Hubby Asprin I love you today, tomorrow and always

Hubby Asprin I love you today, tomorrow and always

kila nikiangalia roho yaniuma kipenzi changu sikuoni huyu mzee anatamba tu
mic u
Nimekumiss mpenzi, majukumu yananibana baba. Nikirudi nawe utatamba tu.
 
Mm kuna mtu mwingine akiniambia ananipenda natamani hata nijue maana kuna Dada mzuri alinipendaga arusha alikuwa anafanya kazi ngurudoto alikuwa ananiletea mazawadi ya whisky na pombe za kila aina mpaka navyo kuambia Leo hii kaniacha mlevi mbwa nisiye na maendeleo wakati kijana wa watu ckuwa hata najua pombe kwa hiyo hata huyo Aspirini cjui panado hata cmuonei wivu wacha apendwe tu tatizo c kupendwa huyo mtu anaye kupenda ndo balaaa ata acha janga la kula na wakwao
kuna ka wivu flani ivi bwanaaaa
 
Back
Top Bottom