Hudama Ya ZAP - Airtel

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Hii huduma ni nzuri sana lakini imekuwa na mapungufu katika kipengere cha kutaka kujua akaunti yako ya benki ina kiasi gani cha fedha kupitia simu yako pamoja na mengine kadhaa. Je kuna tatizo gani na kwa nini hii huduma haitendeki na inamkataza mtumiaji kuitumia kwa kumuambia kuwa haruhusiwi kuitumia hiyo huduma na kama kuna mapungufu kwa nini yasirekebishwe na kuweza kuitumia hii huduma ? Hii ni sambamba na huduma ya kutoa fedha kwenye akaunti ya benki yako na kuipeleka kwenye akaunti yako au ya mwingine ya ZAP pindi unapokuwa mbali na Benki na ungali una shida muhimu badala ya kufika benki. Kama ina matatizo yarekebishwe na kwa hakika kama itajitokeza kampuni yenye kutoa huduma hii na pasiwe na mapungufu wala wizi wengi wataamia huko na kuwaacha hao Airtel na basi lao Jekundu
 
Hivi hiyo huduma bado ipo kweli??
Nadhani hawapo nayo serious sana, maana hata kutangaza hawatangazi saiv wanataka kwanza tupande basi lao jekundu tu (mjadala mwingine huu)
Akaunti ya M-pesa inanisaidia sana kwa dharura....
Japo ukweli mitandao yetu ya simu bado inarespond taratibu sana na technolojia ya dunia, kwa mda huu ilitakiwa simu iwe zaidi ya kupiga na kusms tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…