Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,753
Kwa wadau wote wa kilimo na ufugaji,
muda wa kupata maarifa mapya ni huu mpaka tarehe 8/8.
Tuepuke kufanya ufugaji na kilimo cha mazoea. Ukihudhuria maonesho haya utajifunza mengi kitaalam kati ya haya
Mbegu bora, nafaka, spices, matunda kama strawberry etc
Namna ya kuhudumia shamba na mifugo
Namna ya kukabiliana na changamoto
Masoko
Teknologia
Utaona mifugo bora kabisa na connection ya kuinunua iwapo utahitaji mfano ng'ombe, mbuzi, nguruwe, kuku, mbwa, bata etc
Utapunguza kuwa muhanga wa kuuliza maswali mepesi sana JF.
Itakupa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya nini cha kufuga au kulima
Itakupa ujasiri wa kufanya kivitendo
Kukubadili kimtazamo
Nashauri ukifika kwenye maonesho haya uwe na lengo la kujifunza kwa kina kwa kuuliza chochote kile, usiende kutalii tuu, angalau masaa 5 kila siku kwa siku 4 utajifunza kitu. Kuna mengi sana mazuri huku.
Usione gharama za usafiri, malazi na chakula kama kikwazo. Faida ni kubwa sana usingoje mwakani.. too far, nenda sasa uanze kujipanga taratibu kufikia malengo yako.
Kwangu mimi nilipenda sana maonesho ya mwaka jana ya kanda ya kaskazini Arusha-njiro. Mwaka huu nitakuwa southern highlands mbeya.
muda wa kupata maarifa mapya ni huu mpaka tarehe 8/8.
Tuepuke kufanya ufugaji na kilimo cha mazoea. Ukihudhuria maonesho haya utajifunza mengi kitaalam kati ya haya
Mbegu bora, nafaka, spices, matunda kama strawberry etc
Namna ya kuhudumia shamba na mifugo
Namna ya kukabiliana na changamoto
Masoko
Teknologia
Utaona mifugo bora kabisa na connection ya kuinunua iwapo utahitaji mfano ng'ombe, mbuzi, nguruwe, kuku, mbwa, bata etc
Utapunguza kuwa muhanga wa kuuliza maswali mepesi sana JF.
Itakupa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya nini cha kufuga au kulima
Itakupa ujasiri wa kufanya kivitendo
Kukubadili kimtazamo
Nashauri ukifika kwenye maonesho haya uwe na lengo la kujifunza kwa kina kwa kuuliza chochote kile, usiende kutalii tuu, angalau masaa 5 kila siku kwa siku 4 utajifunza kitu. Kuna mengi sana mazuri huku.
Usione gharama za usafiri, malazi na chakula kama kikwazo. Faida ni kubwa sana usingoje mwakani.. too far, nenda sasa uanze kujipanga taratibu kufikia malengo yako.
Kwangu mimi nilipenda sana maonesho ya mwaka jana ya kanda ya kaskazini Arusha-njiro. Mwaka huu nitakuwa southern highlands mbeya.