HR huyu hakunitendea haki au ndio utaratibu ulivyo?.

bila shaka huyo HR atakua ni mwanamke maana ndio huwa wana nyodo sana
 
ma HR wengi wana roho za korosho mkuu sijui kwanini?nway never give up utashinda

Kama hiyo Institute ina HR wa hivyo basi haifai kwani alivyokutendea ndio image ya Institute yenyewe, au ni kampuni ya wahindi? endelea kutafuta taratibu
 
duu mku unadiclose kabsa haha kakutenda nini namjua yule mshenzi

ndio dawa yao,ana nyodo utasema kampuni ya babake,ameshatuzingua so many times mkuu!!mi sitaki hata kumuona yule dada,anakupa majibu ya shombo mpaka unajidharau mwenyewe
 
Hajakutendea haki hata kidogo
Alipokukosa alitakiwa akupigie tena si ndo kazi yake bwana
 
Niliwahi kutokewa na scanerio kama hiyo toka kampuni ya SimbaNet. Nilipigiwa simu kwa ajili ya Telephone Interview.....Unfortunately, nilikuwa sehemu yenye kelele sana hivyo nikamuomba dada aliyenipigia anipe about 3 minutes ili nisogee sehemu muafaka for it; sehemu ambayo tungeweza kusikilizana vizuri! Niliposogea sehemu iliyo tulivu, nikaenda hewani! Simu ikaita sana, lakini haikupokelewa! Nikapiga tena zaidi ya mara tatu; simu haikupokelewa! Nikakata shauri la kuwatumia email....miaka miwili sasa, email yangu haijajibiwa ingawaje natumaini nitajibiwa tu! In short, ma-HR wengi wa Tanzania wapo hivyo.....wanakupigia mara moja, ukishindwa kupokea tu, imekula kwako as if wakati wote ni lazima uwe secure place. Binafsi, sehemu ambayo naamini kuna professionalism kwenye masuala ya HR basi ni pale Standard Chartrered Bank! Ni juzi tu hapa, jamaa walinipigia lakini kwa bahati mbaya walipiga wakati nikiwa kwenye daladala...sikuisikia! Hata hivyo, nusu baadae nilipowapigia, mdada wa HR alipokea na good enough alishafahamu in advance anapigiwa na nani! Four dayz later nikawapigia kutoa appreciation for interview (ingawaje nilishakosa nafasi) bado HR yuleyule ilimchukua robo dakika tu kukumbuka kwamba ni nani alikuwa anaongea nae!! Hawa jamaa hata ukiwapelekea CV, lazima watakuita tu kama una sifa!
 

Well spoken,kama ulikua kwenye mawazo yangu mkuu.
 
sasa mimi na wewe taahira nani?simu ya mkononi badala ya kutembea nayo unaweka juu ya mafiga unakaa unakunywa ulanzi...nani akupe kazi ..kaa lima mjini mnakuja kutujazia foleni tu hapa-HEE KIGOGO VPI TENA?,NINA MASHAKA NA UELEWA WAKO NDG,VP WEWE WA HAPO HAPO DAR AU ULIENDA TU?.
 
Pole mkuu umejiengua mwenyewe pasipo kujua

Wewe acha mambo ya kijinga, amejiengua vipi? Kutopokea simu kwa wakati si kosa na si sababu kamwe. Kama binadamu unakula, unaoga unakunya unasali n.k, yeye huyo HR na wewe unayeongea utumbo hapa hamuendi chooni?

Akili zako kweli za mende, umeniudhi kweli kweli.

Huyu jamaa yetu kafanyiwa kitu kibaya na wewe unaongezea utumbo hapa. ÅXæ'*zy'x*yz zako
 
ww sio serious candidate endelea na kilimo huko uliko mambo ya ofisini huyawezi

Kichefuchefu kama hiyo avatar yako. Serious candidate yukoje? Anaomba kazi na kukaa nje ya ofisi kusubiri kuitwa?

Huyu ndugu ni mfano wa kuigwa, anatafuta kazi huku anajishughulisha na jambo lingine la kumpatia hata huto tusenti twa kununulia stamp. Wewe kwa kujiona ndio una akili saaana unaleta kujua na ujinga wako hapa.
 
tatizo ni kwamba ma HR wa tz cha kwanza huwa wanafikiri kukupa kazi ni kukusaidia wewe badala ya kufikiri kuwa unaweza ukaisaidia vipi org/comp. Huwenda wamepoteza kitu kikubwa sana katika ustawi wa org yao kwa kukutosa kuliko ambacho umekikosa wewe. Hiyo org ni ya kipuuzi dogo achana nayo maana HR reflects who are they, kuna ofisi utakuwa unajifungia chooni unalia peke yako.
 
pole sana kaka mungu atakujalia utapata kwingine, lakini km unaweza weka hiyo namba hapa jf mm nimejitolea nitaipiga na kuifuatilia, haiwezekani kijana mwenzetu unakosa haki kwa upuuzi wa mtu mmoja, haiwezekani kampuni ikawa na utaratibu wa hv ila ni utashi waa huyu HR binafsi.
 
hajakutendea haki lakini yeye ndio kashika mpini ...Mungu atakusaidia upate sehemu nyingine
 
Kama hiyo Institute ina HR wa hivyo basi haifai kwani alivyokutendea ndio image ya Institute yenyewe, au ni kampuni ya wahindi? endelea kutafuta taratibu

Tena bora amekosa,ukiajiriwa na watu kama hao unaweza ukachafuliwa CV ikakuchukua miaka kuirekebisha.
 
sure kabisa,,hata mm keshawahi nizingua,yule HR wa Erolink is much Ridiculous..
 
pole mwaya ila jitahidi cm uwe nayo karibu hata jifunge nayo shingoni na kamba! lkn uwe nayo...la cvyo mhh! c unaona mambo yenyewe yanavyokuwa kuwa!

du wanawake nao. wana comment kwa hurumaaaaaaaaa. eti pole mwaya hahahhaaaaaaaaaaa
 
p0le sn mzee hy0 hr mzush na huend hy0 ni kampuni hewa 2, mwmbe Mung atakupatia nafas nyngne smwhre huwez kjua..
 
sasa mimi na wewe taahira nani?simu ya mkononi badala ya kutembea nayo unaweka juu ya mafiga unakaa unakunywa ulanzi...nani akupe kazi ..kaa lima mjini mnakuja kutujazia foleni tu hapa

Mungu hachezewi Kigogo. Kuna siku atachukua hicho ulicho nacho na kumpa huyo uliyemkebehi.
 
Dah bongo kwel kazi!.
 
Wakuu mimi niliwahi kuomba kazi pale TBL nilimkuta dada mmoja alichonijibu kilinifanya hata brand zao sizipendi. Nilipowauliza wenyeji wakaniambia kuwa alikuwa na stress za harusi yake. Alinijibu as if I was interfering her marriage. Nilijisikia vibaya nikatoka zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…