huduma ya HIGH LIFE ZANTEL INTERNET NI UTAPELI MTUPU

huduma ya HIGH LIFE ZANTEL INTERNET NI UTAPELI MTUPU

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
uma isiyoeleweka na wanakata pesa ovyo sijui TCRA wako wapi.




 
kujiunga tu na hiyo huduma unaweza subiri hata siku tatu,na wameshusha kutoka 2GB kuja 1GB WEEKLY BILA SABABU ZOZOTE ZINAZOELEWEKA MAANA KUNA WEZAO WA MAKAMPUNI MENGINE WANATOA MPAKA 3GB KWA ELFU 15,ACHILIA HAYO KUJIUNGA NI TABU MITAMBO YAO INASOMA TOFAUTI NA SIMU,UMETUMIA ELFU 5 KWENYE VOICE WANASEMA HUJATUMIA
 
kujiunga tu na hiyo huduma unaweza subiri hata siku tatu,na wameshusha kutoka 2GB kuja 1GB WEEKLY BILA SABABU ZOZOTE ZINAZOELEWEKA MAANA KUNA WEZAO WA MAKAMPUNI MENGINE WANATOA MPAKA 3GB KWA ELFU 15,ACHILIA HAYO KUJIUNGA NI TABU MITAMBO YAO INASOMA TOFAUTI NA SIMU,UMETUMIA ELFU 5 KWENYE VOICE WANASEMA HUJATUMIA


Sio utani Zantel huduma zao za internet zimekuwa bei juu sana mpaka kero. 1GB (badala ya 2GB ya mwanzo) unaigharamia kwa zaidi ya tsh 15elfu kwa high life, kupiga kwenda mtandao wowote kwa kutumia line yao ni zaidi ya 3tsh/sec (hata zantel kwenda zantel), mpaka wengine tumeanza kuingia kwa machale.
 
Back
Top Bottom