KERO Huduma mbovu kwa wateja stesheni ya SGR Dar es Salaam

KERO Huduma mbovu kwa wateja stesheni ya SGR Dar es Salaam

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Well and good tunashukuru Serikali kwa kuanzisha huduma hii hakika inaleta unafuu na kukuza uchumi wetu as well kuipa sifa nchi yetu.

Ingawa kuna changamoto kidogo ya baadhi ya wahudumu kutokua na customer care nzuri, just imagine mtu unashida ya kuextend au kucancel safari mhudumu anakujibu majibu mawili anakaa kimya. Hapo wewe mpaka umbembeleze kwelikweli ndio akurefer kwa mwingine yaani kama hataki kukuhudumia.

Lakini pia kuna wakati foleni ni kubwa some ticketing office hazina watoa huduma so it's bit complicated hakuna flow nzuri ya utaratibu. I'm just curious hii ni mwanzo hivi how about 10 year ahead?
 
Na ku extend au ku cancel safari? Ticket yapaswa kuwa na terms/conditions za ku cancel/extend Ticket na uweze kufanya online kama tiketi za ndege. Tiketi ziko plain tu hazina masharti na vigezo vyovyote.

Nadhani ndio inawezekana online
 
Well and good tunashukuru Serikali kwa kuanzisha huduma hii hakika inaleta unafuu na kukuza uchumi wetu as well kuipa sifa nchi yetu.

Ingawa kuna changamoto kidogo ya baadhi ya wahudumu kutokua na customer care nzuri, just imagine mtu unashida ya kuextend au kucancel safari mhudumu anakujibu majibu mawili anakaa kimya. Hapo wewe mpaka umbembeleze kwelikweli ndio akurefer kwa mwingine yaani kama hataki kukuhudumia.

Lakini pia kuna wakati foleni ni kubwa some ticketing office hazina watoa huduma so it's bit complicated hakuna flow nzuri ya utaratibu. I'm just curious hii ni mwanzo hivi how about 10 year ahead?
Tatizo wanaajiri majitu ambayo ni unmotivated
 
Ukienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!

Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!

Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
 
Ukienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!

Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!

Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
Ukitumia online sio lazima uende dirishani, Mimi nilitumiwa tiketi yangu kwenye email baada ya kukata tiketi online nikafika mpaka kwenye final intrace nikamuonesha nikapanda treni.
 
Mifumo ya ajira kwenye nchi yetu ni mibovu sana watu wenye uwezo mdogo ndio watumishi wa UMA itatuchukua miaka mingi kuweza kuondokana na kazi za mazoea katika utumishi hali iliopo SGR ndio iliopo TRA ndio iliopo NSSF ndio iliopo kwenye hospitali zote za UMA yapo mashirika baadhi kiukweli yanajitahidi katika kuhudumia mteja naweza kusema Bodi ya utarii Tanzania wako vizuri wakifatiwa na TANESCO
 
Mimi nilitumiwa tiketi yangu kwenye email
Samahani, uliprint mwenyewe?? Ikipendeza elezea mchakato mzima. Mimi nilipata code ya malipo then huo mchakato wa malipo hapo dirishani mpaka aprint hatari!

Ok, siku hiyo walisema mtandao mbovu.Au kuna mabadiliko yalifanyika?? Coz ni mwezi sasa.
 
Ukiingia kwenye mfumo wa tiketi hakikisha unajaza information zote zinazoitajika ikiwemo na email, utachangua siti zilizowazi then wanakupa control number unalipia. Ticket inakuja mojamoja kwenye email yako kwenye mfumo wa softcopy hakuna haja ya kuprint ukifika pale washa simu yako muoneshe ticket msimamizi unaingia kwenye treni hakuna kupanga foleni.
 
Ukiingia kwenye mfumo wa tiketi hakikisha unajaza information zote zinazoitajika ikiwemo na email, utachangua siti zilizowazi then wanakupa control number unalipia. Ticket inakuja mojamoja kwenye email yako kwenye mfumo wa softcopy hakuna haja ya kuprint ukifika pale washa simu yako muoneshe ticket msimamizi unaingia kwenye treni hakuna kupanga foleni.
Ikiwa online ni rahisi...lakini kwakuwa sio wote wanaotumia mtandao kukata ticket, shida ndipo inapoanzia...

Umekata ticket dirishani pengine siku 4 kabla, ticket ziko kwenye wallet, ama umedondosha au wamepita nayo hiyo wallet, huna tena ticket ila unayo ile control number.

Unampa CN mhudumu wa pale dirishani, anakuambia "hii inaonesha imeshaprintiwa, mfumo hauruhusu kudupliketi".
  • Kwahiyo nafanyaje? Nenda kalete Loss report!
  • Control number ni hiyo hapo, ukiingiza kwenye mfumo unapata details gani?
  • Hata kama, nitathibitishaje? Kitambulisho hiko hapo, nimekuonesha msg kutoka kwenye simu yangu, mimi mwenyewe ndo huyo kwenye kitambulisho, nataka kusafiri, loss report ya nini?

Kagoma kuendelea kuongea, anaita wengine.
- Nasubiri watu wanaingia kwa ku-rush, namuonesha jamaa wa ku-scan msg na kitambulisho, ananiruhusu kuingia.

By the way, lock za milango ya choo, tayari zimeshachomolewa, ikifika Dec 2024, AC zitakuwa mbovu....mpaka watu warudi kwenye mabasi!
 
Watu wengi wanakimbilia kulaumu wafanya kazi kuwa wameajiriwa kwa kujuana,hawana uwezo e.t.c.Lakini mmeshajisumbua kufuatilia taasisi zinazoaminika kuwa na customer care nzuri kama aviation industry na mabank?.Hivi mnadhani hzo taasisi huwa wanaajiri watu wenye self motive kuliko taasisi za serikali?.Jibu ni hapana,unaweza kuwachukua wafanyakazi wa hzo taasisi zinazosifika kwa huduma nzuri ukawaepeleka wote kwenye hizi taasisi zinazolalamikiwa na huduma ikawa vilevile mbovu.Tatizo kubwa ni mchakato wa ajira unaotumiwa kummould mfanyakazi wao mpya mpaka wanapoamua kumpa ajira,Anakuwa ameshapewa training ya kutosha na anajua kipaumbele cha mwajiri wake ni nini.Pia mfumo wa utuoaji huduma lazima uwe rafiki,usitegemee mfanyakazi mmoja pekee yuko kwenye dirisha kajaliwa na utitiri wa watu,huyohuyo aulizwe maswali na huyohuyo mtegemee awape huduma kwa ufanisi.Serikali ijifunze wenzetu wanafanyaje? haya mambo hatujaanza nayo sisi.
 
Samahani, uliprint mwenyewe?? Ikipendeza elezea mchakato mzima. Mimi nilipata code ya malipo then huo mchakato wa malipo hapo dirishani mpaka aprint hatari!

Ok, siku hiyo walisema mtandao mbovu.Au kuna mabadiliko yalifanyika?? Coz ni mwezi sasa.
Tiketi unatumiwa kwenye e mail. Tiketi ina barcode ambayo unascan pale sehemu ya kuingia waiting area kabla ya kusfiri. Huna haja ya ku print tena.
 
Back
Top Bottom