Huddah Monroe: Sinuki sehemu za siri, sivai nguo za ndani

Huddah Monroe: Sinuki sehemu za siri, sivai nguo za ndani


Mrembo kutokea nchini Kenya na mpenzi mpya wa msanii wa BongoFleva Jux amesema kuwa yeye havai chupi kwasababu sehemu zake za Siri hazinuki.Chupi ni kwa ajili ya watu wanaonuka tupu zao!

"Sivai nguo za ndani. Sina yeyote ile, nguo za ndani ni kwa ajili ya watu wanaonuka sehemu za siri"_Huddah Monroe

Je,yuko sahihi?
Sababu siyo kutonuka, bali huyo ni wa chapu chapu. Ukikutananaye, anapandisha tu huo wavu (maana siyo nguo) mtu anajisevia.

Halafu jamaa anaona kapaaaaata!!! Mwambieni Jux kuwa huo ni mtihani.[emoji848][emoji15][emoji3525]
 
Sababu siyo kutonuka, bali huyo ni wa chapu chapu. Ukikutananaye, anapandisha tu huo wavu (maana siyo nguo) mtu anajisevia.

Halafu jamaa anaona kapaaaaata!!! Mwambieni Jux kuwa huo ni mtihani.[emoji848][emoji15][emoji3525]
Si mtihani ni changamoto..[emoji23]
 
Naona yuko na hater wa mke mwenza, Dunia tamu hii lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jux anafeli sana. Anashindwa kutumia title yake aibuke na kazi ya maana isiyo na jina mjini halafu awake nayo?!

Huddah ni prostitute na ameshakitembeza sana. Sasa yeye anatengeneza mahusiano na demu ambaye ameshaliwa na kila mtu na yeye anaweka wazi kabisa kuwa ni mdangaji na slayqueen.

Jux should grow up bwana.
Watu wenye majina ya Juma wanakuwaga hivyo 😄😄😄 wala usishangae.
 

Mrembo kutokea nchini Kenya na mpenzi mpya wa msanii wa BongoFleva Jux amesema kuwa yeye havai chupi kwasababu sehemu zake za Siri hazinuki.Chupi ni kwa ajili ya watu wanaonuka tupu zao!

"Sivai nguo za ndani. Sina yeyote ile, nguo za ndani ni kwa ajili ya watu wanaonuka sehemu za siri"_Huddah Monroe

Je,yuko sahihi?
Huwa tunaanika samaki wenye harufu kali ili waweze kukauka na harufu kupepewa na upepo
 
Sababu siyo kutonuka, bali huyo ni wa chapu chapu. Ukikutananaye, anapandisha tu huo wavu (maana siyo nguo) mtu anajisevia.

Halafu jamaa anaona kapaaaaata!!! Mwambieni Jux kuwa huo ni mtihani.[emoji848][emoji15][emoji3525]
Chapu chapu?? Hahaha nina uhakika hata kukusalimia hatakusalimia, jipe moyo tuu
 
Jux anafeli sana. Anashindwa kutumia title yake aibuke na kazi ya maana isiyo na jina mjini halafu awake nayo?!

Huddah ni prostitute na ameshakitembeza sana. Sasa yeye anatengeneza mahusiano na demu ambaye ameshaliwa na kila mtu na yeye anaweka wazi kabisa kuwa ni mdangaji na slayqueen.

Jux should grow up bwana.
Mmh! Kwani ni wapenzi kweli hawa? Nahisi ni makiki yao kama kawaida ya mastaa wa bongo ila kama ni kweli wana mahusiano bas Jux kazingua, toka Vanessa hadi Huddah ni gape moja kubwa sana.
 
Back
Top Bottom