Huduma ya Bank Mkononi: Pesa inatumika kama upepo, najuta kujiunga

Huduma ya Bank Mkononi: Pesa inatumika kama upepo, najuta kujiunga

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Sitakuwa na maneno Mengi! Hii ni ile huduma ya bank mkononi!

Nilivyotaka kujiunga kale ka kahudumu ka benki kaliunganisha fasta fasta kwa bashasha! Kumbe wanajua inavyowalipa vizuri huduma hiyo!

Nilifurahi sana kuunganisha bank mkononi ili kuepusha usumbufu wa kwenda bank/ATM.

Lakini asikwambie mtu huduma hii inafyeka pesa balaa! Chochote ukikifanya kinalamba pesa kama upepo!

Kiukweli huduma hii inamakato mengi kama Bamedi asorudisha chenji! Ni kama unakula nao sahani moja, ukituma buku nao wanakula buku!

Najuta sana kujiunga!
 
Wa Tz bwana

Bank ingekuwa mbali pia ungelalamika


Ww tumia pia ikuzoee tu
 
Ni hatari, wnakata tsh.300 kila hatua ndani ya menu
 
Nakushauri hata kama umejiunga usitumie huduma hiyo utafirisika ndugu yangu.
mm nikijiunga mwaka 2015,2016 nikaona hata sitaki mazoea ,nikaachana nayo .hiyo huduma ni sawa na wale wanawake wa ukituma ,tuna Naya kutolea!!
 
mm nikijiunga mwaka 2015,2016 nikaona hata sitaki mazoea ,nikaachana nayo .hiyo huduma ni sawa na wale wanawake wa ukituma ,tuna Naya kutolea!!
Yaani ukifanya muamala wowote utafurahi na makato yake
 
Back
Top Bottom