https://www.the-star.co.ke/news/2014/12/05/al-shabaab-claim-they-shot-down-kenyan-military-plane-rebels-say-pilot_c1049048

https://www.the-star.co.ke/news/2014/12/05/al-shabaab-claim-they-shot-down-kenyan-military-plane-rebels-say-pilot_c1049048

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Hivi Alshabab Sana SAM?, iweje walifanikiwa kuidungua ndege ya kivita kwa kutumia AK47?.
 
Ni zile cobras ama zile za Jordan?
Hii ni zike F-5, uti wa mgongo wa jeshi la anga la KDF, zilikua 6, moja ndio hiyo Alshabab wameitungua na rumani alishindwa hata kutoka, inasemekana kiti kiligoma kujifungua kutokana na kutu, RIP rubani.
 
Alshabab ISIS main supporter and official spokesperson
Tuliza mshono, tunawasaidia ili serikali yenu inunue vifaa vipya vizuri kuokoa maisha ya wakenya, muache kuagiza used weapons, ona sasa Alshabab hawana SAM, iweje waweze kuangusha ndege ya kivita na kumuua rubani?
 
Back
Top Bottom