NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Ndiohuawei ni ya mchina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiohuawei ni ya mchina?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mate 60? Your favorite phone?
Bado iPhone ataendelea kuwa simu nzuri kwa wapenda vitu makini, sijatokea kupenda product za wachina. Ingawa kuwa baadhi ya bidhaa wanajitaidi piaJamaa walikuwa wanakuja kwa kasi ya kutisha, simu za huawei ni nzuri sana
Huawei anatumia HarmonyOS kwa matoleo yake ya miaka ya karibuni.Kama anatumia os ya android bado ni mtumwa tu wa Usa.
Harmony os ipo limited kwa china mzee , ukitoka china simu itakosa support.Huawei anatumia HarmonyOS kwa matoleo yake ya miaka ya karibuni.
Hata mimi niliwahi kutumia huawei ilikaa miaka kadhaa na haikuwahi kuleta shidaNilitumia huawei kwa miaka minne na simu haikuwahai misbehave wala kustuck, jamaa wanajua
Kwa hiyo ukitumia Huawei yenye OS yake ndio unakuwa beberu au vipi kiongozi?Kama anatumia os ya android bado ni mtumwa tu wa Usa.
Huwawei yenye Harmony os haiwezi officially kuja kwetu huku kwa sie wamatumbi .Kwa hiyo ukitumia Huawei yenye OS yake ndio unakuwa beberu au vipi kiongozi?
Umewahi tumia hiyo simu imetoka majuzi tu ?Kwasasa hiyo simu labda inaweza ikawa ni nzuri kwa wachina wenyewe. Lakini kwa nchi zingine hiyo simu msishoboke nayo kukununua. kwa sababu hiyo simu bado ina tatizo.
Kwa sababu huawei baada kuziiwa na google kutumia system ya android walikuja na system yao inaitwa harmonyos sasa hiyo system inapungufu mengi sana.
Kwanza hiyo simu hauwezi kudownload vitu vingi na hata vile unavyo vidownload baada ya miezi mitatu vinafutika.
Simu ndo kwanza inatambulishwa sokoni, we hivo vitu ulivyo download baadae vikafutika iliwezekanaje?Kwasasa hiyo simu labda inaweza ikawa ni nzuri kwa wachina wenyewe. Lakini kwa nchi zingine hiyo simu msishoboke nayo kukununua. kwa sababu hiyo simu bado ina tatizo.
Kwa sababu huawei baada kuziiwa na google kutumia system ya android walikuja na system yao inaitwa harmonyos sasa hiyo system inapungufu mengi sana.
Kwanza hiyo simu hauwezi kudownload vitu vingi na hata vile unavyo vidownload baada ya miezi mitatu vinafutika.
Vipi ustadhi mbona unakuwa mkali sana sasa je kama ungekuwa Iran si ndio ungenila kabisa jambia..!!😂😂Baki na ushamba wako ila mwaka utakapoijua Huawei Inayoshindana na iPhone hutokata tena kusikia habari za iPhone, mpaka mmarekani analia lia halafu we unaleta dharau!!
Mmarekani kuna kipindi altilia fitna yule mwanamama mkurugenzi wa huawei kwenye 5G.Sasa mchina kaja tena na huawei yake.
Os anayotumia Ni HarmonyKama anatumia os ya android bado ni mtumwa tu wa Usa.