Tiketi hii haina terms wala condition, ukinunua haibadilishwi wala hairudi. Haiwezi kuwa kama ya ndege au bus. Ukiona haiko sawa panda bus au ndege. Option ni nyingi.Na ku extend au ku cancel safari? Ticket yapaswa kuwa na terms/conditions za ku cancel/extend Ticket na uweze kufanya online kama tiketi za ndege. Tiketi ziko plain tu hazina masharti na vigezo vyovyote.
Rrondo hatutamani kabisa ufe ila dalili zimeanza kuonekana kabisa hata mimi nilisafiri tu lisije kufa sijapanda na niliyoyaona nilijipongeza kwa kuwahi kulipanda kama kuna mambo yakiendelea vile hata wewe kama hujalipanda kawahi mapemaa usije kusimuliwa.Mnatamani sana huu mradi ufe, mnapata faida gani ukifa?
Nilivyokuelewa maana yake utatumia simu, vipi aliyetumiwa kwenye kompyuta?? Nahisi lazima aprint au inakuwaje??Tiketi ina barcode
Dalili gani mmeziona wenzetu?Rrondo hatutamani kabisa ufe ila dalili zimeanza kuonekana kabisa hata mimi nilisafiri tu lisije kufa sijapanda na niliyoyaona nilijipongeza kwa kuwahi kulipanda kama kuna mambo yakiendelea vile hata wewe kama hujalipanda kawahi mapemaa usije kusimuliwa.
Inatumwa kwenye e mail ambayo kwenye simu pia e mail zipo. Usije kuniambia huna smartphone kwasababu dunia ya leo maisha ni rahisi kutumia smartphone. Tiketi imetumwa kwenye e mail sio computer.Nilivyokuelewa maana yake utatumia simu, vipi aliyetumiwa kwenye kompyuta?? Nahisi lazima aprint au inakuwaje??
Tanesco hawa hawa au kuna wengine ?Mifumo ya ajira kwenye nchi yetu ni mibovu sana watu wenye uwezo mdogo ndio watumishi wa UMA itatuchukua miaka mingi kuweza kuondokana na kazi za mazoea katika utumishi hali iliopo SGR ndio iliopo TRA ndio iliopo NSSF ndio iliopo kwenye hospitali zote za UMA yapo mashirika baadhi kiukweli yanajitahidi katika kuhudumia mteja naweza kusema Bodi ya utarii Tanzania wako vizuri wakifatiwa na TANESCO
🤔🤔🤔 hii aina ya uulizaji hii , any way nenda ukajionee kwa kazi yako hiyo usisubiri kuelezwaDalili gani mmeziona wenzetu?
Nimesafiri nayo mara tatu kwenda na kurudi, sijaona changamoto yoyote ndio maana nauliza.🤔🤔🤔 hii aina ya uulizaji hii , any way nenda ukajionee kwa kazi yako hiyo usisubiri kuelezwa
Ukikata mtandaoni wakakurushia tiketi katika email yako kuna sehemu ya ku scan.Ukienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!
Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!
Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
Muwarekodi..msiporekodi watu watasema majungu...Well and good tunashukuru Serikali kwa kuanzisha huduma hii hakika inaleta unafuu na kukuza uchumi wetu as well kuipa sifa nchi yetu.
Ingawa kuna changamoto kidogo ya baadhi ya wahudumu kutokua na customer care nzuri, just imagine mtu unashida ya kuextend au kucancel safari mhudumu anakujibu majibu mawili anakaa kimya. Hapo wewe mpaka umbembeleze kwelikweli ndio akurefer kwa mwingine yaani kama hataki kukuhudumia.
Lakini pia kuna wakati foleni ni kubwa some ticketing office hazina watoa huduma so it's bit complicated hakuna flow nzuri ya utaratibu. I'm just curious hii ni mwanzo hivi how about 10 year ahead?
Huwezi kukata online kila siku zimejaa sijui mapepo nayo hukata tiketi?Kwann usilipie kwa online Tu?
Wabongo tujifunze maarifa mapya kuondoa usumbufu usio na msingi. Ukiwa na smartphone unaweza kufanya process zote za sgr mwenyewe, tena kirahisi tu.Tiketi hii haina terms wala condition, ukinunua haibadilishwi wala hairudi. Haiwezi kuwa kama ya ndege au bus. Ukiona haiko sawa panda bus au ndege. Option ni nyingi.
Nawajibu kimkato watu wanaopenda kulialia. Kila kitu kulialia tu kama last born.Wabongo tujifunze maarifa mapya kuondoa usumbufu usio na msingi. Ukiwa na smartphone unaweza kufanya process zote za sgr mwenyewe, tena kirahisi tu.
Pia mkuu RRONDO sasa hivi unaweza kubadili mwenyewe tarehe ya safari baada ya kukata.
View attachment 3085155
Muwasuse tuendelee kutumia mabasi hadi watakapokuwa siriazUkienda kukata tiketi ya boti hapo bandarini iwe Azam ama Zanzibar One, ndani ya dakika tatu (maximum) mchakato mzima umekuwa umeisha! Namaanisha ukishatoa hela plus nyaraka pale dirishani!
Nenda ofisi za SGR ukaone mziki wake! Picha linaanza huo muda utakaotumia mpaka ufike dirishani! Ongezea ukishafika dirishani huyo mkata tiketi muda atakao utumia kukuhudumia! Hata ukikata online lazima uende hapo dirishani, utajuta!
Mwendo ni uleule ajira za kujuana! Basi wajue hata kufanya kazi, hamna lolote!
Through my observation ya utendaji kazi hili treni ni kwamba, wahudumu wa treni ya umeme SGR wameajiriwa kwa rushwa ya ngono au undugu au kubebana tu ndio maana utendaji kazi wao ni upuuzi mwingi...
Wana poor customer service kuanzia getini, ofisini mwao hadi ndani ya treni... Sisi WaTz sijui nani katuroga tunaanzisha projects kubwa ila usimamiz sifuri... Nilicho observe ktk hili treni kuna uzembe wa makusudi unafanyika ili wahusika wapige pesa waihujumu serikali...