Huduma murua kwa wanandoa wa Mikoa ya Dar, Morogoro na Dodoma

Huduma murua kwa wanandoa wa Mikoa ya Dar, Morogoro na Dodoma

Guus

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
1,139
Reaction score
842
Kwa wale wanaoishi mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma, tunawaletea huduma mpya!
Ewe ndugu uliye katika ndoa (mume ama mke) tunakupa huduma ya kuja kukukamata mbele ya mwenzi wako siku ya Ijumaa na kukuachia siku ya Jtatu.

Usiogope, tunakuja tukiwa na uniform full na defender yetu.

Ukihitaji huduma njoo pm...
 
Wazinz mmebuni mbinu za kigaidi kweli. Bei gani kwa sasa?
 
Back
Top Bottom