Huduma ya kutotolesha mayai ya kuku kwa kutumia Incubator. (Dodoma)

Huduma ya kutotolesha mayai ya kuku kwa kutumia Incubator. (Dodoma)

Ronee

Senior Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
155
Reaction score
155
Wakuu nimekula mayai ya kienyeji nimetosheka, sasa nahitaji niyabadili kuwa vifaranga ili nifuge kuku.
Naomba anaetoa huduma tajwa hapo juu kwa Dodoma anijulishe nimletee mayai anitotoleshee. Ahsante.
 
Wakuu nimekula mayai ya kienyeji nimetosheka, sasa nahitaji niyabadili kuwa vifaranga ili nifuge kuku.
Naomba anaetoa huduma tajwa hapo juu kwa Dodoma anijulishe nimletee mayai anitotoleshee. Ahsante.
Unayo mangapi?
 
Back
Top Bottom