Huduma ya kwanza kwa mtu anayesumbumiwa na maumivu ya jino

Huduma ya kwanza kwa mtu anayesumbumiwa na maumivu ya jino

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hello ,happy new year.

Ukiwa unaumwa jino , unashauriwa kwenda hospital Kwa ajili ya matibabu zaidi .

Ila pia ikiwa upo mbali na hospatli Ila maumivu yamekuzidia Sana .

Chukua maji ya moto changanya na Chumvi baada ya hapo weka mdomoni usukutue Sana kuanzisha dk 5-10

Rudia rudia hilo zoezi kwa mara tatu au nne kwa siku.

Mara nyingi wale backteria wa kinywa ambao hushambulia jino watadhurika na utapata relief fulani kubwa.


Nb Usikose kufika hosptali Kwa matibabu zaidi.
Asante.
 
Dawa ya jino korofi ni kung'oa tu, nimejikuta ndani ya mwezi wa 12 nimetumia zaidi ya 90 elfu kununua kila dawa ninayoambiwa itanisaidia lakini ndio kwanza likianza kuuma linauma mpaka napoteza hata usikivu, leo nimelitolea mbali, hapa nauguza pengo
 
Maumizo ya jino husahaulika liking'olewa tuu.
Huduma ya kwanza ili kuzuia fizi kuvimba, likiwa linauma jikaze usishike tama.
Pia dawa ya meno Colgate ni nzuri kwakutuliza maumivu. Sukutua tema povu ila mdomo usiuoshe na maji.
 
Dawa ya jino korofi ni kung'oa tu, nimejikuta ndani ya mwezi wa 12 nimetumia zaidi ya 90 elfu kununua kila dawa ninayoambiwa itanisaidia lakini ndio kwanza likianza kuuma linauma mpaka napoteza hata usikivu, leo nimelitolea mbali, hapa nauguza pengo
kung'oa ni hatua ya mwisho endapo matibabu yote yameshindikana.
 
Namshukuru Mungu sijawahi kuumwa Jino ila maumivu ya kuumwa Jino/ Meno sio ya kitoto
 
Nishawai kuumwa na jino na nilitumia kila aina ya dawa pamoja na home remedies lakini wapi maumivu yapo pale pale..
Likaja kupoa lenyewe tu baada ya kubadilisha dawa ya meno,sasa ni miaka kumi naishi tu na jino lenye cavity nikifikiria kupigwa sindano ya kwenye fizi ili kuziba cavity naona bora kuendelea kutafuna kwa upande mmoja na maisha yanaenda tu.
 
Maumivu ya jino yasikie kwa jirani tu, halafu lilivyo na nongwa, linapendelea kuuma usiku mwingi, mchana unaweza ukawa fresh kabisa ila ukijichanganya tu, usiku kazi ipo.
Utotoni mpaka leo nishatoa jino kama mara 5 hivi, na kuna mawili yana matobo, nafikiri kuziba na kufanya root canal, nibaki na meno yangu, ama unashauri nini dr?
 
Maumivu ya jino yasikie kwa jirani tu, halafu lilivyo na nongwa, linapendelea kuuma usiku mwingi, mchana unaweza ukawa fresh kabisa ila ukijichanganya tu, usiku kazi ipo.
Utotoni mpaka leo nishatoa jino kama mara 5 hivi, na kuna mawili yana matobo, nafikiri kuziba na kufanya root canal, nibaki na meno yangu, ama unashauri nini dr?

Matibabu ya meno yapo advanced Sana Kwa sasa usifikirie kutoa meno bali unapopata shida ya meno anzia Kwa wataalamu .

Na hilo pendekezo lako la root canal ni wazo zuri Sana .
 
Back
Top Bottom