HT: BRAZIL 1 - 0 ARGENTINA

HT: BRAZIL 1 - 0 ARGENTINA

Brazil kwa sasa ina kikosi kizuri, ukiangalia kikosi kinachoanza na wale walio sub tofauti ya viwango ni ndogo.
Mfano;
Alison vs Ederson
Casemiro vs Fernandinho
Everton vs Willian
Marquinhos vs Miranda
G. Jesus vs Richarlison
Hapo bado kina David Neres, Filipe Luis, Allan n.k
Pia kwa sasa wamefanikiwa kuwa na chemistry nzuri, wanacheza kama timu.
Nachoshukuru Mungu ni yule boya neymar kuumia
 
Nilichofurahi ni kupunguza over dependence kwa Neymar

Mkuu sikuzote injury ya Neynar ndiyo mafanikio ya Brazil...

Jamaa akiwa fit ni lazima acheze ambapo Firmino au Jesus mmoja wapo lazima aanzie Bench jambo linalopelekea Meymar kuishia kujiangusha huku mipira yote yakielekezwa kwake na timu kukosa ushindi.
 
Brazil wa kawaida sana Atmosphere ya mashabiki na Home advantage inawabeba sana Labda CHILE atolewe na PERU vinginevyo kwa mpira huu Brazil hamfungi Chile.
Kwani hiyo ya chile hawatachezea home?
 
Hahahahahahahahah watachezea Kwenu sebuleni
Nimeuliza tu nijue home advantage inakuaje kwa argentina tu na sio kwa chile mimi nadhani wameshinda kwa uwezo na hata wakipoteza kwa chile ni kwa uwezo pia haijalishi watashangiliwa vipi
 
Tatizo ni politics nyingi kwenye team selection. Kwa mfano kina kipindi Tevez alikuaga juu lakini haitwi, badala yake alikuaga anaitwa Higuain ambaye efficiency yake ilikua next to bashite (0)!
Sasa hivi kocha anajaribu kuwapa nafasi vijana lakini hii sio gemu ya majaribio!
👍
 
Ball Possession anaongoza Chile lakini kipigo anapigwa yeye,kweli mpira magoli aiseee.
 
Back
Top Bottom