Htimaye waasi wa M23 waamua kuondoka

Htimaye waasi wa M23 waamua kuondoka

Waasi wa m23 wameanua kuondoka maeneo ya richuru uko goma kwa kile kinachodaiwa kwamba ni kuiheshimu jumuia ya nchi za Afrika mashariki, lkn Mimi sioni km hilo litatekelezwa kwa muda mrefu na m23.
Report ya UN inambana mfadhili wao hivyo wameamua kukubali yaishe
 
Back
Top Bottom