KERO Huduma mbovu kwa wateja stesheni ya SGR Dar es Salaam

KERO Huduma mbovu kwa wateja stesheni ya SGR Dar es Salaam

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Na ku extend au ku cancel safari? Ticket yapaswa kuwa na terms/conditions za ku cancel/extend Ticket na uweze kufanya online kama tiketi za ndege. Tiketi ziko plain tu hazina masharti na vigezo vyovyote.
Tiketi hii haina terms wala condition, ukinunua haibadilishwi wala hairudi. Haiwezi kuwa kama ya ndege au bus. Ukiona haiko sawa panda bus au ndege. Option ni nyingi.
 
Mnatamani sana huu mradi ufe, mnapata faida gani ukifa?
Rrondo hatutamani kabisa ufe ila dalili zimeanza kuonekana kabisa hata mimi nilisafiri tu lisije kufa sijapanda na niliyoyaona nilijipongeza kwa kuwahi kulipanda kama kuna mambo yakiendelea vile hata wewe kama hujalipanda kawahi mapemaa usije kusimuliwa.
 
Rrondo hatutamani kabisa ufe ila dalili zimeanza kuonekana kabisa hata mimi nilisafiri tu lisije kufa sijapanda na niliyoyaona nilijipongeza kwa kuwahi kulipanda kama kuna mambo yakiendelea vile hata wewe kama hujalipanda kawahi mapemaa usije kusimuliwa.
Dalili gani mmeziona wenzetu?
 
Nilivyokuelewa maana yake utatumia simu, vipi aliyetumiwa kwenye kompyuta?? Nahisi lazima aprint au inakuwaje??
Inatumwa kwenye e mail ambayo kwenye simu pia e mail zipo. Usije kuniambia huna smartphone kwasababu dunia ya leo maisha ni rahisi kutumia smartphone. Tiketi imetumwa kwenye e mail sio computer.
 
Mifumo ya ajira kwenye nchi yetu ni mibovu sana watu wenye uwezo mdogo ndio watumishi wa UMA itatuchukua miaka mingi kuweza kuondokana na kazi za mazoea katika utumishi hali iliopo SGR ndio iliopo TRA ndio iliopo NSSF ndio iliopo kwenye hospitali zote za UMA yapo mashirika baadhi kiukweli yanajitahidi katika kuhudumia mteja naweza kusema Bodi ya utarii Tanzania wako vizuri wakifatiwa na TANESCO
Tanesco hawa hawa au kuna wengine ?
Hawa unajaza form ya kuunganishwa umeme miezi mitatu inapita
Hawa hamna kitu ,nakataa
 
Yaani hizi.huduma kama mwendokasi, sgr ziendeshwe na sekta binafsi, miundombinu ibaki kuwa ya serikali, nafikiri ikiwa hivyo mambo yatakuwa safi
 
Ukienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!

Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!

Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
Ukikata mtandaoni wakakurushia tiketi katika email yako kuna sehemu ya ku scan.
Unapeleka moja kwa moja pale pa kupitia jamaa anatizama ana scan unapita.
 
Well and good tunashukuru Serikali kwa kuanzisha huduma hii hakika inaleta unafuu na kukuza uchumi wetu as well kuipa sifa nchi yetu.

Ingawa kuna changamoto kidogo ya baadhi ya wahudumu kutokua na customer care nzuri, just imagine mtu unashida ya kuextend au kucancel safari mhudumu anakujibu majibu mawili anakaa kimya. Hapo wewe mpaka umbembeleze kwelikweli ndio akurefer kwa mwingine yaani kama hataki kukuhudumia.

Lakini pia kuna wakati foleni ni kubwa some ticketing office hazina watoa huduma so it's bit complicated hakuna flow nzuri ya utaratibu. I'm just curious hii ni mwanzo hivi how about 10 year ahead?
Muwarekodi..msiporekodi watu watasema majungu...
 
Through my observation ya utendaji kazi hili treni ni kwamba, wahudumu wa treni ya umeme SGR wameajiriwa kwa rushwa ya ngono au undugu au kubebana tu ndio maana utendaji kazi wao ni upuuzi mwingi...
Wana poor customer service kuanzia getini, ofisini mwao hadi ndani ya treni... Sisi WaTz sijui nani katuroga tunaanzisha projects kubwa ila usimamiz sifuri... Nilicho observe ktk hili treni kuna uzembe wa makusudi unafanyika ili wahusika wapige pesa waihujumu serikali...
 
Tiketi hii haina terms wala condition, ukinunua haibadilishwi wala hairudi. Haiwezi kuwa kama ya ndege au bus. Ukiona haiko sawa panda bus au ndege. Option ni nyingi.
Wabongo tujifunze maarifa mapya kuondoa usumbufu usio na msingi. Ukiwa na smartphone unaweza kufanya process zote za sgr mwenyewe, tena kirahisi tu.

Pia mkuu RRONDO sasa hivi unaweza kubadili mwenyewe tarehe ya safari baada ya kukata.
IMG_20240902_175030.jpg
 
Wabongo tujifunze maarifa mapya kuondoa usumbufu usio na msingi. Ukiwa na smartphone unaweza kufanya process zote za sgr mwenyewe, tena kirahisi tu.

Pia mkuu RRONDO sasa hivi unaweza kubadili mwenyewe tarehe ya safari baada ya kukata.
View attachment 3085155
Nawajibu kimkato watu wanaopenda kulialia. Kila kitu kulialia tu kama last born.
 
Ukienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!

Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!

Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
Muwasuse tuendelee kutumia mabasi hadi watakapokuwa siriaz
 
Achananeni nao jaman,,
Through my observation ya utendaji kazi hili treni ni kwamba, wahudumu wa treni ya umeme SGR wameajiriwa kwa rushwa ya ngono au undugu au kubebana tu ndio maana utendaji kazi wao ni upuuzi mwingi...
Wana poor customer service kuanzia getini, ofisini mwao hadi ndani ya treni... Sisi WaTz sijui nani katuroga tunaanzisha projects kubwa ila usimamiz sifuri... Nilicho observe ktk hili treni kuna uzembe wa makusudi unafanyika ili wahusika wapige pesa waihujumu serikali...
 
Back
Top Bottom