangu nilinunua mpya dukani Ughaibuni na inakaa kwenye meza 24/7 lakini baada ya mwaka tu cooling fan ilikufa, ikafuata keyboard na juzi HDD ikazingua na ikabidi nifanye fresh Windows install na nikapoteza kila kitu baada ya Windows restore kugoma. Sitanunua HP tena.
Sawa mkuu. Usinielewe vibaya lkn. Nia siyo kukuharbia biashara yako.Its depend ulinunua wap? Ughaibun sio guarantee ya kitu kizur
I know...Sawa mkuu. Usinielewe vibaya lkn. Nia siyo kukuharbia biashara yako.
KaribuHii ni laptop aisee... sema tu sina pesaa! Ningeinunuaa walahii nadhani For games it fits...
Kaka ni hiyo moja tu unayo au computers ndiyo biashara yako? Nahitaji laptop niko Arusha, nipe options mbali mbali....
Okay nakujaNjoo pm tuongee
PM meKaka ni hiyo moja tu unayo au computers ndiyo biashara yako? Nahitaji laptop niko Arusha, nipe options mbali mbali
Relax, the "lady" knows nothing but SSD! Hana hoja zaidi ya hiyo! eti "ingekuwa na SSD ningenunua!" but in reality hana hata uhitaji, wabongo sijui kwanini tumejaa na roho za kwanini! Hivi ni lazima uharibu biashara ya mwenzio ndio wewe ufanikiwe?Nishachoka aise na ushamba wako wa SSD...it looks like unataka utangaze duka lako linalouza SSD coz this is the fourth time unapost kwenye thread yangu nyingine tofaut kuhusu SSD.....unasema zimepitwa wakati, wakati SSD sio jambo jipya pia stop misleading watu HDD itakuepo kwenye trend na itaendelea kuwa the most dominant drive kwenye mauzo kwa sababu ya affordability yake.....Btw ningeuza laptop yenye 1tb ya SSD hata wewe najua usingeafford
We mama ni Malaya??Tulia sindano ikuingie.
Nakupa elimu.
Sikuharibii biashara.
Nenda na wakati.
Nenda na technology.
Nenda na dunia.
Synchronize na technology.
Miaka mitatu mbele hii biashara yako itakua phased out.
Acha ubishi kaka!
We mama ni Malaya??
Relax, the "lady" knows nothing but SSD! Hana hoja zaidi ya hiyo! eti "ingekuwa na SSD ningenunua!" but in reality hana hata uhitaji, wabongo sijui kwanini tumejaa na roho za kwanini! Hivi ni lazima uharibu biashara ya mwenzio ndio wewe ufanikiwe?
Hahahaaaa! Aisee! What if I say YOU WON A FIGHT, will you feel it in you?Mnaniogopa kuni attack direct sababu mshagundua kuwa niko "nondo" kwenye hizo issues za computer hardware.
😀😀😀😀😀😀😀
Niko very updated.
Nawatoa jasho, mnajiuliza how comes najua vitu vingi. Loanisheni bongo zenu hizo, dunia inawaacha.
mkuu wewe ni thread ya pili hii naona unaleta ujuaji, kuna sehem nilikuambia inaonekana una akili sana ila hujui jinsi ya kutumia, ZINAKUPOTEZA.ingekua SSD tungeongea business. Lakin HDD hapana, zishapitwa na wakati.
Una sifa zote,Bora Ukadange tu ,Ujuaji mwingi Ms**enge wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Yes!
Ni sawa na kumuambia Mtumiaji wa Iphone aache kutumia Iphone 5 kwa sababu kuna Iphone X,Xr,Xr Max n.k ,wakati huo huo unayemumbia hana hela ya kununua hizo Latest Brand ,Ujuaji mwingi wakati kuna Consumer Preference,na Budgetary Constraints.Mnaniogopa kuni attack direct sababu mshagundua kuwa niko "nondo" kwenye hizo issues za computer hardware.
😀😀😀😀😀😀😀
Niko very updated.
Nawatoa jasho, mnajiuliza how comes najua vitu vingi. Loanisheni bongo zenu hizo, dunia inawaacha.