brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Hapo sasa au kujishtukia??Kwani huda na diamond walikuwa wanatakana?
Haya ndio unayoyaweza sasaMara baada ya Zarina mwana wa Hassan kupost ujumbe wenye utata kuhusu watu wanaomnyatia nyatia poozo lake la moyo Chibu dangote ambao ujumbe huo kwa namna nyingine ulionekana kumgusa Huddah Monroe kwa kuwa Huddah ana tabia hizo za kunyatia wapenzi wa wanawake wenzake
Huddah naye hakutaka hili lipite hivi hivi aliamua kumkashifu Zari kwa kuandika katika ukurasa wake wa instagram kuwa yeye hana muda wa kugombana na watu ambao wana umri sawa na mama yake kwenye mitandao ya kijamii, bali yeye yupo busy na biashara zake zinazomuingizia kipato
View attachment 397810
View attachment 397811
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,mkuu bado una kumbu kumbu za ubishani wa juzi wa boxing tu??Haya ndio unayoyaweza sasa
hahahaa apigwe stop madale kwenye mbu kibao wakati mtu anakalia villa za kufa mtu south.zari ana madharau sana ,sikuwa namfuatilia zari au wema ila huyu dada ana madharau sana ndo maana hata mama diamond kamshindwa. birthday za watu watandale hata kuwawish hakuna .kapigwa stop madale chezea mama mond wewe
She is an International prostitute from kenya also a drug userWho is Huda!???
Kwa kipi?Hudaa ni mkaree