Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ma HR wengi wana roho za korosho mkuu sijui kwanini?nway never give up utashinda
duu mku unadiclose kabsa haha kakutenda nini namjua yule mshenzi
bila shaka huyo HR atakua ni mwanamke maana ndio huwa wana nyodo sana
Hivi kwa nini tunaona kufanya kazi kwa watu ni "kushinda", hata kama watu wenyewe hawana adabu kama huyo mtu wa HR?
Mie mpaka hapo nitakuwa nishaona hiyo sehemu ina utamaduni wa kutothamini watu, na hata nikipata kazi naweza nisielewane nao.
Unapotafuta kazi ujue kuwa muajiri naye anatafuta mfanyakazi. Wanapo ku interview wewe ujue na wewe una wa interview wao.
Usifanye "kukosa kazi" kuwe shida itakayokufanya uwe desperate kiasi cha kutaka kufanya kazi kwa yeyote tu. Angalia utu wako pia, kama vipi angalia uwezekano wa kujiajiri ili usipate kufadhaishwa na watu wanaojiona miungu wadogo kwa sababu wamepewa ofisi fulani za kuajiri na nchini mwetu kuna upungufu wa ajira hizi.
Pole mkuu umejiengua mwenyewe pasipo kujua
ww sio serious candidate endelea na kilimo huko uliko mambo ya ofisini huyawezi
Kama hiyo Institute ina HR wa hivyo basi haifai kwani alivyokutendea ndio image ya Institute yenyewe, au ni kampuni ya wahindi? endelea kutafuta taratibu
pole mwaya ila jitahidi cm uwe nayo karibu hata jifunge nayo shingoni na kamba! lkn uwe nayo...la cvyo mhh! c unaona mambo yenyewe yanavyokuwa kuwa!
sasa mimi na wewe taahira nani?simu ya mkononi badala ya kutembea nayo unaweka juu ya mafiga unakaa unakunywa ulanzi...nani akupe kazi ..kaa lima mjini mnakuja kutujazia foleni tu hapa