Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Socialite wa kenya Hudda Monroe amesema anamsubiria kwa hamu Raymond wa WCB akipata hela, hiyo ni baada ya Raymond kupost picha mtandaoni kuuliza mashabiki ni nini kinachomsibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanaamini wakizaa wataharibu ujana.Amsubiri tu wadada wa bongo wazembe sana kukamatia fursa wana bana vizazi vyao wee mpaka mayai yanakua viza ngoja waganda wamchukue harmonise wolper aanze kulia wakisha chukuliwa ndio wanaanza ku compete mda huo wenzao washafanyiwa vya maana na mijengo ya haja kama zari
97% ya wanawake wanauza,tofauti ni sehemu wanapojiuzia.ama kweli mjini mipango.kwa hiyo anaudhihirisha uma kuwa anauza eeeh