pastor wa JF
Member
- Jan 17, 2018
- 34
- 33
Napenda kujitambulisha kwa kila mwana Jf kuwa sasa utapata huduma ya maombezi na ushauri kupitia Pm, huduma hii itakuwa bure hivyo kama unashida ya kiroho na kimwili usisite kuja pm ili upate maombezi bure kabisa.
NB: Nmekuwa nikipita kusoma bila kuregister nikagundua kuna watu wengi humu wanakosa huduma muhimu kama hii,sasa in wakati Wa Mungu kufanya jambo maishani mwako,
Kama umenielewa type AMEN
NB: Nmekuwa nikipita kusoma bila kuregister nikagundua kuna watu wengi humu wanakosa huduma muhimu kama hii,sasa in wakati Wa Mungu kufanya jambo maishani mwako,
Kama umenielewa type AMEN