Wakuu habari za usiku,
Natumai nyote mko salama.
Naomba kushare uzoefu mbaya nilioupata katika moja ya mabasi ya Alys Star yanayofanya safari za Mwanza - Dar.
Katika harakati za kutafuta mkate nikitokea pande za kanda maalum kurudi Daslam kupitia Mwanza usafiri ulikua shida kidogo mabasi yalikua yamejaa mapema katika kuhangaika nikapata Alys Star ya mchana saa 9;00 katika safari yangu nimeona vifuatavyo kama kero kwa wasafiri ndani ya hilo basi
1. Rough Drivers
Gari ilikua inaendeshwa bila kuzingatia ubora wa barabara eneo husika kupelekea mizigo ya abiria kwenye carrier kuanguka hovyo ndani ya basi pia kona zonakunjwa kama tunakimbizwa
2. Mziki mkubwa usiku wa manane
Saa nane usiku mziki mkubwa ni mwendo wa bongo flavour + old school za mbele huu ni muda ambao abiria tunahitaji japo kupumzika bila kujali baadhi ya abiria wamekaa karibu na spika na pale walipotaarifiwa hakuna aliyesikilizwa this is unacceptable
3. Tunatembea na takataka kwenye gari zaidi ya mikoa mitatu na tunasimama vituo mbalimbali kwa ajili ya kuchimba dawa pia dustbins kubwa zinazuia movement ya watu kuingia na kutoka.
Pamoja na hayo yote gari ina wahudumu wanne hawa wako serious kweli + kusimamisha abiria kama daladala corridor yote watu wamesimama.
Mambo ni mengi hayo machache kwa leo.
Natumai nyote mko salama.
Naomba kushare uzoefu mbaya nilioupata katika moja ya mabasi ya Alys Star yanayofanya safari za Mwanza - Dar.
Katika harakati za kutafuta mkate nikitokea pande za kanda maalum kurudi Daslam kupitia Mwanza usafiri ulikua shida kidogo mabasi yalikua yamejaa mapema katika kuhangaika nikapata Alys Star ya mchana saa 9;00 katika safari yangu nimeona vifuatavyo kama kero kwa wasafiri ndani ya hilo basi
1. Rough Drivers
Gari ilikua inaendeshwa bila kuzingatia ubora wa barabara eneo husika kupelekea mizigo ya abiria kwenye carrier kuanguka hovyo ndani ya basi pia kona zonakunjwa kama tunakimbizwa
2. Mziki mkubwa usiku wa manane
Saa nane usiku mziki mkubwa ni mwendo wa bongo flavour + old school za mbele huu ni muda ambao abiria tunahitaji japo kupumzika bila kujali baadhi ya abiria wamekaa karibu na spika na pale walipotaarifiwa hakuna aliyesikilizwa this is unacceptable
3. Tunatembea na takataka kwenye gari zaidi ya mikoa mitatu na tunasimama vituo mbalimbali kwa ajili ya kuchimba dawa pia dustbins kubwa zinazuia movement ya watu kuingia na kutoka.
Pamoja na hayo yote gari ina wahudumu wanne hawa wako serious kweli + kusimamisha abiria kama daladala corridor yote watu wamesimama.
Mambo ni mengi hayo machache kwa leo.