Baada ya kusajili mali iliyopotea nimetumiwa control number nifanye malipo ya usajili lakini kila nikijaribu kulipa inasema control number ni batili.
Nimepiga simu makao makuu nikaambiwa niende kituo cha polisi kilicho kariba. Nimefika huko nako sikupata ufumbuzi!
Nimeambiwa labia mtandao upon clinical nijaribu tena.
Leo ni siku ya nne sijafanikiwa.
Nimepiga simu makao makuu nikaambiwa niende kituo cha polisi kilicho kariba. Nimefika huko nako sikupata ufumbuzi!
Nimeambiwa labia mtandao upon clinical nijaribu tena.
Leo ni siku ya nne sijafanikiwa.