Hu ndo upimaji wa uelewa kwa wanafunzi wa chuo kikuu

Hu ndo upimaji wa uelewa kwa wanafunzi wa chuo kikuu

kwa mtazamo wangu
Elimu ya chuo kikubwa ni kumpa mwanachuo outline itakayomfanya asome/atafiti na kuwa na upeo mkubwa zaidi hata kuliko kile alichofundishwa. Na ndio maana ukifuatilia ugunduzi mwingi mkuwa duniani hutokea kwenye vyuo vikubwa na hutokea zaidi kwa wana vyuo kuliko lectures.
Huu mfumo wetu tulio zoea wakufundishwa kama sekondari, ndio unapelekea wanavyuo wengi wakitoka wote wanafikiria kuajiriwa...wkati ajira zenyewe ni chache
Niliwahi kushuhudia kwenye Chuo kimoja kikubwa cha private (jina nalihifadhi), lecturer maarufu anayesifika, anafundisha somo la mazingira; zaidi ya robo ya muda anaelezea kwa kiswahili....kama form one; niliogopa sana
 
aha ni kweli ,mimi nishawahi muuliza lecturer mmoja kwanini wanafanya vile,akaniambia ''umefundishwa sana tangu secondary so huku tunafundisha jinsi ya kujitegemea kwenye mazingira magumu''.lakini malecturer wengine too much,mfano kuna malecturer wanaweza piga topic 3 kwa lecture moja/two up to three hours na imeshawahi ntokea ni kawaida.pia lecturing is not about teaching as secondary level.
 
I never had difficulties in my studies BUT siipendi system ya elimu ya kbongo
 
Sijui kama unayajua madhara ya hicho ukizungumzacho au la!

tatizo la watanzania "NI WAVIVU XANA WA KUSOMA VITABU NA KUFANYA DISCUSSION" nyie mnatakia kila kitu mpewe na lecturer...hamtaki kuishughulisha akili yenu kabsa katika kutafuta ujuz zaid wa kitu...acheni uvivu..ingieni librabry na kwenye mitandao msome zaidi
 
Back
Top Bottom