Ndugu wanajamvi
Napenda kuwasilisha hali ninayoiona hapa airport kwa kweli si nzuri,
Huduma Za matangazo si nzuri-Spika Za matangazo hazitoi Sauti,hata ndege ilichelewa au kutua huwezi kusikia vizuri,no
Buoy ni vichafu,hakuna vitendendea kazi,sabuni hakuna nk
Viti vya kupumzikia hakuna vya kutosha ,abiria wengine hawapati mahali pa kukaa wakati wanasubiria ndege
Matoroli karibu yote ya kubebea mabegi na ya kubebea wasiojiweza ni mabovu
Parking Za magari hazitoshi na kuna usumbufu mkubwa toka kwa security walioko kwenye parking.
Baadhi ya maeneo kwa usalama si mazuri (Seft)naamini kuna siku mtu atabunjika mguu hapa au kukatwa na bati
Wi-Fi Hakuna ya uhakika .
Kwa upande wa customer service toka kwa wahudumu na wafanyakazi wa uwanja ni poor/mbaya naona wageni wanauliza hata majibu wanayopata ni mabovu-Passenger are given orders here and not services.
Naomba mamlaka ya viwanja vya ndege waache kupoteza muda washughulikie Haya mambo haraka ni aibu sana kuita kiwanja hiki chenye heahima ya mwasisi wa Taifa hili International Airport kwa hali hii mbaya ya huduma na vitendea kazi.
Nawasilisha
Napenda kuwasilisha hali ninayoiona hapa airport kwa kweli si nzuri,
Huduma Za matangazo si nzuri-Spika Za matangazo hazitoi Sauti,hata ndege ilichelewa au kutua huwezi kusikia vizuri,no
Buoy ni vichafu,hakuna vitendendea kazi,sabuni hakuna nk
Viti vya kupumzikia hakuna vya kutosha ,abiria wengine hawapati mahali pa kukaa wakati wanasubiria ndege
Matoroli karibu yote ya kubebea mabegi na ya kubebea wasiojiweza ni mabovu
Parking Za magari hazitoshi na kuna usumbufu mkubwa toka kwa security walioko kwenye parking.
Baadhi ya maeneo kwa usalama si mazuri (Seft)naamini kuna siku mtu atabunjika mguu hapa au kukatwa na bati
Wi-Fi Hakuna ya uhakika .
Kwa upande wa customer service toka kwa wahudumu na wafanyakazi wa uwanja ni poor/mbaya naona wageni wanauliza hata majibu wanayopata ni mabovu-Passenger are given orders here and not services.
Naomba mamlaka ya viwanja vya ndege waache kupoteza muda washughulikie Haya mambo haraka ni aibu sana kuita kiwanja hiki chenye heahima ya mwasisi wa Taifa hili International Airport kwa hali hii mbaya ya huduma na vitendea kazi.
Nawasilisha